-
Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo
Aug 24, 2016 10:52Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu amewataka wapinzani wa nchi hiyo waache vitendo vya fujo na watumie njia za amani kuelezea malalamiko yao.
-
Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini
Aug 24, 2016 10:50Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.
-
Jumamosi, Agosti 13, 2016
Aug 12, 2016 22:10Leo ni Jumamosi tarehe 10 Mfunguo Pili Dhil-Qaadah mwaka 1437 Hijria mwafaka na tarehe 13 Agosti mwaka 2016 Miladia.
-
UN: Wakulima milioni 23 wanahitajia msaada kusini mwa Afrika
Jul 28, 2016 23:46Umoja wa Mataifa umesema wakulima milioni 23 katika nchi za kusini mwa Afrika wanahitajia msaada wa dharura kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa upaliliaji.
-
UN: Mzunguko wa pesa haramu watishia uchumi wa Afrika
Jul 26, 2016 22:12Kamisheni ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) imetahadharisha kuwa, mzunguko wa pesa haramu katika akthari ya nchi za Afrika unatishia ukuaji wa uchumi wa bara hilo.
-
Zarif: Njama za Israel na Saudia za kuichafua Iran zimefeli
Jul 26, 2016 12:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinaendeleza mradi wa propaganda chafu za kuidhihirisha Iran kuwa ni tishio.
-
UN: Magaidi wa ISIS yamkini wakaenea Afrika baada ya kushindwa Libya
Jul 19, 2016 09:16Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameonya kuwa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh yamkini wakaenea maeneo mengine barani Afrika baada ya kupata pigo kubwa katika mji wa Sirte nchini Libya, ambayo ilikuwa ngome yao.
-
Wake wa wakuu wa nchi za Afrika waahidi kumaliza HIV na Ukimwi ifikapo 2030
Jul 18, 2016 23:52Jumuiya ya Wake wa Wakuu wa Nchi za Afrika ya kupambana na virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi kwa kifupi (OAFLA) kwa mara nyingine tena imeahidi kuimarisha ushirikiano baina ya wanachama wa jumuiya hiyo kwa ajili ya kupambana na virusi vya HIV na Ukimwi na kusema kuwa, ajenda yao kuu ni kuhakikisha virusi hivyo vinaangamizwa kikamilifu ifikapo mwaka 2030.
-
Ushirikiano wa Togo na Burkina Faso katika vita dhidi ya ugaidi
Jul 18, 2016 23:50Nchi mbili za magharibi mwa Afrika za Togo na Burkina Faso zimesisitizia wajibu wa kushirikiana katika kupambana na ugaidi kwenye eneo lao.
-
UNICEF: HIV/UKIMWI, sababu kuu ya vifo vya vijana Afrika
Jul 18, 2016 03:18Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema virusi vya HIV na ugonjwa hatari wa UKIMWI vingali sababu kuu ya vifo vya vijana barani Afrika.