Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Ulimwengu wa Michezo


Mar 07, 2016 08:39 UTC
Jiunge
Vipindi Vingine
  • Hakika ya Uwahabi
    Hakika ya Uwahabi
  • Podcast Swahili
    Podcast Swahili
  • Darsa ya Quráni
    Darsa ya Quráni
  • Wiki ya Umoja
    Wiki ya Umoja
  • Alfajiri Kumi
    Alfajiri Kumi
  • Mwezi wa Ramadhani
    Mwezi wa Ramadhani
  • Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi
    Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi

  • 12
    Ulimwengu wa Spoti, Okt 17
    Hujambo mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na hususan shabiki wa spoti na karibu tuangazie matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita ndani na nje ya nchi.
  • 11
    Spoti, Agosti 14
    Hujambo mpenzi msikilizaji na haswa shabiki wa masuala ya spoti na karibu nikupashe kuhusu viwanja na wachezaji ndani ya siku saba zilizopita na haswa habari kutoka Brazil kunakoendelea Olimpiki ya Rio….….karibu……..
  • 10
    Muirani ashinda dhahabu Rio na kuvunja rekodi
    Bingwa wa mchezo wa kunyanyua uzani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelishindia taifa hili medali ya kwanza ya dhahabu sambamba na kuvunja rekodi ya dunia katika mashindano ya Olimpiki ya Rio yanayoendelea nchini Brazil.
  • 9
    Ulimwengu wa Michezo, Agosti 8
    Kwa matukio kemkem ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita yakiwemo mashindano ya Olimpiki ya Rio..........
  • 8
    Spoti, Agosti 1
    Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu katika dakika hizi chache za kukupasha matukio kemkem ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita hapa nchini na katika sehemu mbalimbali ya dunia. Nakusihi usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi, karibu…………………
  • 7
    Ureno yaisasambua Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016
    Ahlan wasahlan wamarhaba mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na hususan ashiki wa spoti natumai huna neno. Baada ya kupezana kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na kupumzishwa kipindi hiki cha Ulimwengu wa Michezo ili kupisha vipindi na mawaidha ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nakukaribisha kwa moyo mkunjufu nikupashe yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita. Nakusihi tuandamane sote hadi tamati ya kipindi.
  • 6
    Ulimwengu wa Michezo, Mei 30
    Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la UEFA
  • 5
    Ulimwengu wa Michezo, Mei 23
    Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyotawala nyuga za michezo kote duniani ndani ya siku saba zilizopita.
  • 4
    FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu
    Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.
  • 3
    Ulimwengu wa Michezo, Mei 9
    Yanga yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania; Leicerster watuzwa rasmi Kombe la Ligi Kuu ya Uingereza; Orodha mpya FIFA, nchi yako iko katika nafasi ya ngapi? Mchezaji wa Cameroon aanguka ghafla uwanjani na kuaga dunia papo hapo.
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS