-
Al-Shabaab washadidisha hujuma kabla ya uchaguzi, waua watu 4 Kenya
Aug 03, 2017 02:52Huku uchaguzi mkuu wa Agosti 8 ukizidi kujongea nchini Kenya, kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linaonekana kushadidisha mashambulizi yake dhidi ya raia na maafisa usalama wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Wapinzani waandamana Guinea Conakry juu ya uchaguzi, usalama
Aug 03, 2017 02:49Maelfu ya wafuasi wa kambi ya upinzani huko Guinea Conakry wamefanya maandamano katika mji mkuu Conakry kulalamikia ucheleweshwaji wa uchaguzi sambamba na kuzidi kuwa mbaya hali ya usalama nchini humo.
-
Hali ya wasiwasi yashtadi katika kukaribia uchaguzi mkuu Kenya
Aug 02, 2017 09:57Hali ya wasiwasi imeongezeka huko Kenya ikiwa zimesalia siku chache hadi kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo tarehe 8 Agosti.
-
Ushindi wa chama tawala nchini Senegal katika uchaguzi wa Bunge
Aug 01, 2017 08:50Chama tawala nchini Senegal kimejipatia ushindi katika uchaguzi wa Bunge uliofanyika Jumapili iliyopita na hivyo kudhibiti wingi wa viti katika Bunge la nchi hiyo.
-
Wachambuzi: Uchaguzi wa Bunge Senegal uligubikwa na vurugu
Jul 31, 2017 02:48Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Senegal amesema kuwa, uchaguzi wa Bunge uliofanyika jana nchini humo uliandamana na mapungufu na matatizo mbalimbali.
-
Uchaguzi wa Bunge Senegal unafanyika kesho Jumapili huku mivutano ya kisiasa ikiongezeka
Jul 29, 2017 08:56Wananchi wa Senegal waliotimiza masharti ya kupiga kura kesho wataelekea katika masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge.
-
EU haitatuma timu ya waangalizi wa uchaguzi nchini Angola
Jul 28, 2017 21:52Umoja wa Ulaya umefuta mpango wa kutuma timu ya waangalizi wake katika uchaguzi wa Angola unaofanyika mwezi ujao, baada ya serikali ya Luanda kutokubali baadhi ya masharti yake.
-
Baraza la Usalama lataka kufanyika uchaguzi wa Rais Kongo
Jul 27, 2017 03:05Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ichukue hatua ya kuhakikisha kuwa uchaguzi wa Rais unafanyika nchini humo hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
Jamhuri ya Kongo na uchaguzi wa Bunge
Jul 22, 2017 22:18Katika hali ambayo duru ya kwanza ya uchaguzi wa Bunge nchini Congo Brazaville ilifanyika tarehe 16 mwezi huu wa Julai; raia wa nchi hiyo hivi sasa wanajiandaa kuelekea katika masandukuru ya kupigia kura kwa ajili ya duru ya pili ya uchaguzi huo uliopangwa kufanyika tarehe 30 mwezi huu.
-
Ushindi wa chama tawala katika uchaguzi wa bunge na mabaraza ya miji Congo Brazzaville
Jul 22, 2017 02:50Chama tawala cha Leba cha nchini Congo Brazzaville kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa bunge na mabaraza ya miji nchini humo.