Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq

    Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq

    Aug 04, 2018 01:25

    Marekani imeyataarifa makundi mbalimbali ya Iraq kwamba Haider al-Abadi ndiye chaguo la Washington kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu mpya wa Iraq.

  • Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Jul 25, 2018 01:20

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye mwezi Mei mwaka huu aliondolewa mashitaka na kuachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), anatazamiwa kurejea DRC wiki ijayo.

  • UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu

    Jul 24, 2018 16:24

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusu kukithiri visa vya wapiga kura kutishiwa maisha nchini Zimbabwe, baadhi yao wakilazimishwa kushiriki mikutano wa kisiasa, zikiwa zimesalia siku chache wananchi waelekee katika masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi wao.

  • Rais wa Cameroon Paul Biya kubakia madarakani hadi 2025

    Rais wa Cameroon Paul Biya kubakia madarakani hadi 2025

    Jul 14, 2018 07:51

    Rais wa Cameroon Paul Biya, ambaye yuko madarakani kwa karibu miaka 36 sasa, ametangaza kuwa atagombea muhula mwingine katika uchaguzi wa urais wa Oktoba 7 mwaka huu.

  • Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Jul 14, 2018 07:46

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye hivi karibuni aliachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ameteuliwa na chama chake kugombea urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Rais wa Ghana awafuta kazi wakuu wa tume ya uchaguzi

    Rais wa Ghana awafuta kazi wakuu wa tume ya uchaguzi

    Jun 29, 2018 07:19

    Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Tume ya Uchaguzi nchini humo, Charlotte Osei kutokana kile alichotaja kama utovu wa nidhamu na utepetevu.

  • Kabila wa DRC afuata nyayo za Nkurunziza, asema hatagombea muhula wa tatu wa urais

    Kabila wa DRC afuata nyayo za Nkurunziza, asema hatagombea muhula wa tatu wa urais

    Jun 13, 2018 07:08

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo hatagombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

  • Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Nkurunziza asema hatogombea urais nchini Burundi mwaka 2020+SAUTI

    Jun 07, 2018 15:30

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametangaza kuwa hatagombea urais katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020, licha ya katiba mpya aliyoiidhinisha hii leo kumpa kibali cha kusalia madarakani hadi mwaka 2034.

  • Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Jun 07, 2018 03:17

    Bunge la Iraq limeamua katika kikao cha dharura kilichofanyika hapo jana kuwa kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni zihesabiwe tena kwa mkono.

  • Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) limeingilia chaguzi 81 duniani

    Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) limeingilia chaguzi 81 duniani

    Jun 06, 2018 14:31

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, James Clapper amekiri kwamba shirika hilo limehusika na uingiliaji wa chaguzi 81 kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS