-
Maveterani 2 Zimbabwe wakamatwa kwa kumkosoa Rais Mugabe
Jul 28, 2016 11:02Polisi ya Zimbabwe inawashikilia mashujaa wawili wa vita vya uhuru nchini humo, wiki moja baada ya maveterani hao kusema kuwa Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo ni dikteta na kumtaka ajiuzulu.
-
Serikali: Vikwazo vimesababisha mgogoro wa kiuchumi Zimbabwe
Jul 17, 2016 11:24Serikali ya Zimbabwe imelaumu vikwazo vya kimataifa na kusema kuwa ndiyo sababu kuu ya mgogoro wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo hivi sasa.
-
Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe
Jul 17, 2016 03:15Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.
-
Morgan Tsvangirai aunga mkono harakati mpya ya Wananchi dhidi ya serikali ya Zimbabwe
Jul 16, 2016 23:37Morgan Tsvangirai kiongozi wa wapinzani wa kisiasa wa serikali ya Zimbabwe ameunga mkono harakati mpya ya wananchi nchini humo.
-
Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo
Jul 16, 2016 00:02Zimbabwe imeshindwa kulipa mishahara ya jeshi la nchi hiyo kwa wakati kwa mwezi wa pili mfululizo sasa.
-
Kiongozi wa harakati ya malalamiko apandishwa kizimbani Zimbabwe
Jul 13, 2016 10:49Kiongozi wa harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Zimbabwe ya Stay at Home amepandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kuchochea ghasia na kuhatarisha usalama wa nchi.
-
Kiongozi wa harakati ya upinzani akamatwa Zimbabwe
Jul 12, 2016 12:32Mkuu wa harakati inayoongoza malalamiko na upinzani wa wananchi dhidi ya utendaji wa serikali ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kuchochea wananchi.
-
Tuhuma za serikali ya Zimbabwe dhidi ya nchi za Magharibi
Jul 11, 2016 23:15Serikali ya Zimbabwe imezituhumu baadhi ya nchi za Magharibi kwamba, zinaunga mkono malalamiko na migomo inayoshuhudiwa nchini humo.
-
Mgomo waendelea nchini Zimbabwe dhidi ya serikali
Jul 10, 2016 22:13Duru za habari nchini Zimbabwe zimeripoti kuendelea mgomo wa nchi nzima katika maeneo ya kazi, maduka na shule nchini humo.
-
ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano
Jul 08, 2016 00:18Chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF kimesema Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo hatajiuzulu licha ya mgomo wa wafanyakazi na maandamano ya wananchi kulalamikia uongozi wake na hali mbaya ya uchumi.