Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Al-Shabaab washadidisha hujuma kabla ya uchaguzi, waua watu 4 Kenya

    Al-Shabaab washadidisha hujuma kabla ya uchaguzi, waua watu 4 Kenya

    Aug 03, 2017 02:52

    Huku uchaguzi mkuu wa Agosti 8 ukizidi kujongea nchini Kenya, kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linaonekana kushadidisha mashambulizi yake dhidi ya raia na maafisa usalama wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Wapinzani waandamana Guinea Conakry juu ya uchaguzi, usalama

    Wapinzani waandamana Guinea Conakry juu ya uchaguzi, usalama

    Aug 03, 2017 02:49

    Maelfu ya wafuasi wa kambi ya upinzani huko Guinea Conakry wamefanya maandamano katika mji mkuu Conakry kulalamikia ucheleweshwaji wa uchaguzi sambamba na kuzidi kuwa mbaya hali ya usalama nchini humo.

  • Hali ya wasiwasi yashtadi katika kukaribia uchaguzi mkuu Kenya

    Hali ya wasiwasi yashtadi katika kukaribia uchaguzi mkuu Kenya

    Aug 02, 2017 09:57

    Hali ya wasiwasi imeongezeka huko Kenya ikiwa zimesalia siku chache hadi kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo tarehe 8 Agosti.

  • Ushindi wa chama tawala nchini Senegal katika uchaguzi wa Bunge

    Ushindi wa chama tawala nchini Senegal katika uchaguzi wa Bunge

    Aug 01, 2017 08:50

    Chama tawala nchini Senegal kimejipatia ushindi katika uchaguzi wa Bunge uliofanyika Jumapili iliyopita na hivyo kudhibiti wingi wa viti katika Bunge la nchi hiyo.

  • Wachambuzi: Uchaguzi wa Bunge Senegal uligubikwa na vurugu

    Wachambuzi: Uchaguzi wa Bunge Senegal uligubikwa na vurugu

    Jul 31, 2017 02:48

    Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Senegal amesema kuwa, uchaguzi wa Bunge uliofanyika jana nchini humo uliandamana na mapungufu na matatizo mbalimbali.

  • Uchaguzi wa Bunge Senegal unafanyika kesho Jumapili huku mivutano ya kisiasa ikiongezeka

    Uchaguzi wa Bunge Senegal unafanyika kesho Jumapili huku mivutano ya kisiasa ikiongezeka

    Jul 29, 2017 08:56

    Wananchi wa Senegal waliotimiza masharti ya kupiga kura kesho wataelekea katika masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge.

  • EU haitatuma timu ya waangalizi wa uchaguzi nchini Angola

    EU haitatuma timu ya waangalizi wa uchaguzi nchini Angola

    Jul 28, 2017 21:52

    Umoja wa Ulaya umefuta mpango wa kutuma timu ya waangalizi wake katika uchaguzi wa Angola unaofanyika mwezi ujao, baada ya serikali ya Luanda kutokubali baadhi ya masharti yake.

  • Baraza la Usalama lataka kufanyika uchaguzi wa Rais Kongo

    Baraza la Usalama lataka kufanyika uchaguzi wa Rais Kongo

    Jul 27, 2017 03:05

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ichukue hatua ya kuhakikisha kuwa uchaguzi wa Rais unafanyika nchini humo hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.

  • Jamhuri ya Kongo na uchaguzi wa Bunge

    Jamhuri ya Kongo na uchaguzi wa Bunge

    Jul 22, 2017 22:18

    Katika hali ambayo duru ya kwanza ya uchaguzi wa Bunge nchini Congo Brazaville ilifanyika tarehe 16 mwezi huu wa Julai; raia wa nchi hiyo hivi sasa wanajiandaa kuelekea katika masandukuru ya kupigia kura kwa ajili ya duru ya pili ya uchaguzi huo uliopangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu.

  • Ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa bunge na mabaraza ya miji Congo Brazzaville

    Ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa bunge na mabaraza ya miji Congo Brazzaville

    Jul 22, 2017 02:50

    Chama tawala cha Leba cha nchini Congo Brazzaville kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa bunge na mabaraza ya miji nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS