-
Hamasa ya Imam Hussein (as)
Jul 16, 2024 16:50Nukuu za historia zinasema, Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib, mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW) aliingia Karbala siku ya Alhamisi tarehe Pili Muharram, 61 Hijiria.
-
Kuomba radhi kwa kuchelewa Kanisa Katoliki
Jul 06, 2024 13:04Makala yetu ya juma hili imeangazia kuomba radhi Kanisa Katoliki kutokana na jinai zilizofanywa dhidi ya wakazi asilia wa Marekani.
-
Simulizi za wasanii kuhusu matumizi ya silaha za kemikali katika vita vya Iraq na Iran
Jun 29, 2024 07:23Makala yetu ya wiki inahusu simulizi za wasanii kuhusu matumizi ya silaha za kemikali katika vita vya Iraq na Iran. Kipindi hiki tumewaandalia kwa mnasaba wa kuwadia tarehe 8 mwezi Tir kwa kalenda ya mwaka wa Hijria Shamsia inayosadifiana na tarehe 28 Juni ambayo inaadhimishwa hapa nchini kama Siku ya Kupambana na Silaha za Kemikali na Vijidudu.
-
Ujumbe wa Hija wa Kiongozi Muadhamu 1445 Hijria
Jun 15, 2024 11:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametoa ujumbe kwa mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wanaotekeleza ibada ya Hija ambapo ameutaja " Wito mzuri wa Ibrahim, ambao katika zama zote unawaita watu wote kwenye Al-Kaaba wakati wa msimu wa Hija, mwaka huu pia umevutia nyoyo za Waislamu kote duniani kwenye ngome ya Tauhidi na umoja.
-
Barua ya Kiongozi Muadhamu kwa wanachuo wa Marekani
Jun 01, 2024 10:24Ifuatayo ni barua ya Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, aliyowaandikia wanachuo wa vyuo vikuu vya Marekani kufuatia utetezi wao wa kijasiri kwa maslahi ya watu wa Palestina.
-
Mwanadiplomasia Shahidi Hossein Amir abdollahian
May 29, 2024 07:04Tumeawandalia makala hii ya wiki ambayo itatupia jicho shakhsia ya Shahidi Hossein Amir Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran. Hossein, kama alivyokuwa akisema; ni mtu wa kijijini aliyekuwa akipenda tini, na Mwenyezi Mungu anaapa kwa tini na zeituni katika Qur'ani kwamba wale walioamini na wakatenda mema watapata malipo makubwa Kwake.
-
Kufa shahidi Rais wa watu na mchapakazi wa Iran
May 23, 2024 07:46Kwaheri chimbuko la fahari ya taifa la Iran, kwaheri Kiongozi wa Mashahidi Wahudumu wa nchi hii kwa kazi uliyofanya, kwaheri shakhsia ambaye hukusita kutetea na kuupigania Uislamu, tulikupenda kuliko unavyofikiri; hatutakusahau wewe na marafiki zako.
-
Historia ya Maisha ya Shahidi Sayyid Ebrahim Raisi
May 20, 2024 08:42Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na viongozi kadhaa aliofuatana nao wamekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea jana Jumapili katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi.
-
Harakati ya kimataifa ya mwamko wa wanafunzi wa vyuo vikuu dhidi ya Wazayuni
May 08, 2024 08:15Harakati ya mwamko ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel iliyoanzia katika Chuo Kikuu cha Columbia mjini New York sasa imesambaa katika vyuo vikuu vya nchi nyingine duniani.
-
Oparesheni Ahadi ya Kweli katika Vyombo vya Habari
Apr 27, 2024 13:51Mashambulio ya ndege zisizo na rubani (droni) na makombora ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wiki iliyopita yaliakisiwa na vyombo vya habari vya nchi ajinabi tangu dakika za mwanzo baada ya kutekelezwa. Katika kipindi hiki, tunatupia jicho radiamali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusua mashambulizi ya Iran dhidi ya Israel.