-
Sana'a: Raia elfu 49 wameuawa na kujeruhiwa tangu kuanza vita hadi sasa
Mar 23, 2023 03:57Wizara ya Haki za Binadamu ya Yemen imetangaza kuwa hadi sasa raia elfu 49 wameuawa na kujeruhiwa tangu muungano vamizi dhidi ya Yemen unaoongozwa na Saudia uanzisha vita nchini humo mwaka 2015.
-
Mapatano ya Kiusalama kati ya Iran na Iraq; azma thabiti ya kukabiliana na vitisho
Mar 22, 2023 22:43Katika hafla iliyohudhuriwa na Mohammad Shia as-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq hapo siku ya Jumapili tarehe 19 Machi mwaka huu, makubaliano ya ushirikiano wa usalama wa pamoja wa kati ya nchi mbili jirani za Iran na Iraq yalitiwa saini na Admeri Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, na Qasim al-Aarji, Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Waziri Mkuu wa Iraq.
-
Bunge la Jordan lapasisha pendekezo la kutimuliwa balozi wa Israel mjini Amman
Mar 22, 2023 09:04Wawakilishi wa Bunge la Jordan wamepigia kura ya ndio pendekezo la kufukuzwa balozi wa utawala haramu wa Israel huko Amman wakilalamikia na kupinga hatua ya waziri wa fedha katika serikali ya mrengo wa kulia ya Israel, ambaye alizua utata mapema wiki hii.
-
Umoja wa Mataifa: Msimamo wetu haujabadilika, tunapinga ujenzi wa vitongoji vya walowezi
Mar 22, 2023 09:04Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, umoja huo unapinga kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na Israel na kusisitiza kwamba, msimamo wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kadhia hiyo haujabadilika.
-
Aghalabu ya nchi za Kiislamu zatangaza Alhamisi kuwa siku ya kwanza ya Ramadhani
Mar 22, 2023 04:29Nchi nyingi za Kiislamu katika eneo la Asia Magharibu au Mashariki ya Kati zimetangaza Alhamisi, Machi 23, kuwa mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
UN, nchi za Kiarabu zalaani uropokaji wa Waziri wa Fedha wa Israel
Mar 21, 2023 22:49Umoja wa Mataifa na ulimwengu wa Kiarabu umelaani matamshi ya kichochezi yaliyotolewa hivi karibuni na Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.
-
Mapatano ya Kiusalama kati ya Iran na Iraq; azma thabiti ya kukabiliana na vitisho
Mar 21, 2023 22:47Katika hafla iliyohudhuriwa na Mohammad Shia as-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq hapo siku ya Jumapili tarehe 19 Machi mwaka huu, makubaliano ya ushirikiano wa usalama wa pamoja wa kati ya nchi mbili jirani za Iran na Iraq yalitiwa saini na Admeri Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, na Qasim al-Aarji, Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Waziri Mkuu wa Iraq.
-
Harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina yakosoa kikao cha Sharm Sheikh
Mar 21, 2023 07:43Harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina imekitaja kikao cha Sharam Sheikh nchini Misri kuwa hatua ya hiana dhidi ya taifa la Palestina na usaliti dhidi ya damu iliyomwagwa na mashahidi wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Palestina yaiomba mahakama ya ICC kumkamata Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni
Mar 21, 2023 03:01Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kukamatwa Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na matamshi yake dhidi ya Palestina.
-
Hizbullah: Mauaji ya makamanda wa muqawama hayatafanikisha njama za Israel
Mar 20, 2023 22:59Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya kamanda wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusisitiza kuwa, mauaji ya makamanda wa muqawama kamwe hayatafanikisha njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.