-
Watoto wa Kiyemeni wakusanyika mbele ya ofisi ya UN kupinga mauaji dhidi yao
Dec 13, 2022 07:27Sambamba na maadhimisho ya Siku ya Watoto Duniani, watoto wa Kiyemeni wamekuanyika mbele ya ofisi ya Umoja wa Mataifa huko Sana'a mji mkuu wa nchi hiyo wakipinga mauaji yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya watoto wa Yemen na kuzingirwa nchi yao.
-
Hamas: Wapalestina hawataiacha Israel itekeleze njama zake
Dec 12, 2022 23:24Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema Wapalestina katu hawatouruhusu utawala haramu wa Israel utekeleza njama na mipango yake michafu dhidi ya mji mtakatifu wa Quds na Masjidul Aqsa.
-
Kuvunja rekodi ya kunyonga Saudi Arabia katika uongozi wa Bin Salman
Dec 12, 2022 22:53Mtandao wa Mirat al-Jazeera umetangaza kuwa, utawala wa Saudi Arabia umetoa hukumu ya mwisho ya wafungwa watano kwa sababu za kiitikadi.
-
PPC: Wanajeshi wa Israel wamewakamata Wapalestina 6,500 wakiwemo watoto 811
Dec 12, 2022 05:56Shirika huru na lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu limesema kuwa, wanajeshi wa Israel wamewatia mbaroni Wapalestina 6,500 wakiwemo mamia ya wanawake na watoto katika eneo lote la Ukingo wa Magharibi linaokaliwa kwa mabavu tangu mwanzoni mwa mwaka huu, huku utawala wa Israel ukiendelea na kampeni yake ya kuwanyanyasa na kuwatia mbaroni Wapalestina.
-
Wanajeshi makatili wa Israel wavamia mji wa Jenin, wamuua shahidi binti mdogo
Dec 12, 2022 03:40Duru za Palestina mapema leo Jumatatu zimetangaza habari ya kuuawa shahidi binti mdogo wa Kipalestina kwenye uvamizi wa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni katika mji wa Jenin wa Ukingo Magharibi wa Mto Jordan.
-
Saudia yazidi kuingilia masuala ya Libya, Bin Salman aonana na Menfi mjini Riyadh
Dec 12, 2022 03:39Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya, Mohamed al-Menfi, amekutana na mwanamfalme wa Saudia, Mohammed bin Salman katika mji mkuu wa Riyadh kujadili maendeleo ya kisiasa ya Libya na matarajio ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
-
Waziri wa mafuta wa Yemen aonya makampuni ya kigeni dhidi ya uporaji mafuta, gesi
Dec 11, 2022 23:12Waziri wa mafuta na madini katika Serikali ya Uokoaji wa Kitaifa ya Yemen amezionya kampuni za kigeni dhidi ya kupora utajiri wa mafuta na gesi ya nchi hiyo ya Kiarabu inayokumbwa na vita, na kusisitiza kwamba Sana’a haitaacha juhudi zozote za kutetea mamlaka ya kitaifa na kulinda maslahi na utajiri wa umma.
-
Uingereza, mshirika wa Saudia katika jinai dhidi ya watu wa Yemen
Dec 11, 2022 09:19Takwimu zinaonyesha kuwa, serikali ya Uingereza ni muuzaji wa pili mkubwa zaidi wa silaha kwa Saudi Arabia na mshirika katika uhalifu jinai zinazofanywa na muungano wa vita wa Saudia dhidi ya watu wa Yemen.
-
Wazayuni wawashambulia Wapalestina wakisherehekea ushindi wa Morocco
Dec 11, 2022 07:40Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewashambulia wananchi wa Palestina waliokuwa wamekusanyika kusherehekea ushindi wa Morocco katika mchuano wa robo fainali ya mechi za Kombe la Dunia zinazoendelea kushuhudiwa nchini Qatar.
-
Juhudi za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa za kutokomeza silaha za nyuklia za Israel
Dec 11, 2022 05:29Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeanza kuchukua hatua kwa lengo la kutokomeza silaha za atomiki za utawala haramu wa Israel baada ya nchi 149 wanachama wa umoja huo kuunga mkono azimio linaloutaka utawala huo wa Kizayuni "uache kufuatilia uzalishaji, uundaji, majaribio au kutaka kuwa na silaha za nyuklia" na "kuachana na mpango wa kumiliki silaha za nyuklia".