-
Wapinzani Zimbabwe: Haturudi nyuma, tutaendeleza maandamano dhidi ya Mugabe
Aug 12, 2016 10:35Kiongozi wa wapinzani nchini Zimbabwe, Evan Mawarire amesema kuwa wataendeleza maandamano yao dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe.
-
Sisitizo la Rais Mugabe la kugombea tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao wa Zimbabwe
Aug 10, 2016 01:25Licha ya maandamano na malalamiko ya siku kadhaa yanayoshuhudiwa katika miji mbalimbali ya Zimbabwe, Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo amesisitiza kuwa, ana mpango wa kugombea tena kiti hicho katika uchaguzi ujao.
-
Maveterani 2 Zimbabwe wakamatwa kwa kumkosoa Rais Mugabe
Jul 28, 2016 11:02Polisi ya Zimbabwe inawashikilia mashujaa wawili wa vita vya uhuru nchini humo, wiki moja baada ya maveterani hao kusema kuwa Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo ni dikteta na kumtaka ajiuzulu.
-
Serikali: Vikwazo vimesababisha mgogoro wa kiuchumi Zimbabwe
Jul 17, 2016 11:24Serikali ya Zimbabwe imelaumu vikwazo vya kimataifa na kusema kuwa ndiyo sababu kuu ya mgogoro wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo hivi sasa.
-
Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe
Jul 17, 2016 03:15Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.
-
Morgan Tsvangirai aunga mkono harakati mpya ya Wananchi dhidi ya serikali ya Zimbabwe
Jul 16, 2016 23:37Morgan Tsvangirai kiongozi wa wapinzani wa kisiasa wa serikali ya Zimbabwe ameunga mkono harakati mpya ya wananchi nchini humo.
-
Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo
Jul 16, 2016 00:02Zimbabwe imeshindwa kulipa mishahara ya jeshi la nchi hiyo kwa wakati kwa mwezi wa pili mfululizo sasa.
-
Kiongozi wa harakati ya malalamiko apandishwa kizimbani Zimbabwe
Jul 13, 2016 10:49Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ya Stay at Home amepandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kuchochea ghasia na kuhatarisha usalama wa nchi.
-
Kiongozi wa harakati ya upinzani akamatwa Zimbabwe
Jul 12, 2016 12:32Mkuu wa harakati inayoongoza malalamiko na upinzani wa wananchi dhidi ya utendaji wa serikali ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kuchochea wananchi.
-
Tuhuma za serikali ya Zimbabwe dhidi ya nchi za Magharibi
Jul 11, 2016 23:15Serikali ya Zimbabwe imezituhumu baadhi ya nchi za Magharibi kwamba, zinaunga mkono malalamiko na migomo inayoshuhudiwa nchini humo.