Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Iran

  • Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Oct 26, 2018 14:33

    Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.

  • Wagombea wenye chuki na Uislamu wameongezeka sana wakati wa urais wa Trump

    Wagombea wenye chuki na Uislamu wameongezeka sana wakati wa urais wa Trump

    Oct 23, 2018 03:01

    Uchunguzi mpya ambao ripoti yake imetolewa hivi karibuni unaonesha kuwa, kadiri muda wa uchaguzi mdogo wa bunge la Marekani unavyokaribia ndivyo wagombea wenye chuki na Uislamu wanavyozidi kujitokeza.

  • Matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Cameroon kutangazwa leo

    Matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Cameroon kutangazwa leo

    Oct 21, 2018 23:19

    Matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais uliofanyika Oktoba 7 nchini Cameroon yanatazamiwa kutolewa leo Jumatatu.

  • Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Oct 16, 2018 07:28

    Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.

  • Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili

    Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili

    Oct 15, 2018 14:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Afghanistan ni jirani muhimu wa Iran na kwamba, historia kongwe iliyoko katika uhusiano wa pande mbili inalazimu nchi hizo kuwa na ushirikiano zaidi katika nyuga mbalimbali.

  • Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais

    Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais

    Oct 15, 2018 13:54

    Tume ya Uchaguzi Cameroon Elecam imesema kesho Jumanne ndiyo siku ya kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni.

  • AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais

    AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais

    Oct 10, 2018 14:22

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka wanasiasa wa Cameroon kuwa watulivu na kujizuia kutoa matamshi ambayo yanaweza kushadidisha taharuki katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.

  • Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon

    Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon

    Oct 09, 2018 02:43

    Mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha Movement for the Rebirth of Cameroon (MRC), Maurice Kamto amejitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili tarehe 7 Oktoba.

  • Wananchi wa Cameroon wapiga kura, Rais Biya (85) awania muhula wa 7

    Wananchi wa Cameroon wapiga kura, Rais Biya (85) awania muhula wa 7

    Oct 07, 2018 07:46

    Wananchi wa Cameroon waliotimiza masharti ya kupiga kura mapema leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi mkuu wa rais, huku kinara wa chama cha PURS, Serge Espoir Matomba akikanusha taarifa kuwa amejiunga na muungano wa upinzani unaochuana na Rais Paul Biya.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Sep 30, 2018 14:25

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amekutaja kufanyika chaguzi za bunge na rais nchini humo kuwa njia bora zaidi kwa ajili ya kurejesha amani nchini humo.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    5 hours ago
  • Wanawake na watoto ni kati watu zaidi ya 200 waliouawa katika mauaji mapya ya kikabila huko Darfur

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Qatar wajadili matukio ya kikanda hasa hali ya Yemen

  • Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yaendesha uchaguzi mkuu,Touadéra anawania muhula wa tatu wa urais

Chaguo La Mhariri
  • Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua  madhubuti ya kiteknolojia

    Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua madhubuti ya kiteknolojia

    4 hours ago
  • Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    13 hours ago
  • Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    13 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yalaani vikali shambulio baya la kigaidi nchini Syria

  • Ayatullah Khamenei: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalishindwa kwa hima na ushujaa wa vijana wa Iran

  • Iran: Tumejiandaa kutoa jibu chungu zaidi kwa wavamizi

  • Trump adai: Zelensky hana mpango wowote kwa ajili ya amani ya Ukraine

  • Hamas: Kutambuana kati ya "Israel" na "Somaliland" ni mfano hatari

  • China yaweka vikwazo kwa makampuni ya Marekani kwa sababu ya mauzo ya silaha kwa Taiwan

  • Yemen yasema iko tayari kwa vita, yawataka Waislamu wawe macho

  • Israel yalaaniwa vikali kwa kutambua Somaliland kama nchi huru

  • Somalia yaitaka Israel ifute uamuzi wake wa kuitambua Somaliland

  • Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

  • Wataalamu: Operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Nigeria inalenga kugawa taifa

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS