-
Mashambulizi ya Israel dhidi ya Rafah
Feb 22, 2024 04:46Hamjambo na karibuni katika Kipindi chetu wiki hii ambacho kitaangazia mashambulizi ya utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina huko Rafah, kusini kwa Ukanda wa Gaza. Kuweni nami hadi tamati.****
-
Simulizi ya Hamas kuhusu Kimbunga cha Al Aqsa
Feb 14, 2024 17:33Hamjambo na karibuni katika Kipindi chetu wiki hii ambacho kitaangazia simulizi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu kwa nini Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa ilitekelezwa.
-
Mapinduzi ya Kiislamu, kuandaliwa mazingira ya kudhihiri Imam Mahdi (a.t.f.s)
Feb 11, 2024 04:28Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 45 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyotokea mwaka 1979 kwa uongozi wenye busara na hekima wa Imamu Ruhullah Khomeini (MA).
-
Mapinduzi ya Kiisamu; chimbuko la mageuzi ya kiroho na kimaanawi ya wananchi wa Iran
Feb 11, 2024 04:27Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 45 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya Iran yaliyotokea 1979
-
Mapinduzi ya Kiislamu na Maendeleo ya Kiuchumi
Feb 10, 2024 08:55Kipindi chetu juma hili kinaangazia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na maendeleo ya kiuchumi kwa mnasaba wa siku hizo za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
-
Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW
Feb 08, 2024 05:52Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Leo hatutokuwa na kipindi cha BLW na badala yake tumekuandalieni makala maalumu ya kuzungumzia kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu sana katika ulimwengu mzima.
-
Tarehe 12 Bahman, kumbukumbu ya kurejea Iran Imam Khomeini; kuanza Alfajiri Kumi
Jan 31, 2024 16:36Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Wasikilizaji wapenzi, Alkhamisi ya tarehe Mosi Februari wiki hii inasadifiana na tarehe 12 Bahman ambayo ni kumbukumbu ya moja ya matukio makubwa katika historia ya zama hizi, tukio la tarehe 12 Bahman 1357 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia iliyosadifiana na tarehe Mosi Februari 1979.
-
Mapinduzi ya Kiislamu na kurejeshwa utambulisho wa Kiislamu wa wanawake wa Kiirani
Jan 31, 2024 13:33Hakuna shaka kuwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni moja ya mapinduzi yaliyoongozwa na kusimamiwa kwa wingi na wananchi wenyewe duniani.
-
Uzayuni wa Kikristo na Israel
Jan 27, 2024 09:00Makala yetu ya wiki hii inahusu nafasi ya Uzayuni wa Kikristo katika kuendeleza vita vya Gaza na kuzuia amani.
-
Kipindi maalumu cha siku ya kuzaliwa Imam Ali AS
Jan 24, 2024 03:13Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Tarehe 13 Rajab mwaka wa 30 Amul Fil, kulitokea tukio kubwa na la kushangaza ambalo lilikuwa halijawahi kutokea na halitatokea tena katika historia ya mwanadamu. Hii ilikuwa tarehe ya kuzaliwa Imam Ali (as) katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu, al-Kaaba.