-
Rais wa Iran: Maadui hawatafanikiwa kamwe kupotosha ukweli wa Qur'ani
Sep 20, 2023 11:32Rais Ebrahim Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba, maadui hawatafanikiwa kupotosha uhakiika wa Qur'ani.
-
Waislamu waandamana Ujerumani kupinga vitendo vya kuvujiwa heshima Qur'ani
Aug 21, 2023 13:17Waislamu wa Ujerumani leo wamefanya maandamano wakipinga vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Magharibi
-
Jeshi la IRGC la Iran latimua helikopta za Jeshi la Majini la Marekani zilizojaribu kukiuka mpaka
Aug 21, 2023 04:38Picha za video zilizotolewa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) zinaonyesha boti za mwendo kasi za Iran zikitimua helikopta za Jeshi la Marekani ambazo zilikuwa zinajaribu kujipenyeza katika mpaka wa Iran. Baada ya kupokea onyo la IRGC helikopta hizo zilirejea katika meli ya kivita ya Marekani yenye kusheheni helikopta iliyokuwa katika eneo hilo kabla ya kuingia katika eneo la bahari ya Iran.
-
Kan'ani: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia ni kitendo cha jinai
Aug 14, 2023 13:57Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia katika haram ya Ahlul Bayt ni kitendo cha kijinai.
-
Waislamu wa Kondoa Tanzania walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu +VIDIO
Jul 30, 2023 08:12Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni katika Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma nchini Tanzania kwa pamoja wamelaani vikali kuvunjiwa heshima kitabu kitakatifu cha Qur'ani.
-
Waislamu wa Kishia Nairobi Kenya waandamana katika kumbukumbu ya Ashura
Jul 30, 2023 08:05Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Nairobi, mji mkuu wa Kenya walikusanyika kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (as) katika siku ya Ashura.
-
Waislamu wa Ghana wawataka walimwengu kupinga uchomaji Qur'ani barani Ulaya
Jul 25, 2023 15:04Waislamu wa Ghana wametoa wito wa kufanyika maandamano ya kimataifa ya kulaani uchomaji wa Qur'ani wakati huu wa maombolezo ya Muharram.
-
Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya "Salam Farmande"
Jul 13, 2023 11:34Rais wa Iran apokewa Zimbabwe kwa kaswida ya "Salam Farmande"
-
Waislamu wa Uganda walivyompokea Rais wa Iran +VIDEO
Jul 13, 2023 11:20Katika safari yake nchini Uganda, kabla ya kuelekea Zimbabwe, Rais Ebrahim Raisi alipokewa na shangwe na furaha na Waislamu wa nchi hiyo.
-
Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO
Jul 13, 2023 11:09Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini mbalimbali nchini Uganda akiwemo Mufti Mkuu Sheikh Shaaban Ramadhan Mubaje