-
Mbunge atimuliwa Jordan kwa kumwandikia barua mrithi wa ufalme wa Saudia
Jan 18, 2023 23:30Bunge la Jordan limemfukuza mbunge wake mmoja kwa sababu ya kumwandikia barua Mohammad bin Salman, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia.
-
Onyo la makundi ya mapambano ya Palestina kuhusu kuimarishwa uhusiano wa Baku na Tel Aviv
Jan 18, 2023 23:04Kupitia taarifa, makundi ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina yameitaka Azerbaijan kutazama upya hatua yake ya kuanzisha husiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Saudia yasema inajaribu kufanya mazungumzo na Iran ili kupunguza taharuki
Jan 18, 2023 07:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Mwanamfalme Faisal bin Farhan Al Saud anasema ufalme huo unajaribu kutafuta njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama njia bora ya kutatua tofauti, huku kukiwa na mchakato wa kidiplomasia kati ya majirani hao wawili unaolenga kurekebisha uhusiano uliodorora.
-
Kuongezeka idadi ya Wazayuni waliokimbia kutoka ardhi za Wapalestina mwaka 2022
Jan 18, 2023 05:34Vyombo vya habari vya Kiibrania vimetangaza karibuni kwamba idadi ya Wazayuni waliokimbia kutoka ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu mwaka uliopita wa 2022 kutokana na mapambano makali ya Waplestina dhidi ya askari vamizi wa utawala wa Israel iliongezeka sana.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah amsifu Jenerali Soleimani kama ‘Kiongozi Mkuu’ katika mapambano dhidi ya Daesh na Israel
Jan 18, 2023 03:09Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amepongeza kujitolea mhanga kwa Luteni Jenerali Qassem Soleimani, akisema kamanda huyo mashuhuri alikuwa "Kiongozi Mkuu" aliyelishinda kundi la kigaidi la Daesh na kuuzuia utawala wa kigaidi wa Israel kuendelea kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na Walebanon.
-
Syria yalaani vikwazo vya kikatili vya US dhidi ya sekta ya afya ya nchi hiyo
Jan 17, 2023 09:37Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeilaani vikali Marekani kwa kulenga sekta ya afya ya nchi hiyo ya Kiarabu kwa vikwazo vya upande mmoja.
-
'Kufanyika kikao cha Kizayuni Azerbaijan ni utangulizi wa mapatano baina ya Baku na Tel Aviv'
Jan 17, 2023 03:53Makundi ya Muqawama ya Palestina yametangaza kuwa, kufanyika mkutano wa Wazayuni nchini Azerbaijan ni utangulizi wa kufikiwa mapatano baina ya Baku na Tel Aviv.
-
Ukurasa mwingine wa maafa ya binadamu huko Yemen; wagonjwa elfu tano wanaohitaji huduma ya Dialysis wanakaribia kuaga dunia
Jan 16, 2023 23:21Naibu Waziri wa Afya wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen Anayehusika na Masula ya Tiba ameeleza kuwa maisha ya wagonjwa elfu tano wenye matatizo ya figo wako kwenye hatari ya kifo na Umoja wa mataifa na jamii ya kimataifa ndizo zinazopaswa kubeba dhima ya uhai na maisha ya raia hao wa Yemen.
-
Maandamano ya mapema dhidi ya serikali ya Netanyahu; indhari kuhusu vita vya ndani
Jan 16, 2023 04:46Makumi ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel) wameandamana kulalamikia maamuzi yaliyochukuliwa na serikali ya Benjamin Netanyahu ya kubana mfumo wa mahakama wa utawala huo.
-
Utawala wa Saudia wamhukumu kifo profesa wa chuo kikuu kwa kuiunga mkono Ikhwanul Muslimin
Jan 15, 2023 23:41Utawala wa Saudi Arabia umemhukumu kifo Profesa maarufu wa Chuo Kikuu kwa kutumia mitandao ya kijamii ya Twitter na WhatsApp kuliunga mkono kundi la Ikhwanul Muslimin na kusambaza habari zinazodaiwa kuwa za uhasama dhidi ya ufalme huo wa Aal Saud unaowakandamiza wapinzani na wanaharakati wa mageuzi nchini humo.