-
Zarif azikosoa nchi za Ulaya kwa kukubali mashinikizo ya Marekani
Mar 05, 2018 13:44Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa baadhi ya matamshi na mienendo ya viongozi wa nchi za Ulaya kuhusuna na utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile tabia yao ya kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani.
-
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran na Russia wajadili masuala mbalimbali
Mar 01, 2018 23:47Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kujadili masuala mbalimbali ya uhusiano wa pande mbili, ya kieneo na kimataifa.
-
Zarif: Kila mtu katika UNSC ameshuhudia usanii mchafu wa kuwaunga mkono walioanzisha uvamizi dhidi ya Yemen
Feb 28, 2018 00:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu rasimu ya azimio "dhidi ya Iran" iliyowasilishwa na Uingereza katika kikao cha Jumatatu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) ya madai hewa kwamba Iran inapeleka silaha nchini Yemen, kwamba: kilichotokea kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni usanii mchafu ulioonyeshwa kwa lengo la kuiunga mkono nchi iliyoanzisha uvamizi dhidi ya Yemen.
-
Zarif: Msingi wa kifikra, kifedha wa ISIS bado haujaangamizwa
Feb 24, 2018 10:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, msingi wa kifikra na kifedha wa kundi la magaidi wakufurishaji wa Daesh au ISIS ungalipo.
-
Zarif: Kushindwa Daesh (ISIS) si mwisho wa ukufurishaji duniani
Feb 18, 2018 12:25Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kusambaratishwa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh (ISIS) sio mwisho wa harakati za magenge ya ukufurishaji yenye misimamo ya kufurutu ada katika eneo hili.
-
Zarif: Iran ndiyo nchi yenye amani zaidi katika Mashariki ya Kati
Feb 17, 2018 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ndiyo nchi yenye amani zaidi na yenye nguvu kubwa zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati licha ya mashinikizo yote ya kimataifa.
-
Madai ya ovyo ya Marekani na kuzidi kuchanganyikiwa White House
Jan 31, 2018 03:58Katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita, serikali ya Donald Trump nchini Marekani imeongeza uadui wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Zarif arudisha mapigo, asema Saudia na Marekani waliisaidia Daesh kwa silaha
Jan 27, 2018 00:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Muhammad Javad Zarif amesema Saudi Arabia na Marekani haziwezi kupotosha ukweli wa mambo kuhusu misaada na ufadhili wao kwa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Zarif: Iran iliwaangamiza magaidi wa ISIS ambao walipata silaha kutoka Marekani, Saudia
Jan 26, 2018 00:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Marekani na Saudi Arabia ndio waliowapa magaidi wa ISIS au Daesh silaha.
-
Zarif amjibu Trump, asema hakuna mazungumzo kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran
Jan 13, 2018 01:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya kujitakia makuu ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kusema haiwezekani kufanya mazungumzo mapya kuhusu mapatanao hayo huku akiitaka Marekani itekeleze ahadi zake.