Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Iran

  • Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Jul 25, 2018 01:20

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye mwezi Mei mwaka huu aliondolewa mashitaka na kuachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), anatazamiwa kurejea DRC wiki ijayo.

  • UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    Jul 24, 2018 16:24

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusu kukithiri visa vya wapiga kura kutishiwa maisha nchini Zimbabwe, baadhi yao wakilazimishwa kushiriki mikutano wa kisiasa, zikiwa zimesalia siku chache wananchi waelekee katika masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi wao.

  • Rais wa Cameroon Paul Biya kubakia madarakani hadi 2025

    Rais wa Cameroon Paul Biya kubakia madarakani hadi 2025

    Jul 14, 2018 07:51

    Rais wa Cameroon Paul Biya, ambaye yuko madarakani kwa karibu miaka 36 sasa, ametangaza kuwa atagombea muhula mwingine katika uchaguzi wa urais wa Oktoba 7 mwaka huu.

  • Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Jul 14, 2018 07:46

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye hivi karibuni aliachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ameteuliwa na chama chake kugombea urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Rais wa Ghana awafuta kazi wakuu wa tume ya uchaguzi

    Rais wa Ghana awafuta kazi wakuu wa tume ya uchaguzi

    Jun 29, 2018 07:19

    Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, Charlotte Osei kutokana kile alichotaja kama utovu wa nidhamu na utepetevu.

  • Kabila wa DRC afuata nyayo za Nkurunziza, asema hatagombea muhula wa tatu wa urais

    Kabila wa DRC afuata nyayo za Nkurunziza, asema hatagombea muhula wa tatu wa urais

    Jun 13, 2018 07:08

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo hatagombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

  • Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Jun 07, 2018 15:30

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametangaza kuwa hatagombea urais katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020, licha ya katiba mpya aliyoiidhinisha hii leo kumpa kibali cha kusalia madarakani hadi mwaka 2034.

  • Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Jun 07, 2018 03:17

    Bunge la Iraq limeamua katika kikao cha dharura kilichofanyika hapo jana kuwa kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni zihesabiwe tena kwa mkono.

  • Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) limeingilia chaguzi 81 duniani

    Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) limeingilia chaguzi 81 duniani

    Jun 06, 2018 14:31

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, James Clapper amekiri kwamba shirika hilo limehusika na uingiliaji wa chaguzi 81 kote duniani.

  • Upinzani Ivory Coast: Hatutaruhusu Ouattara agombee muhula wa tatu

    Upinzani Ivory Coast: Hatutaruhusu Ouattara agombee muhula wa tatu

    Jun 05, 2018 03:07

    Muungano wa upinzani nchini Ivory Coast umesema hautaruhusu mpango wowote wa kumruhusu Rais Alassane Ouattara wa nchi hiyo kugombea muhula wa tatu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    Baraza la Usalama na Arab League kukutana kujadili hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland

    13 hours ago
  • Wanawake na watoto ni kati watu zaidi ya 200 waliouawa katika mauaji mapya ya kikabila huko Darfur

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Qatar wajadili matukio ya kikanda hasa hali ya Yemen

  • Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yaendesha uchaguzi mkuu,Touadéra anawania muhula wa tatu wa urais

Chaguo La Mhariri
  • Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua  madhubuti ya kiteknolojia

    Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua madhubuti ya kiteknolojia

    12 hours ago
  • Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    21 hours ago
  • Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    21 hours ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Putin: Russia itatumia nguvu za jeshi iwapo Ukraine itakwamisha mazungumzo ya amani

  • Iran yalaani vikali shambulio baya la kigaidi nchini Syria

  • Iran: Tumejiandaa kutoa jibu chungu zaidi kwa wavamizi

  • Ayatullah Khamenei: Mashambulizi ya Marekani na Israel yalishindwa kwa hima na ushujaa wa vijana wa Iran

  • Trump adai: Zelensky hana mpango wowote kwa ajili ya amani ya Ukraine

  • China yaweka vikwazo kwa makampuni ya Marekani kwa sababu ya mauzo ya silaha kwa Taiwan

  • Hamas: Kutambuana kati ya "Israel" na "Somaliland" ni mfano hatari

  • Yemen yasema iko tayari kwa vita, yawataka Waislamu wawe macho

  • Israel yalaaniwa vikali kwa kutambua Somaliland kama nchi huru

  • Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali, ni hatua madhubuti ya kiteknolojia

  • Somalia yaitaka Israel ifute uamuzi wake wa kuitambua Somaliland

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS