Makala Mchanganyiko
  • Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Feb 08, 2024 05:52

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Leo hatutokuwa na kipindi cha BLW na badala yake tumekuandalieni makala maalumu ya kuzungumzia kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu sana katika ulimwengu mzima.

  • Tarehe 12 Bahman, kumbukumbu ya kurejea Iran Imam Khomeini; kuanza Alfajiri Kumi

    Tarehe 12 Bahman, kumbukumbu ya kurejea Iran Imam Khomeini; kuanza Alfajiri Kumi

    Jan 31, 2024 16:36

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Wasikilizaji wapenzi, Alkhamisi ya tarehe Mosi Februari wiki hii inasadifiana na tarehe 12 Bahman ambayo ni kumbukumbu ya moja ya matukio makubwa katika historia ya zama hizi, tukio la tarehe 12 Bahman 1357 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia iliyosadifiana na tarehe Mosi Februari 1979.

  • Mapinduzi ya Kiislamu na kurejeshwa utambulisho wa Kiislamu wa wanawake wa Kiirani

    Mapinduzi ya Kiislamu na kurejeshwa utambulisho wa Kiislamu wa wanawake wa Kiirani

    Jan 31, 2024 13:33

    Hakuna shaka kuwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni moja ya mapinduzi yaliyoongozwa na kusimamiwa kwa wingi na wananchi wenyewe duniani.

  • Uzayuni wa Kikristo na Israel

    Uzayuni wa Kikristo na Israel

    Jan 27, 2024 09:00

    Makala yetu ya wiki hii inahusu nafasi ya Uzayuni wa Kikristo katika kuendeleza vita vya Gaza na kuzuia amani.

  • Kipindi maalumu cha siku ya kuzaliwa Imam Ali AS

    Kipindi maalumu cha siku ya kuzaliwa Imam Ali AS

    Jan 24, 2024 03:13

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Tarehe 13 Rajab mwaka wa 30 Amul Fil, kulitokea tukio kubwa na la kushangaza ambalo lilikuwa halijawahi kutokea na halitatokea tena katika historia ya mwanadamu. Hii ilikuwa tarehe ya kuzaliwa Imam Ali (as) katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu, al-Kaaba.

  • Kesi ya Afrika Kusini dhidi ya uhalifu wa Israel huko Gaza katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Kesi ya Afrika Kusini dhidi ya uhalifu wa Israel huko Gaza katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Jan 18, 2024 12:08

    Makaka yetu wiki hii itaangazia mashtaka yaliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, (IJC) kwa tuhuma za kufanya uhalifu wa kivita na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza huko Palestina.

  • Krismasi 2024 na Zawadi za Damu

    Krismasi 2024 na Zawadi za Damu

    Jan 10, 2024 10:29

    Mwaka huu mpya wa 2024 ulianza tofauti na miaka yote iliyopita. Katika ukumbusho wa kuzaliwa Nabii Isa Masih, mji wa Bait Laham (Bethlehem), mahali alikozaliwa Mtume huyo wa Mungu, uligubikwa na kimya na hali ya huzuni na majonzi, badala ya sherehe na shamrashamra.

  • Mabomu ya Marekani yanavyoua watoto Ukanda wa Gaza

    Mabomu ya Marekani yanavyoua watoto Ukanda wa Gaza

    Jan 03, 2024 11:37

    Baada ya kupita miezi mitatu ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ukanda wa Gaza, eneo hilo sasa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la watoto kuwahi kushuhudiwa duniani.

  • Kumbukumbu ya kuuawa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Kumbukumbu ya kuuawa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Jan 02, 2024 16:45

    Hamjambo na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu ya kukumbuka kuuawa shahidi Kamanda wa Kiislamu, Haj Qassem Soleimani, fahari na kinara wa Iran katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS). Kamanda huyu shujaa aliuawa shahidi katika shambulio la kikatili na kigaidi la ndege za kivita za Marekani huko Iraq.