Makala Mchanganyiko
  • Krismasi 2024 na Zawadi za Damu

    Krismasi 2024 na Zawadi za Damu

    Jan 10, 2024 10:29

    Mwaka huu mpya wa 2024 ulianza tofauti na miaka yote iliyopita. Katika ukumbusho wa kuzaliwa Nabii Isa Masih, mji wa Bait Laham (Bethlehem), mahali alikozaliwa Mtume huyo wa Mungu, uligubikwa na kimya na hali ya huzuni na majonzi, badala ya sherehe na shamrashamra.

  • Mabomu ya Marekani yanavyoua watoto Ukanda wa Gaza

    Mabomu ya Marekani yanavyoua watoto Ukanda wa Gaza

    Jan 03, 2024 11:37

    Baada ya kupita miezi mitatu ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ukanda wa Gaza, eneo hilo sasa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la watoto kuwahi kushuhudiwa duniani.

  • Kumbukumbu ya kuuawa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Kumbukumbu ya kuuawa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Jan 02, 2024 16:45

    Hamjambo na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu ya kukumbuka kuuawa shahidi Kamanda wa Kiislamu, Haj Qassem Soleimani, fahari na kinara wa Iran katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS). Kamanda huyu shujaa aliuawa shahidi katika shambulio la kikatili na kigaidi la ndege za kivita za Marekani huko Iraq.

  • Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)

    Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)

    Jan 01, 2024 04:08

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran mpopote pale mlipo wakati huu. Mnamo tarehe 20 Mfunguo Tisa, Jumada-Thani, mwaka wa tano kutokea Kubaathiwa Bwana Mtume, uliosadifiana na mwaka 615 Miladia, nyumba ya Nabii Muhammad (SAW) Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na mkewe Bibi Khadija katika mji wa Makka, iliangazwa na nuru ya kuzaliwa mwana mtukufu. Mwenyezi Mungu aliwabariki watukufu hao wawili binti ambaye, alikuja kuendeleza kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume SAW.

  • Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Dec 28, 2023 09:31

    Karibuni wasikilizaji wapendwa wa Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran katika kipindi chetu cha makala ya wiki ambapo tutatupia jicho ongezeko la watumiaji wa intaneti duniani mwaka 2023.  

  • Kuzaliwa kwa Nabii Isa Masih (as)

    Kuzaliwa kwa Nabii Isa Masih (as)

    Dec 24, 2023 11:14

    Disemba 25 inasadifiana na siku aliyozaliwa Masih Isa bin Maryam (AS) kwa mujibu wa imani ya Wakristo waliowengi.

  • Vita vya Gaza na Kitendawili cha Siku Zijazo

    Vita vya Gaza na Kitendawili cha Siku Zijazo

    Dec 21, 2023 07:40

    Hamjambo na karibuni kuwa nami katika kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho kitaangazia vita vya Gaza na kitendawili kinachogubika mustakbali wa mapambano ya uhuru ya Wapalestina katika siku zijazo.

  • Kumbukumbu ya kufa shahidi Fatima Zahra (as)

    Kumbukumbu ya kufa shahidi Fatima Zahra (as)

    Dec 18, 2023 12:48

    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu kinachokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra (a.s) binti mtukufu wa Mtume Muhammad (s.a.w).

  •  Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu

    Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu

    Dec 13, 2023 08:48

    Tarehe 10 Disemba imepewa jina la Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu, siku ambayo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) lilipasisha tangazo la Kimataifa la Haki za Binadamu mwaka 1948. Kwa mnasaba huo tumewaandalia kipindi maalumu chini ya anwani: "Haki zisizo za binadamu, kwa mnasaba wa siku hiyo.