-
Wanasayansi Wairani waunda chombo erevu cha kupima kasi ya wanariadha
Mar 01, 2017 08:37Disemba mwaka jana, Wanasayansi Wairani walifanikiwa kuunda chombo cha chronometer ambacho hupima kasi ya wanariadha. Chombo kilichoundwa na Wairani ni erevu na kinaondoa uwezekano wa kosa la mwanadamu katika kuainisha kasi ya mwanariadha.
-
Spoti, Agosti 14
Aug 15, 2016 08:01Hujambo mpenzi msikilizaji na haswa shabiki wa masuala ya spoti na karibu nikupashe kuhusu viwanja na wachezaji ndani ya siku saba zilizopita na haswa habari kutoka Brazil kunakoendelea Olimpiki ya Rio….….karibu……..
-
Muirani ashinda dhahabu Rio na kuvunja rekodi
Aug 13, 2016 08:18Bingwa wa mchezo wa kunyanyua uzani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelishindia taifa hili medali ya kwanza ya dhahabu sambamba na kuvunja rekodi ya dunia katika mashindano ya Olimpiki ya Rio yanayoendelea nchini Brazil.
-
Ulimwengu wa Michezo, Agosti 8
Aug 08, 2016 08:11Kwa matukio kemkem ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita yakiwemo mashindano ya Olimpiki ya Rio..........
-
Spoti, Agosti 1
Aug 01, 2016 06:08Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu katika dakika hizi chache za kukupasha matukio kemkem ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita hapa nchini na katika sehemu mbalimbali ya dunia. Nakusihi usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi, karibu…………………
-
Ureno yaisasambua Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016
Jul 11, 2016 07:44Ahlan wasahlan wamarhaba mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na hususan ashiki wa spoti natumai huna neno. Baada ya kupezana kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na kupumzishwa kipindi hiki cha Ulimwengu wa Michezo ili kupisha vipindi na mawaidha ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nakukaribisha kwa moyo mkunjufu nikupashe yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita. Nakusihi tuandamane sote hadi tamati ya kipindi.
-
Ulimwengu wa Michezo, Mei 30
May 30, 2016 06:00Real Madrid wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la UEFA
-
Ulimwengu wa Michezo, Mei 23
May 23, 2016 05:37Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyotawala nyuga za michezo kote duniani ndani ya siku saba zilizopita.
-
FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu
May 14, 2016 05:44Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.
-
Ulimwengu wa Michezo, Mei 9
May 09, 2016 07:03Yanga yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania; Leicerster watuzwa rasmi Kombe la Ligi Kuu ya Uingereza; Orodha mpya FIFA, nchi yako iko katika nafasi ya ngapi? Mchezaji wa Cameroon aanguka ghafla uwanjani na kuaga dunia papo hapo.