Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Benki ya ADB kuipa msaada wa fedha Sudan Kusini

    Benki ya ADB kuipa msaada wa fedha Sudan Kusini

    Jul 16, 2016 23:38

    Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) imetangaza habari ya kuipa Sudan Kusini msaada wa fedha ili itatuwe matatizo yake ya maji.

  • Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Jul 16, 2016 11:32

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, leo Jumamosi ameelekea mjini Kigali Rwanda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa nchi za Umoja wa Afrika AU.

  • Jumamosi 09 Julai 2016

    Jumamosi 09 Julai 2016

    Jul 09, 2016 01:32

    Leo ni Jumamosi tarehe 9 Julai mwaka 2016 Miladia.

  • Sierra Leone: Kuna haja Baraza la Usalama la UN lifanyiwe mageuzi

    Sierra Leone: Kuna haja Baraza la Usalama la UN lifanyiwe mageuzi

    Jul 02, 2016 23:38

    Rais Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone amesema msimamo wa viongozi wa Afrika kutaka kufanyiwa marekebisho Baraza la Usalama la Umoja Mataifa bado uko pale pale.

  • Waafrika wasisitiza umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    Waafrika wasisitiza umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 28, 2016 09:40

    Shakhsia mbalimbali wa Kiafrika wameendelea kutilia mkazo umuhimu wa kufanyika kwa mafanikio na adhama kubwa shughuli za Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Jun 28, 2016 03:17

    Kundi la nchi 54 za bara Afrika limekosoa vikali ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • Nchi za Afrika zaanzisha mpango wa kuwalinda Albino

    Nchi za Afrika zaanzisha mpango wa kuwalinda Albino

    Jun 21, 2016 03:22

    Kongamano la siku tatu la kikanda kuhusu ulemavu wa ngozi barani Afrika limehitimishwa nchini Tanzania ambapo mpango wa kwanza kabisa wa utekelezaji umeanzishwa.

  • Bajeti za nchi za Afrika Mashariki na Kati na changamoto zake

    Bajeti za nchi za Afrika Mashariki na Kati na changamoto zake

    Jun 18, 2016 06:41

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC zimesoma bajeti zao huku zikiwa zinakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kutoongezwa mishahara na kupandisha kodi za bidhaa mbalimbali. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kampala ametuandalia ripoti hii...

  • Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika

    Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika

    Jun 17, 2016 00:14

    Idadi kubwa ya vijana barani Afrika wanahisi kuwa chimbuko la matatizo, mikwaruzano na migogoro katika nchi za bara hilo imetokana na wanasiasa wenye uchu wa madaraka na ubinafsi.

  • Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi 2015

    Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi 2015

    Jun 16, 2016 11:01

    Wakfu wa Mo Ibrahim umetangaza kwamba hakukuwa na mshindi wa tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim mwaka jana 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS