• Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)

    Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)

    Oct 10, 2022 07:44

    Siku hizi za mwezi wa Mfunguo Sita Rabiu Awwal ni fursa adhimu kwa Waislamu kote duniani kupitia tena Aya zinazohusiana na umoja na mshikamano wa Waislamu katika Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume wetu Muhammad (saw) ambaye kwa mujibu wa riwaya na mapokezi mawili tofauti ya wanazuoni na wanahistoria, alizaliwa ama tarehe 12 au 17 ya mwezi huu.

  • Umuhimu wa Umoja (kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja)

    Umuhimu wa Umoja (kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja)

    Oct 09, 2022 12:22

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami katika kipindi hiki cha kwanza cha mfululizo wa makala maalumu za Wiki ya Umoja wa Kiislamu zinazokujieni kwa mnasaba wa sherehe za Maulidi na tukio muhimu la kuzaliwa mbora wa viumbe Mtume Muhammad (saw) katika mwezi huu wa Mfunguo Sita.

  • Jumapili, 09 Oktoba, 2022

    Jumapili, 09 Oktoba, 2022

    Oct 09, 2022 02:21

    Leo ni Jumapili tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 9 Oktoba 2022 Miladia.

  • Alkhamisi tarehe 29 Septemba 2022

    Alkhamisi tarehe 29 Septemba 2022

    Sep 29, 2022 02:29

    Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Rabiul Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 29 Septemba 2022.

  • Ayatullah Khatami: Maadui wanataka kudhoofisha umoja wa Waislamu

    Ayatullah Khatami: Maadui wanataka kudhoofisha umoja wa Waislamu

    Jul 08, 2022 11:02

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa Tehran amesema maadui wanafanya juu chini kupunguza na kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu kwa kutumia mbinu mbalimbali.

  • Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili

    Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili

    Jun 06, 2022 10:13

    Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW ni ishara ya wazi ya kufilisika kimaadili.

  • Jumanne tarehe 15 Februari 2022

    Jumanne tarehe 15 Februari 2022

    Feb 15, 2022 02:20

    Leo ni Jumanne tarehe 13 Rajab 1443 Hijria inayosadifiana na Februari 15 mwaka 2022.

  • Putin akosoa hujuma dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi

    Putin akosoa hujuma dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi

    Dec 24, 2021 15:55

    Rais wa Russia amekosoa hatua za kuhujumu na kupiga ita Uislamu na matukufu ya din hiyo katika nchi za Magharibi.

  • Wiki ya Umoja na vizingiti vinavyozuia kupatikana umoja wa nchi za Kiislamu

    Wiki ya Umoja na vizingiti vinavyozuia kupatikana umoja wa nchi za Kiislamu

    Oct 26, 2021 02:30

    Tarehe 12 hadi 17 Rabiul Awwal sawa na tarehe 19 hadi 24 Oktoba zimetengwa na kutangazwa rasmi kuwa Wiki ya Umoja wa Kiislamu na Jumapili ya juzi ndiyo iliyokuwa siku ya mwisho ya wiki hiyo muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu.