Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Kongamano la kwanza la UN kuhusu Albino Afrika kufanyika Tanzania

    Kongamano la kwanza la UN kuhusu Albino Afrika kufanyika Tanzania

    Jun 15, 2016 23:20

    Kongamano la kwanza la kikanda linalofadhiliwa na Umoja wa Mataifa la kuzungumzia hatua za kuchukua kwa ajli ya watu walemavu wa ngozi (Albino) linatazamiwa kufanyika kwa muda wa siku tatu katika mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam kuanzia hapo kesho Ijumaa.

  • Mgororo wa njaa wayakumba maeneo ya Ziwa Chad

    Mgororo wa njaa wayakumba maeneo ya Ziwa Chad

    Jun 14, 2016 09:49

    Kamati ya Kimataifa ya Shirika la Msalaba Mwekundu imetangaza kuwa watu zaidi ya milioni 9 wa eneo la Ziwa Chad barani Afrika wanahitaji misaada ya dharura ya kibinadamu.

  • Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Jun 12, 2016 00:00

    Kenya imeteuliwa kuwa makao makuu ya kanda ya Kituo cha Kuratibu Udhibti wa Magonjwa Afrika, CDC-Africa, ili kufuatilia afya ya umma na changamoto katika nchi za Afrika Mashariki.

  • Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika

    Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika

    Jun 06, 2016 23:23

    Asilimia 42 ya dawa zilizopigwa marufuku katika masoko ya bara Ulaya tangu mwaka 2012, zinauzwa katika nchi za bara Afrika.

  • Sisitizo la kuendeshwa mapambano ya pande zote dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Sisitizo la kuendeshwa mapambano ya pande zote dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Jun 05, 2016 06:28

    Rais wa Senegal amezitolea mwito serikali mbalimbali kushirikiana na kukusanya nguvu na nyezo zote ili kupambana na makundi yenye misimamo ya kufurutu ada.

  • Umoja wa Afrika wakosoa kasi ndogo ya ufungamano barani Afrika

    Umoja wa Afrika wakosoa kasi ndogo ya ufungamano barani Afrika

    May 30, 2016 03:02

    Umoja wa Afrika umelalamika kuhusu kasi ndogo ya kuelekea kwenye mafungamano ya bara la Afrika.

  • Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    May 26, 2016 02:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza azma yake ya kuimarisha uhusiano wa pande zote na bara la Afrika.

  • Siku ya Afrika inaadhimishwa leo mjini Tehran

    Siku ya Afrika inaadhimishwa leo mjini Tehran

    May 25, 2016 03:01

    Sherehe za kuadhimisha Siku ya Afrika zinafanyika leo hapa mjini Tehran katika ofisi ya utafiti wa kisiasa na kimataifa ya Wizara ya Mambo ya Nje.

  • Kirusi hatari cha Zika charipotiwa Afrika kwa mara ya kwanza

    Kirusi hatari cha Zika charipotiwa Afrika kwa mara ya kwanza

    May 20, 2016 11:55

    Kirusi hatari cha Zika kimeripotiwa kuibuka barani Afrika kwa mara ya kwanza katika Visiwa vya Cape Verde magharibi mwa bara hilo.

  • Msalaba Mwekundu: Watu milioni 31 wanahitaji misaada ya dharura kusini mwa Afrika

    Msalaba Mwekundu: Watu milioni 31 wanahitaji misaada ya dharura kusini mwa Afrika

    May 17, 2016 23:03

    Mashirika ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu yamesema yanahitaji dola milioni 110 za Marekani ili kuzisaidia nchi za kusini mwa Afrika, zinazokabiliwa na hali mbaya ya ukosefu wa chakula na lishe duni iliyosababishwa na ukame.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS