Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Iran

  • Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Jul 25, 2018 01:20

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye mwezi Mei mwaka huu aliondolewa mashitaka na kuachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), anatazamiwa kurejea DRC wiki ijayo.

  • UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    Jul 24, 2018 16:24

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusu kukithiri visa vya wapiga kura kutishiwa maisha nchini Zimbabwe, baadhi yao wakilazimishwa kushiriki mikutano wa kisiasa, zikiwa zimesalia siku chache wananchi waelekee katika masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi wao.

  • Rais wa Cameroon Paul Biya kubakia madarakani hadi 2025

    Rais wa Cameroon Paul Biya kubakia madarakani hadi 2025

    Jul 14, 2018 07:51

    Rais wa Cameroon Paul Biya, ambaye yuko madarakani kwa karibu miaka 36 sasa, ametangaza kuwa atagombea muhula mwingine katika uchaguzi wa urais wa Oktoba 7 mwaka huu.

  • Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Jul 14, 2018 07:46

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye hivi karibuni aliachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ameteuliwa na chama chake kugombea urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Rais wa Ghana awafuta kazi wakuu wa tume ya uchaguzi

    Rais wa Ghana awafuta kazi wakuu wa tume ya uchaguzi

    Jun 29, 2018 07:19

    Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, Charlotte Osei kutokana kile alichotaja kama utovu wa nidhamu na utepetevu.

  • Kabila wa DRC afuata nyayo za Nkurunziza, asema hatagombea muhula wa tatu wa urais

    Kabila wa DRC afuata nyayo za Nkurunziza, asema hatagombea muhula wa tatu wa urais

    Jun 13, 2018 07:08

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo hatagombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

  • Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Jun 07, 2018 15:30

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametangaza kuwa hatagombea urais katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020, licha ya katiba mpya aliyoiidhinisha hii leo kumpa kibali cha kusalia madarakani hadi mwaka 2034.

  • Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Jun 07, 2018 03:17

    Bunge la Iraq limeamua katika kikao cha dharura kilichofanyika hapo jana kuwa kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni zihesabiwe tena kwa mkono.

  • Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) limeingilia chaguzi 81 duniani

    Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) limeingilia chaguzi 81 duniani

    Jun 06, 2018 14:31

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, James Clapper amekiri kwamba shirika hilo limehusika na uingiliaji wa chaguzi 81 kote duniani.

  • Upinzani Ivory Coast: Hatutaruhusu Ouattara agombee muhula wa tatu

    Upinzani Ivory Coast: Hatutaruhusu Ouattara agombee muhula wa tatu

    Jun 05, 2018 03:07

    Muungano wa upinzani nchini Ivory Coast umesema hautaruhusu mpango wowote wa kumruhusu Rais Alassane Ouattara wa nchi hiyo kugombea muhula wa tatu.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran yaitaka EU iachane na sera zake chovu za vitisho, mashinikizo

    Iran yaitaka EU iachane na sera zake chovu za vitisho, mashinikizo

    10 hours ago
  • Afisa wa zamani wa Pentagon: Huenda US ikaishiwa na makombora

  • Dakta Zarif: Tishio pekee kwa utawala wa Israel ni amani

  • AU yamteua Rais wa Burundi kuwa mjumbe wake maalum eneo la Sahel

  • UNESCO yailaani Israel kwa mauaji ya wanahabari wa Iran

Chaguo La Mhariri
  • Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    10 hours ago
  • Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    13 hours ago
  • Nini lengo la utawala wa kizayuni la kuzusha mgogoro nchini Syria?

    Nini lengo la utawala wa kizayuni la kuzusha mgogoro nchini Syria?

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Intelijensia: US inajifanya inataka kuzungumza na Iran wakati inajiandaa kwa vita

  • Iran yakanusha ‘madai hewa’ ya US kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu

  • Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

  • Ansarullah yapiga kwa kombora, droni maeneo hasasi ya Israel

  • Rais wa Brazil asema, Trump ni rais wa Marekani, si ‘mtawala mkuu’ wa dunia

  • Nini lengo la utawala wa kizayuni la kuzusha mgogoro nchini Syria?

  • Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel

  • Afisa wa zamani wa Pentagon: Huenda US ikaishiwa na makombora

  • Operesheni za Yemen zailazimisha Israel kuifunga bandari ya Eilat; ushindi kwa Ansarullah

  • Russia: Mashambulio ya karibuni ya Israel dhidi ya Syria yanastahili kulaaniwa 'vikali'

  • Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS