Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Polisi Zimbabwe watumia mabomu ya kutoa machozi kutawanya maandamano ya wapinzani

    Polisi Zimbabwe watumia mabomu ya kutoa machozi kutawanya maandamano ya wapinzani

    Aug 24, 2016 23:48

    Askari polisi wa Zimbabwe wametumia mabomu ya kutoa machozi na mipira ya maji kuwatawanya vijana wa chama cha upinzani cha MDC waliokuwa wakiandamana kupinga ukatili unaofanywa na maafisa wa usalama

  • Wanawake Zimbabwe wafanya maandamano ya kulalamikia serikali

    Wanawake Zimbabwe wafanya maandamano ya kulalamikia serikali

    Aug 19, 2016 03:37

    Sambamba na kupamba moto maandamano ya kupinga serikali ambayo yamekuwa yakishuhudiwa katika kila pembe ya Zimbabwe, maelfu ya wanawake wa nchi hiyo nao pia jana waliandamana katika mji wa Bulawayo wakitaka watoto wao wapatiwe elimu bila ya malipo.

  • Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Aug 17, 2016 09:43

    Maafisa wa polisi nchini Zimbabwe wametumia mabomu ya kutoa machozi na maji yenye kuwasha kuzima maandamano ya makumi ya watu wanaopinga azma ya Benki Kuu nchini humo ya kufufua matumizi ya noti za nchi hiyo.

  • Mkutano mkubwa wa wapinzani wa serikali ya Zimbabwe katika mji mkuu Harare

    Mkutano mkubwa wa wapinzani wa serikali ya Zimbabwe katika mji mkuu Harare

    Aug 15, 2016 23:16

    Viongozi wa mrengo wa upinzani unaoipinga serikali ya Zimbabwe wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare na kufanya mkutano mkubwa uliowajumuisha wafuasi wa vyama vya upinzani.

  • Wapinzani Zimbabwe: Haturudi nyuma, tutaendeleza maandamano dhidi ya Mugabe

    Wapinzani Zimbabwe: Haturudi nyuma, tutaendeleza maandamano dhidi ya Mugabe

    Aug 12, 2016 10:35

    Kiongozi wa wapinzani nchini Zimbabwe, Evan Mawarire amesema kuwa wataendeleza maandamano yao dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe.

  • Sisitizo la Rais Mugabe la kugombea tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao wa Zimbabwe

    Sisitizo la Rais Mugabe la kugombea tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao wa Zimbabwe

    Aug 10, 2016 01:25

    Licha ya maandamano na malalamiko ya siku kadhaa yanayoshuhudiwa katika miji mbalimbali ya Zimbabwe, Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo amesisitiza kuwa, ana mpango wa kugombea tena kiti hicho katika uchaguzi ujao.

  • Maveterani 2 Zimbabwe wakamatwa kwa kumkosoa Rais Mugabe

    Maveterani 2 Zimbabwe wakamatwa kwa kumkosoa Rais Mugabe

    Jul 28, 2016 11:02

    Polisi ya Zimbabwe inawashikilia mashujaa wawili wa vita vya uhuru nchini humo, wiki moja baada ya maveterani hao kusema kuwa Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo ni dikteta na kumtaka ajiuzulu.

  • Serikali: Vikwazo vimesababisha mgogoro wa kiuchumi Zimbabwe

    Serikali: Vikwazo vimesababisha mgogoro wa kiuchumi Zimbabwe

    Jul 17, 2016 11:24

    Serikali ya Zimbabwe imelaumu vikwazo vya kimataifa na kusema kuwa ndiyo sababu kuu ya mgogoro wa kiuchumi unaoshuhudiwa nchini humo hivi sasa.

  • Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Jul 17, 2016 03:15

    Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.

  • Morgan Tsvangirai aunga mkono harakati mpya ya Wananchi dhidi ya serikali ya Zimbabwe

    Morgan Tsvangirai aunga mkono harakati mpya ya Wananchi dhidi ya serikali ya Zimbabwe

    Jul 16, 2016 23:37

    Morgan Tsvangirai kiongozi wa wapinzani wa kisiasa wa serikali ya Zimbabwe ameunga mkono harakati mpya ya wananchi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS