-
Kufa shahidi Rais wa watu na mchapakazi wa Iran
May 23, 2024 07:46Kwaheri chimbuko la fahari ya taifa la Iran, kwaheri Kiongozi wa Mashahidi Wahudumu wa nchi hii kwa kazi uliyofanya, kwaheri shakhsia ambaye hukusita kutetea na kuupigania Uislamu, tulikupenda kuliko unavyofikiri; hatutakusahau wewe na marafiki zako.
-
Historia ya Maisha ya Shahidi Sayyid Ebrahim Raisi
May 20, 2024 08:42Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na viongozi kadhaa aliofuatana nao wamekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea jana Jumapili katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi.
-
Harakati ya kimataifa ya mwamko wa wanafunzi wa vyuo vikuu dhidi ya Wazayuni
May 08, 2024 08:15Harakati ya mwamko ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel iliyoanzia katika Chuo Kikuu cha Columbia mjini New York sasa imesambaa katika vyuo vikuu vya nchi nyingine duniani.
-
Oparesheni Ahadi ya Kweli katika Vyombo vya Habari
Apr 27, 2024 13:51Mashambulio ya ndege zisizo na rubani (droni) na makombora ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wiki iliyopita yaliakisiwa na vyombo vya habari vya nchi ajinabi tangu dakika za mwanzo baada ya kutekelezwa. Katika kipindi hiki, tunatupia jicho radiamali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusua mashambulizi ya Iran dhidi ya Israel.
-
Netanyahu anataka kubadilisha uwanja wa mchezo
Apr 12, 2024 12:12Hamjambo na karibuni katiika kipindi chetu cha wiki hii cha Makala ya Wiki kinachobeba anwani: Netanyahu anataka kubadilisha uwanja wa mchezo.
-
Aya 30 Siku 30 (Uhuru na Mtu Huru katika Uislamu) 12
Apr 05, 2024 05:58Asalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nami katika kipindi hiki maalumu cha Ramadhani ambacho kitatupia jicho uhuru na kuwa huru katika mtazamo wa Qur'ani Tukufu.
-
Lishe katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (1)
Mar 22, 2024 06:55Assalamu Alaykum Warahmatullhi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu ncha leo cha Makala ya Wiki ambacho kinazungumzia lishe katika mwezi wa Ramadhani.
-
Mauaji katika safu ya chakula
Mar 06, 2024 10:12Karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki. Kipindi hiki kinatupia jicho mauaji yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Gaza waliokuwa katika safu za kupokea misaada ya kibinadamu huko Rafah.
-
Uchaguzi na umoja wa kitaifa nchini Iran
Mar 04, 2024 13:27Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio makala yetu ya wiki ambayo itaangazia uchaguzi na umoja wa kitaifa nchini Iran.
-
Imam Mahdi (atfs), Mwokozi Muahidiwa wa Ulimwengu
Feb 24, 2024 07:38Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Mahdi (atfs).