Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Iran

  • Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Oct 26, 2018 14:33

    Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.

  • Wagombea wenye chuki na Uislamu wameongezeka sana wakati wa urais wa Trump

    Wagombea wenye chuki na Uislamu wameongezeka sana wakati wa urais wa Trump

    Oct 23, 2018 03:01

    Uchunguzi mpya ambao ripoti yake imetolewa hivi karibuni unaonesha kuwa, kadiri muda wa uchaguzi mdogo wa bunge la Marekani unavyokaribia ndivyo wagombea wenye chuki na Uislamu wanavyozidi kujitokeza.

  • Matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Cameroon kutangazwa leo

    Matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Cameroon kutangazwa leo

    Oct 21, 2018 23:19

    Matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais uliofanyika Oktoba 7 nchini Cameroon yanatazamiwa kutolewa leo Jumatatu.

  • Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Oct 16, 2018 07:28

    Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.

  • Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili

    Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili

    Oct 15, 2018 14:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Afghanistan ni jirani muhimu wa Iran na kwamba, historia kongwe iliyoko katika uhusiano wa pande mbili inalazimu nchi hizo kuwa na ushirikiano zaidi katika nyuga mbalimbali.

  • Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais

    Cameroon kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais

    Oct 15, 2018 13:54

    Tume ya Uchaguzi Cameroon Elecam imesema kesho Jumanne ndiyo siku ya kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni.

  • AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais

    AU yawataka Wacameroon kuwa watulivu wakisubiri matokeo ya urais

    Oct 10, 2018 14:22

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka wanasiasa wa Cameroon kuwa watulivu na kujizuia kutoa matamshi ambayo yanaweza kushadidisha taharuki katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.

  • Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon

    Mgombea wa upinzani ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Cameroon

    Oct 09, 2018 02:43

    Mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha Movement for the Rebirth of Cameroon (MRC), Maurice Kamto amejitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili tarehe 7 Oktoba.

  • Wananchi wa Cameroon wapiga kura, Rais Biya (85) awania muhula wa 7

    Wananchi wa Cameroon wapiga kura, Rais Biya (85) awania muhula wa 7

    Oct 07, 2018 07:46

    Wananchi wa Cameroon waliotimiza masharti ya kupiga kura mapema leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi mkuu wa rais, huku kinara wa chama cha PURS, Serge Espoir Matomba akikanusha taarifa kuwa amejiunga na muungano wa upinzani unaochuana na Rais Paul Biya.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Sep 30, 2018 14:25

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amekutaja kufanyika chaguzi za bunge na rais nchini humo kuwa njia bora zaidi kwa ajili ya kurejesha amani nchini humo.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Rais wa Brazil asema, Trump ni rais wa Marekani, si ‘mtawala mkuu’ wa dunia

    Rais wa Brazil asema, Trump ni rais wa Marekani, si ‘mtawala mkuu’ wa dunia

    5 minutes ago
  • UN yalaani mauaji ya raia yaliyofanywa na pande zote mbili katika vita vya Sudan

  • Intelijensia: US inajifanya inataka kuzungumza na Iran wakati inajiandaa kwa vita

  • UNICEF: Mashambulio ya Israel yanaua kila siku watoto 28 Wapalestina Ghaza

  • Operesheni za Yemen zailazimisha Israel kuifunga bandari ya Eilat; ushindi kwa Ansarullah

Chaguo La Mhariri
  • Nini lengo la utawala wa kizayuni la kuzusha mgogoro nchini Syria?

    Nini lengo la utawala wa kizayuni la kuzusha mgogoro nchini Syria?

    21 hours ago
  • Kwa nini uanachama wa Iran katika Benki Mpya ya Maendeleo ya BRICS ni muhimu?

    Kwa nini uanachama wa Iran katika Benki Mpya ya Maendeleo ya BRICS ni muhimu?

    23 hours ago
  • Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • "Marubani 30 wa Israel waliuawa katika operesheni ya kulipiza kisasi ya Iran"

  • Kiongozi Muadhamu: Israel iliikimbilia Marekani kulilia usitishaji vita na Iran

  • Kamanda wa ulinzi wa anga wa Israel abadilishwa kutokana na kipigo cha makombora cha Iran

  • Ansarullah yapiga kwa kombora, droni maeneo hasasi ya Israel

  • Iran yakanusha ‘madai hewa’ ya US kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu

  • Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel

  • Russia: Mashambulio ya karibuni ya Israel dhidi ya Syria yanastahili kulaaniwa 'vikali'

  • Nini lengo la utawala wa kizayuni la kuzusha mgogoro nchini Syria?

  • Ripoti: Italia haitanunua silaha za Marekani kwa ajili ya Ukraine

  • Bunge la Waarabu lalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria, Lebanon

  • Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS