-
Wananchi wa Yemen wahanga wa mabomu ya kutegwa ardhini yaliyosalia kufuatia uvamizi wa Saudia
Apr 06, 2022 06:40Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, katika kipindi cha miaka miijne iliyopita zaidi ya raia wa Yemen 1800 wameaga dunia na kujeruhiwa na mabomu ya kutegwa ardhini nchini humo kufuatia uvamizi wa Saudia na washirika wake.
-
Hania: Umoja wa Mataifa uwajibike mkabala wa chokochoko na uvamizi wa Tel Aviv
Apr 06, 2022 06:04Mkuu wa ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameutaka Umoja wa Matafa utekeleze majukumu yake kwa kuchukua hatua dhidi ya uvamizi na chokochoko za utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Mwisho wa Abdrabbuh Mansur Hadi; hatima ya kila msaliti, mamluki
Apr 05, 2022 22:18Ushahidi unaonesha kuwa Saudi Arabia imeamua kumpiga teke Abdrabbuh Mansur Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudia kushirikiana na wavamizi wa nchi yake. Kuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Riyadh imemtupa nje ya ulingo wa siasa Mansur Hadi.
-
Saudia yakiuka makubaliano ya kusimamisha vita Yemen mara 119
Apr 05, 2022 07:25Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umekiuka makubaliano ya kusimamisha vita kwa muda wa miezi miwili huko nchini Yemen zaidi ya mara 119 ndani ya saa 24 zilizopita.
-
Ripoti: Israel imewateka nyara watoto 9,000 wa Kipalestina tokea 2015
Apr 05, 2022 02:47Utawala wa Kizayuni wa Israel umewateka nyara maelfu ya watoto wa Kipalestina katika kipindi cha miaka saba iliyopita.
-
Wanajeshi wa Israel wawafanyia ukatili waumini wa Kipalestina huko al-Quds katika usiku wa pili wa mwezi wa Ramadhani
Apr 04, 2022 02:53Vikosi vya utawala wa Israel vimewashambulia Wapalestina katika Lango la Damascus huko al-Quds inayokaliwa kwa mabavu na kuwapiga vikali waumini wa Kipalestina na kuwatia mbaroni wengine katika usiku wa pili wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Usitishaji vita wa miezi miwili; juhudi za kuikoa Saudia au utangulizi wa kukomeshwa kabisa vita vya Yemen?
Apr 03, 2022 22:14Hans Grundberg, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen amesema kuwa, pande zinazopigana nchini humo zimekubaliana na mpango wa umoja huo wa kusimamisha vita kwa muda wa miezi miwili. Mpango huo ambao unaweza kuongezewa muda, umeanza kutekelezwa Jumamosi Aprili 2, 2022.
-
Bunge la Pakistan lazuia kuuzuliwa Imran Khan, lakosoa uingiliaji wa maajinabi
Apr 03, 2022 22:05Bunge la Pakistan limetupilia mbali mpango wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Imran Khan, likieleza kuwa limechukua hatua hiyo kutokana na uingiliaji wa madola ya kigeni kwenye mambo ya ndani ya nchi hiyo.
-
Taliban yapiga marufuku uzalishaji wa mihadarati nchini Afghanistan
Apr 03, 2022 22:04Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imepasisha sheria ya kupiga marufuku kilimo cha mipopi na uzalishaji wa aina nyingine zote za dawa za kulevya.
-
Mbunge wa Lebanon: Hizbullah inatekeleza majukumu yake
Apr 03, 2022 06:57Mbunge wa Lebanon ameashiria uchaguzi ujao wa bunge nchini humo na kueleza kuwa harakati ya muqawama ya Hizbullah inaheshimu na kutekeleza majukumu yake ya kukabiliana na migogoro na majanga mbalimbali.