Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Iran

  • Kiongozi wa Ahul Sunna: Kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais wa Iran kutavunja njama za adui

    Kiongozi wa Ahul Sunna: Kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais wa Iran kutavunja njama za adui

    Jun 15, 2021 07:26

    Mwanachama wa Baraza la Fatwa la Ahul Sunna Kusini mwa Iran amesema kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ujao wa Ijumaa nchini Iran kutavunja njama za maadui.

  • Mgombea urais Iran aahidi kutumia vizuri fursa za kiuchumi za Afrika iwapo atachaguliwa

    Mgombea urais Iran aahidi kutumia vizuri fursa za kiuchumi za Afrika iwapo atachaguliwa

    Jun 09, 2021 12:41

    Mgombea mmoja katika uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo atachaguliwa, serikali yake itatumia vizuri sana uwezo wa kila namna wa kiuchumi wa nchi za Afrika katika ustawi wa pande mbili na pande kadhaa.

  • Mgombea urais Iran: Sitounda serikali ila ambayo nina uhakika itafanya kazi

    Mgombea urais Iran: Sitounda serikali ila ambayo nina uhakika itafanya kazi

    Jun 05, 2021 12:01

    Mmoja wa wagombea katika uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hatounda serikali ila ya watu ambao kweli watawatumikia wananchi na watawatekelezea matakwa yao kwa ukweli na udhati wa moyo.

  • Wagombea urais nchini Iran kushiriki katika midahalo mitatu

    Wagombea urais nchini Iran kushiriki katika midahalo mitatu

    Jun 03, 2021 04:15

    Tume ya Kampeni za Uchaguzi za Wagombea Urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa midahalo mitatu itayowashirikisha wagombea wote saba itafanyika katika kipindi cha siku chache zijazo.

  • Mkutano wa uratibu wa uchaguzi wa 13 wa urais wa Iran nje ya nchi

    Mkutano wa uratibu wa uchaguzi wa 13 wa urais wa Iran nje ya nchi

    May 31, 2021 02:39

    Mkutano wa uratibu wa Makao Makuu ya Uchaguzi wa Ughaibuni wa uchaguzi wa urais wa 13 wa Iran umefanyika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran.

  • Rais Rouhani asisitiza kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi Iran

    Rais Rouhani asisitiza kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi Iran

    May 26, 2021 10:41

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanyika vizuri uchaguzi ni jambo ambalo litadhamini uhalali wa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Majina ya wagombea urais nchini Iran, yatajwa

    Majina ya wagombea urais nchini Iran, yatajwa

    May 25, 2021 11:06

    Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetaja majina ya wagombea wa urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao wa Juni humu nchini.

  • Sisitizo la Rouhani la kulindwa usalama wa kiafya wa wananchi kwa ajili ya kuongeza ushiriki wao katika uchaguzi

    Sisitizo la Rouhani la kulindwa usalama wa kiafya wa wananchi kwa ajili ya kuongeza ushiriki wao katika uchaguzi

    May 19, 2021 04:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa kulindwa usalama wa kiafya wa wananchi ili kuwahamasisha washiriki kwa wingi katika uchaguzi mkuu ujao wa rais.

  • Zoezi la kuwasajili wanaotaka kugombea urais Iran laingia siku ya nne

    Zoezi la kuwasajili wanaotaka kugombea urais Iran laingia siku ya nne

    May 14, 2021 07:49

    Zoezi la kuwasajili wale wanaotaka kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeingia siku ya nne leo.

  • Mgombea katika uchaguzi wa rais Iran: Uwezo wa kujihami Iran umepelekea Marekani irudi nyuma

    Mgombea katika uchaguzi wa rais Iran: Uwezo wa kujihami Iran umepelekea Marekani irudi nyuma

    Apr 22, 2021 03:51

    Mgombea urais wa Jamuri ya Kiislamu ya Iran unaofanyika mwaka huu wa 2021 amesema: "Uwezo wa kujihami wa Iran ndio sababu ambayo imepelekea Marekani irudi nyuma katika sera zake ghalati.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Hamas: Miswada haramu ya unyakuzi wa Ukingo wa Magharibi inafichua sura mbaya ya ukoloni wa Israel

    Hamas: Miswada haramu ya unyakuzi wa Ukingo wa Magharibi inafichua sura mbaya ya ukoloni wa Israel

    5 hours ago
  • Waziri wa Usalama wa Taifa: Iran haina imani kuhusu kulindwa maslahi ya taifa kupitia mazungumzo na Marekani

  • Je, kujenga vinu vya nyuklia kutaiwezesha Afrika au kutaimarisha utegemezi wa kigeni?

  • Mahakama ya ICJ: Israel inapasa kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia Gaza

  • Wanamgambo wa RSF waushambulia Uwanja wa Ndege wa Khartoum kwa siku ya tatu mtawalia

Chaguo La Mhariri
  • Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?

    Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?

    9 hours ago
  • Unafiki wa Ulaya mkabala wa Gaza: Biashara na Israel au kuheshimu haki za binadamu?

    Unafiki wa Ulaya mkabala wa Gaza: Biashara na Israel au kuheshimu haki za binadamu?

    14 hours ago
  • Utaratibu Mpya wa Kiuchumi wa Kikanda; Nafasi ya kimkakati ya Iran katika Ushirikiano na Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia

    Utaratibu Mpya wa Kiuchumi wa Kikanda; Nafasi ya kimkakati ya Iran katika Ushirikiano na Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yagundua maficho ya televisheni ya Israel inayoeneza uadui dhidi yake

  • Yemen nchi ya kwanza ya Kiarabu kujizalishia yenyewe silaha za maana

  • Maduro atishia kuvurumusha maelfu ya makombora ya Igla-S kukabiliana na vitisho vya Marekani

  • Iran: Mashirika 50 ya kijasusi yaliisaidia Israel katika Vita vya Siku 12 dhidi yetu

  • Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa

  • Japan yapinga mashinikizo ya Marekani ya kuacha kununua nishati kutoka Russia

  • Jiji la Nairobi katika hatari ya kusombwa na mafuriko

  • DR Congo yaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wanaoshambulia kambi zake za kijeshi

  • Wahamiaji karibu 40 wapoteza maisha baada ya boti kupinduka katika pwani ya Tunisia

  • Iran: Hatutarudi kwenye meza ya mazungumzo hadi Marekani iachane na sera zake za kupenda makuu

  • Korea Kaskazini yarusha makombora ya balestiki wiki moja kabla ya mkutano nchini Korea Kusini

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS