Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Guterres: Afrika ipewe kiti cha kudumu Baraza la Usalama la UN

    Guterres: Afrika ipewe kiti cha kudumu Baraza la Usalama la UN

    Feb 19, 2023 23:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono wito wa kutolewa kiti cha kudumu cha Baraza la Usalama kwa bara la Afrika.

  • Wakuu wa Anglikana Afrika watishia kujitenga na UK kwa kubariki ushoga

    Wakuu wa Anglikana Afrika watishia kujitenga na UK kwa kubariki ushoga

    Feb 18, 2023 06:17

    Viongozi wa Kanisa la Kianglikana barani Afrika wametishia kujitenga na Kanisa la Uingereza kwa kubariki na kuruhusu ndoa na mahusiano ya watu wenye jinsia moja.

  • Mkutano wa viongozi wa Afrika kuanza leo, mpango wa

    Mkutano wa viongozi wa Afrika kuanza leo, mpango wa "Kunyamazisha Bunduki" unajadiliwa

    Feb 18, 2023 00:03

    Mkutano wa 36 wa viongozi wa nchi za Afrika unaanza leo Jumamosi, katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, kujadili masuala kadhaa hasa maendeleo yaliyopatikana katika kampeni ya "Kunyamazisha Bunduki" na changamoto za usalama wa chakula barani Afrika.

  • Indhari ya kuenea tishio la Daesh pasi na kutajwa waungaji mkono wake

    Indhari ya kuenea tishio la Daesh pasi na kutajwa waungaji mkono wake

    Feb 13, 2023 22:56

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya katika ripoti yake ya kiduru kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba, licha ya hasara na pigo kubwa lililopita kundi la kigaidi la Daesh katika miaka ya hivi karibuni lakini tishio la la kundi hilo la kigaidi lingali linaongezeka kwa ulimwengu.

  • Botswana yatishia kukata uhusiano na kampuni ya almasi ya Uingereza

    Botswana yatishia kukata uhusiano na kampuni ya almasi ya Uingereza

    Feb 13, 2023 06:47

    Rais Mokgweetsi Masisi wa Botswana ameonya kuwa, huenda nchi yake ikavunja uhusiano na shirika kubwa la kimataifa la almasi la De Beers, lenye makao yake huko London, Uingereza, kwa kupunjwa.

  • Papa alaani ukoloni wa kiuchumi barani Afrika

    Papa alaani ukoloni wa kiuchumi barani Afrika

    Feb 02, 2023 05:45

    Jumanne wiki hii, katika siku ya kwanza ya safari yake Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Papa Francis, kiongozi wa Wakatoliki duniani, amelaani vikali "ukoloni wa kiuchumi" unaotekelezwa barani Afrika na hasa katika nchi hiyo.

  • Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika

    Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika

    Jan 29, 2023 09:09

    Viongozi na watumiaji mitandao ya kijamii katika nchi za Afrika wameijia juu Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa kuchapisha ujumbe wa dharau na kulidhalilisha bara hilo.

  • Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Jan 28, 2023 08:50

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Jumatatu tarehe 23 mwezi huu alianza safari ya kiduru kwa kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na hadi sasa amefanya safari huko Afrika Kusini, Eswatini, Angola na Eritrea.

  • Wafadhili waahidi dola bilioni 30 kwa ajili ya kilimo barani Afrika

    Wafadhili waahidi dola bilioni 30 kwa ajili ya kilimo barani Afrika

    Jan 28, 2023 08:19

    Washirika wa maendeleo wa Afrika wameahidi kutoa dola bilioni 30 kwa maendeleo ya kilimo na uhuru wa chakula kwa bara hilo katika miaka mitano ijayo.

  • Ijumaa tarehe 13 Januari mwaka 2023

    Ijumaa tarehe 13 Januari mwaka 2023

    Jan 12, 2023 23:12

    Leo ni Ijumaa tarehe 20 Jumadithani 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 13 Januari 2023.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS