-
HAMAS: Viongozi wa nchi za Kiislamu amkeni kukiokoa Kibla cha Kwanza
Jan 04, 2023 23:52Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amewatahadharisha viongozi wa nchi za Kiislamu kuhusuu njama za kila namna za serikali mpya ya kifashisti ya Israel na kuwataka waamke kukiokoa Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Hisia na misimamo ya nchi za Kiarabu kwa uamuzi wa serikali ya Netanyahu wa kupanua vitongoji haramu vya wazayuni
Jan 04, 2023 23:01Kufuatia uamuzi uliotangazwa na waziri mkuu mpya wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba serikali yake itaendeleza ujenzi haramu wa vitongoji, baadhi ya nchi za Kiarabu zimelaani uamuzi huo na kuipa indhari Tel Aviv kuhusiana na madhara ya hatua hiyo.
-
UN yakemea hujuma ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa
Jan 04, 2023 08:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekemea hujuma zinazofanywa na Wazayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Chuo cha al-Azhar chalaani waziri Mzayuni kuvamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa
Jan 04, 2023 04:03Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar cha nchini Misri kimelaani vikali hatua ya waziri Mzayuni mwenye misimamo ya kufurutu ada kuvamia msikiti wa mtakatifu wa al-Aqswa, kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Miaka saba tangu kunyongwa Ayatullah Sheikh Nimr Baqi al-Nimr mwanazuoni mtajika wa Saudi Arabia
Jan 03, 2023 22:38Ayatullah Sheikh Nimr Baqi al-Nimr alikuwa mwanazuoni mahiri na mtajika wa eneo la Qatif mashariki mwa Saudi Arabia ambaye kwa kuunga mkono maandamano ya amani ya eneo hilo alikuwa akitaka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia, na wakati huo huo kufanyike mageuzi katika mfumo wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Wapalestina 6 wapigwa risasi na kujeruhiwa katika ukatili mpya wa Wazayuni
Jan 03, 2023 07:36Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwajeruhi Wapalestina sita wakati walipovamia maeneo tofauti ya Wapalestina hao katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Trump atalipa gharama kubwa kwa mauaji ya Soleimani na Muhandis: Makundi ya mapambano ya Iraq
Jan 03, 2023 04:38Kiongozi wa kundi la mapambano la Asa'ib Ahl al-Haq la nchini Iraq amesema rais wa zamani wa Marekani Donald Trump atalipa gharama kubwa kwa kuhusika na mauaji ya kigaidi dhidi ya mashujaa wawili wa mapambano dhidi ya ugaidi, Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis.
-
Jenerali wa Kizayuni akiri kuwa mkakati wa Israel dhidi ya Iran umegonga mwamba
Jan 02, 2023 03:43Mkuu wa zamani wa idara ya intelijensia ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa mkakati wa Tel Aviv dhidi ya Iran wa kutegemea vikwazo vikali vya kiuchumi na kuanzisha mpango wa kuzuia hujuma kupitia Marekani umeshindwa.
-
Mitambo ya ulinzi wa anga ya Syria yakabiliana na hujuma za Israel katika anga ya Damascus
Jan 02, 2023 03:43Kikosi cha ulinzi wa anga cha Syria usiku wa kuamkia leo kimefanikiwa kunasa na kuteketeza makombora kadhaa ya adui mzayuni katika anga ya mji mkuu wa nchi hiyo Damascus.
-
Jihad al Islami: Hatutetereshwi na serikali mpya ya kifashisti ya Israel
Jan 01, 2023 23:05Msemaji wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amesema kuwa, harakati hiyo itaendeleza mapambano yake katika mwaka huu mpya wa 2023 hadi itakapokomboa kila shibri ya ardhi za Palestina na haitetereshwi hata kidogo na serikali mpya ya kifashisti na yenye misimamo mikali kupindukia ya utawala wa Kizayuni wa Israel.