Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wapalestina

  • Unduli wa Israel wa kutaka kuua Wapalestina wengi zaidi

    Unduli wa Israel wa kutaka kuua Wapalestina wengi zaidi

    Dec 30, 2017 23:15

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametaka kunyongwa raia wa Palestina kufuatia kushtadi wimbi la malalamiko ya raia hao.

  • Mahmoud Abbas: Wapalestina hawatokubali tena mpango wowote wa Marekani

    Mahmoud Abbas: Wapalestina hawatokubali tena mpango wowote wa Marekani

    Dec 22, 2017 23:13

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema taifa lake "halitokubali tena" mpango wowote wa Marekani kwa ajili ya kile kinachoelezwa kama mchakato wa amani ya Mashariki ya Kati na kuiita nchi hiyo "mpatanishi asiye na mwamana".

  • Radiamali ya Wapalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa al-Aqswa

    Radiamali ya Wapalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa al-Aqswa

    Jul 22, 2017 07:25

    Habari kutoka Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel zinaelezea kuongezeka siku ya Ijumaa malalamiko na maandamano ya Wapalestina katika pembe zote za ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.

  • Wapalestina waitaka Uingereza kuomba radhi kwa kutoa Azimio la Balfour

    Wapalestina waitaka Uingereza kuomba radhi kwa kutoa Azimio la Balfour

    Apr 18, 2017 11:07

    Taarifa ya mwisho iliyotolewa na mkutano wa Wapalestina wanaoishi barani Ulaya imeitaka Uingereza kuomba radhi rasmi kwa sababu ya kutoa Azimio la Balfour lililopelekea kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina na hatimaye kufukuzwa wenyeji katika ardhi na nchi yao.

  • Vikosi vya Israel vyawateka nyara Wapalestina 14 Ukingo wa Magharibi

    Vikosi vya Israel vyawateka nyara Wapalestina 14 Ukingo wa Magharibi

    Mar 20, 2017 04:07

    Vikosi katili vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewateka nyara raia 14 wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Israel imewatia nguvuni Wapalestina 420 mwezi Februari

    Israel imewatia nguvuni Wapalestina 420 mwezi Februari

    Mar 06, 2017 00:32

    Ripoti mpya zinaonyesha kuwa askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewatia nguvuni na kuwaweka kizuizini Wapalestina 420 katika kipindi cha mwezi mmoja tu uliopita wa Februari ukiwa ni muendelezo wa ukandamizaji unaofanywa na utawala huo katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina.

  • Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Hujuma ya anga ya Israel huko Gaza yaua, kujeruhi Wapalestina 7

    Feb 09, 2017 03:43

    Kwa akali Wapalestina wawili wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya watano wakijeruhiwa baada ya ndege ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutekeleza hujuma ya anga katika mji wa Rafah, Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wapalestina: Kama si msaada wa Iran, kadhia yetu ingelikuwa imesahauliwa

    Wapalestina: Kama si msaada wa Iran, kadhia yetu ingelikuwa imesahauliwa

    Feb 08, 2017 13:13

    Makundi mbalimbali ya Palestina yamesisitiza kuwa, ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umelisaidia mno taifa la Palestina na kuzuia kusahauliwa taifa hilo madhlumu.

  • Amnesty yaitaka Israel imuachie huru Mpalestina aliyesusia chakula

    Amnesty yaitaka Israel imuachie huru Mpalestina aliyesusia chakula

    Aug 12, 2016 23:20

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutaka utawala haramu wa Israel umuachie huru mfungwa wa Kipalestina Bilal Kayed ambaye amekuwa katika mgomo wa chakula kwa miezi miwili sasa.

  • Israel yazidisha ukatili dhidi ya Wapalestina kwa himaya ya Marekani

    Israel yazidisha ukatili dhidi ya Wapalestina kwa himaya ya Marekani

    Jul 04, 2016 03:21

    Ripoti za hivi karibuni zinaonesha kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha ukandamizaji na ukatili dhidi ya watu wanaoendelea kukandamizwa wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS