-
Kwa Mnasaba wa Kuuawa Shahidi Imam Ali Ibn Musa Ridha (AS)
Sep 16, 2023 07:01Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa Safar na katika siku ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam wa Nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, mtukufu Ali Ibn Musa Ridha (as), haram ya Imam huyo mkarimu katika mji mtukufu wa Mashhad, imefurika umati wa wafanyaziara na wakazi wa jirani yake, waliosalia nyuma ya msafara wa ziara ya Karbala, ambao kwa kuikosa fursa hiyo adhimu, wamekimbilia kwenye haram ya Imam na maulana wao, Ali Ibn Musa Ridha (as).
-
"Barbie" na "Oppenheimer", mpambano kati ya bomu la atomiki na bomu la pinki
Sep 10, 2023 08:07Filamu mbili za "Barbie" na "Oppenheimer" zilizinduliwa rasmi siku moja ya tarehe 21 Julai 2023 katika kivuli cha manuva makubwa ya vyombo vya habari vya Marekani, kwenye kumbi za sinema duniani, na kuzusha mpambano mkali wa kuvunja kwa shoka.
-
Msikiti, Dhihirisho la Utambulisho wa Uislamu (Maalumu Siku ya Msikiti Duniani)
Aug 27, 2023 10:34Mwaka 2003, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilipendekeza katika mkutano wa 30 wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Kiislamu mjini Tehran, kwamba kutokana na nafasi muhimu ya misikiti katika kuimarisha umoja na mshikamano wa Waislamu, iainishwe siku moja kuwa Siku ya Kimataifa ya Msikiti.
-
Usikichome, Leta Mfano Wake Kama Unaweza!
Aug 17, 2023 07:13Siku moja miaka mingi sana iliyopita, yaani miaka elfu mbili kabla ya kuzaliwa Nabii Isa Masih (as), watu wa Namrud (Nimrodi) walikuwa wamerejea makwao kutoka kwenye shughuli ya kidini.
-
Utawala na uongozi katika fikra za kisiasa za Imam Baqir
Jul 02, 2023 14:49Katika siku hizi ambapo mamilioni ya Waislamu wanaelekea katika ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya ibada ya Hija, jina la Mtume wetu Muhammad (saw) na Ahlu Baiti zake watoharifu linatajwa na kuhuishwa zaidi kuliko wakati wowote mwingine.
-
Zama za Mitandao ya Kijamii, Faida na Madhara Yake
Jul 02, 2023 13:18Kupanuka na kuenea kwa mitandao ya kijamii kuna nafasi muhimu katika maisha ya kila siku ya wanadamu, hasa tabaka la vijana. Tarehe 30 mwezi wa Juni ni Siku ya Mitandao ya Kijamii Duniani; kwa msingi huo tunatumia fursa hii kuchunguza umuhimu na athari chanya na hasi za mitandao hiyo kwa jamii na maisha yetu.
-
Rekodi Mpya ya Wakimbizi Duniani
Jul 02, 2023 13:08Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu idadi kubwa na isiyo na kifani ya wakimbizi katika ripoti ambayo imepewa anwani "Mashtaka Dhidi ya Hali ya Sasa ya Dunia."
-
Falsafa na historia ya Idul Adha
Jun 29, 2023 07:33Mwezi 10 Mfunguo Tatu Dhul-Hijjah ni moja ya siku kuu zenye baraka nyingi ambazo umuhimu wake umesisitizwa katika aya za Mwenyezi Mungu za Qur'ani Tukufu na Hadith za Mtume na Maimamu watoharifu.
-
Ujumbe wa Hija wa Kiongozi Muadhamu; 1444 Hijiria + Sauti
Jun 28, 2023 11:22Umoja unamaanisha kwamba mataifa ya Kiislamu yanapaswa kufahamiana, si kupitia maelezo na habari za kichochezi za maadui, bali kupitia mawasiliano, mazungumzo na maingiliano. Yanapasa kufahamu suhula na uwezo wa kila mmoja na kupanga mipango ya kufaidika nao.
-
Umaskini na Ukosefu wa Makazi nchini Marekani
Jun 10, 2023 13:35Miji ya Marekani ambayo ina taswira ya kuvutia na iliyojaa anasa wakati unapoangalia kutoka kwa mbali, inakabiliwa na ukweli mchungu wa uozo wa kimaadili na ukosefu wa makazi unapoingia ndani na kuangalia kwa karibu.