Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Maveterani 2 Zimbabwe wakamatwa kwa kumkosoa Rais Mugabe

    Maveterani 2 Zimbabwe wakamatwa kwa kumkosoa Rais Mugabe

    Jul 28, 2016 11:02

    Polisi ya Zimbabwe inawashikilia mashujaa wawili wa vita vya uhuru nchini humo, wiki moja baada ya maveterani hao kusema kuwa Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo ni dikteta na kumtaka ajiuzulu.

  • Serikali: Vikwazo vimesababisha mgogoro wa kiuchumi Zimbabwe

    Serikali: Vikwazo vimesababisha mgogoro wa kiuchumi Zimbabwe

    Jul 17, 2016 11:24

    Serikali ya Zimbabwe imelaumu vikwazo vya kimataifa na kusema kuwa ndiyo sababu kuu ya mgogoro wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo hivi sasa.

  • Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Jul 17, 2016 03:15

    Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.

  • Morgan Tsvangirai aunga mkono harakati mpya ya Wananchi dhidi ya serikali ya Zimbabwe

    Morgan Tsvangirai aunga mkono harakati mpya ya Wananchi dhidi ya serikali ya Zimbabwe

    Jul 16, 2016 23:37

    Morgan Tsvangirai kiongozi wa wapinzani wa kisiasa wa serikali ya Zimbabwe ameunga mkono harakati mpya ya wananchi nchini humo.

  • Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo

    Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo

    Jul 16, 2016 00:02

    Zimbabwe imeshindwa kulipa mishahara ya jeshi la nchi hiyo kwa wakati kwa mwezi wa pili mfululizo sasa.

  • Kiongozi wa harakati ya malalamiko apandishwa kizimbani Zimbabwe

    Kiongozi wa harakati ya malalamiko apandishwa kizimbani Zimbabwe

    Jul 13, 2016 10:49

    Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ya Stay at Home amepandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kuchochea ghasia na kuhatarisha usalama wa nchi.

  • Kiongozi wa harakati ya upinzani akamatwa Zimbabwe

    Kiongozi wa harakati ya upinzani akamatwa Zimbabwe

    Jul 12, 2016 12:32

    Mkuu wa harakati inayoongoza malalamiko na upinzani wa wananchi dhidi ya utendaji wa serikali ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kuchochea wananchi.

  • Tuhuma za serikali ya Zimbabwe dhidi ya nchi za Magharibi

    Tuhuma za serikali ya Zimbabwe dhidi ya nchi za Magharibi

    Jul 11, 2016 23:15

    Serikali ya Zimbabwe imezituhumu baadhi ya nchi za Magharibi kwamba, zinaunga mkono malalamiko na migomo inayoshuhudiwa nchini humo.

  • Mgomo waendelea nchini Zimbabwe dhidi ya serikali

    Mgomo waendelea nchini Zimbabwe dhidi ya serikali

    Jul 10, 2016 22:13

    Duru za habari nchini Zimbabwe zimeripoti kuendelea mgomo wa nchi nzima katika maeneo ya kazi, maduka na shule nchini humo.

  • ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    Jul 08, 2016 00:18

    Chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF kimesema Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo hatajiuzulu licha ya mgomo wa wafanyakazi na maandamano ya wananchi kulalamikia uongozi wake na hali mbaya ya uchumi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS