Jul 27, 2023 03:43
Katika makala hii ambayo huangazia baadhi ya mafanikio katika uga wa sayansi, tiba na teknolojia nchini Iran na maeneo mengine duniani, tutaangazia safari ya hivi karibuni ya Rais Ebrahim Raisi barani Afrika ambapo suala la uhusiano wa sayansi na teknolojia baina ya Iran na Afrika lilipewa kipaumbele.