Makala Mchanganyiko
  • Utawala na uongozi katika fikra za kisiasa za Imam Baqir

    Utawala na uongozi katika fikra za kisiasa za Imam Baqir

    Jul 02, 2023 14:49

    Katika siku hizi ambapo mamilioni ya Waislamu wanaelekea katika ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya ibada ya Hija, jina la Mtume wetu Muhammad (saw) na Ahlu Baiti zake watoharifu linatajwa na kuhuishwa zaidi kuliko wakati wowote mwingine.

  • Zama za Mitandao ya Kijamii, Faida na Madhara Yake

    Zama za Mitandao ya Kijamii, Faida na Madhara Yake

    Jul 02, 2023 13:18

    Kupanuka na kuenea kwa mitandao ya kijamii kuna nafasi muhimu katika maisha ya kila siku ya wanadamu, hasa tabaka la vijana. Tarehe 30 mwezi wa Juni ni Siku ya Mitandao ya Kijamii Duniani; kwa msingi huo tunatumia fursa hii kuchunguza umuhimu na athari chanya na hasi za mitandao hiyo kwa jamii na maisha yetu.

  • Rekodi Mpya ya Wakimbizi Duniani

    Rekodi Mpya ya Wakimbizi Duniani

    Jul 02, 2023 13:08

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu idadi kubwa na isiyo na kifani ya wakimbizi katika ripoti ambayo imepewa anwani "Mashtaka Dhidi ya Hali ya Sasa ya Dunia." 

  • Falsafa na historia ya Idul Adha

    Falsafa na historia ya Idul Adha

    Jun 29, 2023 07:33

    Mwezi 10 Mfunguo Tatu Dhul-Hijjah ni moja ya siku kuu zenye baraka nyingi ambazo umuhimu wake umesisitizwa katika aya za Mwenyezi Mungu za Qur'ani Tukufu na Hadith za Mtume na Maimamu watoharifu.

  • Ujumbe wa Hija wa Kiongozi Muadhamu; 1444 Hijiria + Sauti

    Ujumbe wa Hija wa Kiongozi Muadhamu; 1444 Hijiria + Sauti

    Jun 28, 2023 11:22

    Umoja unamaanisha kwamba mataifa ya Kiislamu yanapaswa kufahamiana, si kupitia maelezo na habari za kichochezi za maadui, bali kupitia mawasiliano, mazungumzo na maingiliano. Yanapasa kufahamu suhula na uwezo wa kila mmoja na kupanga mipango ya kufaidika nao.

  • Umaskini na Ukosefu wa Makazi nchini Marekani

    Umaskini na Ukosefu wa Makazi nchini Marekani

    Jun 10, 2023 13:35

    Miji ya Marekani ambayo ina taswira ya kuvutia na iliyojaa anasa wakati unapoangalia kutoka kwa mbali, inakabiliwa na ukweli mchungu wa uozo wa kimaadili na ukosefu wa makazi unapoingia ndani na kuangalia kwa karibu.

  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Hujuma Dhidi ya Uislamu

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Hujuma Dhidi ya Uislamu

    May 23, 2023 10:59

    Kwa Waislamu wote duniani, haswa Waislamu wa New Zealand, tarehe 15 Machi ni siku chungu na isiyoweza kusahaulika. 

  • Ukatili wa silaha za moto katika shule za Marekani na kimya cha wabunge

    Ukatili wa silaha za moto katika shule za Marekani na kimya cha wabunge

    May 23, 2023 09:54

    Ukatili wa kutumia silaha katika shule za Marekani, ambao mbali na kusababisha idadi kubwa ya vifo na majeruhi miongoni mwa watoto na vijana, vilevile umeibua hofu na wasiwasi kwa wanafunzi na wazazi wao, na unatambuliwa kuwa tatizo kubwa katika sekta ya elimu nchini humo.

  • Siku ya Mwalimu, kumbukumbu ya kuuawa shahidi Ayatullah Murtadha Mutahhari

    Siku ya Mwalimu, kumbukumbu ya kuuawa shahidi Ayatullah Murtadha Mutahhari

    May 23, 2023 07:31

    Tarehe 12 Ordibehesht kwa mwaka wa Hijria Shamsia (Mei Pili) ni siku ya kumbukumbu ya kuuliwa shahidi mwalimu mahiri na hodari, Ayatullah Murtadha Mutahhari, ambaye siku ya kuuliwa kwake inatambuliwa kuwa ni siku ya kumuenzi na kumpa heshima maalumu mwalimu nchini Iran.