Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Rais wa Zambia ataka wapinzani waache fujo

    Aug 24, 2016 10:52

    Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu amewataka wapinzani wa nchi hiyo waache vitendo vya fujo na watumie njia za amani kuelezea malalamiko yao.

  • Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Aug 24, 2016 10:50

    Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.

  • Jumamosi, Agosti 13, 2016

    Jumamosi, Agosti 13, 2016

    Aug 12, 2016 22:10

    Leo ni Jumamosi tarehe 10 Mfunguo Pili Dhil-Qaadah mwaka 1437 Hijria mwafaka na tarehe 13 Agosti mwaka 2016 Miladia.

  • UN: Wakulima milioni 23 wanahitajia msaada kusini mwa Afrika

    UN: Wakulima milioni 23 wanahitajia msaada kusini mwa Afrika

    Jul 28, 2016 23:46

    Umoja wa Mataifa umesema wakulima milioni 23 katika nchi za kusini mwa Afrika wanahitajia msaada wa dharura kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa upaliliaji.

  • UN: Mzunguko wa pesa haramu watishia uchumi wa Afrika

    UN: Mzunguko wa pesa haramu watishia uchumi wa Afrika

    Jul 26, 2016 22:12

    Kamisheni ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) imetahadharisha kuwa, mzunguko wa pesa haramu katika akthari ya nchi za Afrika unatishia ukuaji wa uchumi wa bara hilo.

  • Zarif: Njama za Israel na Saudia za kuichafua Iran zimefeli

    Zarif: Njama za Israel na Saudia za kuichafua Iran zimefeli

    Jul 26, 2016 12:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinaendeleza mradi wa propaganda chafu za kuidhihirisha Iran kuwa ni tishio.

  • UN: Magaidi wa ISIS yamkini wakaenea Afrika baada ya kushindwa Libya

    UN: Magaidi wa ISIS yamkini wakaenea Afrika baada ya kushindwa Libya

    Jul 19, 2016 09:16

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameonya kuwa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh yamkini wakaenea maeneo mengine barani Afrika baada ya kupata pigo kubwa katika mji wa Sirte nchini Libya, ambayo ilikuwa ngome yao.

  • Wake wa wakuu wa nchi za Afrika waahidi kumaliza HIV na Ukimwi ifikapo 2030

    Wake wa wakuu wa nchi za Afrika waahidi kumaliza HIV na Ukimwi ifikapo 2030

    Jul 18, 2016 23:52

    Jumuiya ya Wake wa Wakuu wa Nchi za Afrika ya kupambana na virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi kwa kifupi (OAFLA) kwa mara nyingine tena imeahidi kuimarisha ushirikiano baina ya wanachama wa jumuiya hiyo kwa ajili ya kupambana na virusi vya HIV na Ukimwi na kusema kuwa, ajenda yao kuu ni kuhakikisha virusi hivyo vinaangamizwa kikamilifu ifikapo mwaka 2030.

  • Ushirikiano wa Togo na Burkina Faso katika vita dhidi ya ugaidi

    Ushirikiano wa Togo na Burkina Faso katika vita dhidi ya ugaidi

    Jul 18, 2016 23:50

    Nchi mbili za magharibi mwa Afrika za Togo na Burkina Faso zimesisitizia wajibu wa kushirikiana katika kupambana na ugaidi kwenye eneo lao.

  • UNICEF: HIV/UKIMWI, sababu kuu ya vifo vya vijana Afrika

    UNICEF: HIV/UKIMWI, sababu kuu ya vifo vya vijana Afrika

    Jul 18, 2016 03:18

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema virusi vya HIV na ugonjwa hatari wa UKIMWI vingali sababu kuu ya vifo vya vijana barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS