Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • "Mapinduzi ya Kiislamu yaliathiri mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya apartheid"

    Feb 05, 2025 12:18

    Mwanahabari mkongwe mjini Cape Town, Farid Sayed amesema Mapinduzi ya Kiislamu na kuasisiwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kulikuwa na athari kubwa kwa mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya mfumo wa ubaguzi wa rangi wa apartheid.

  • Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani

    Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani

    Feb 05, 2025 02:41

    Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.

  • Ramaphosa: Afrika Kusini haitajitoa katika kikosi cha kulinda amani Kongo

    Ramaphosa: Afrika Kusini haitajitoa katika kikosi cha kulinda amani Kongo

    Feb 04, 2025 02:50

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameahidi kuendelea kuisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo licha ya wananchi wa Afrika Kusini kutoa wito wa kuondoka Kongo wanajeshi wa nchi hiyo kufuatia vifo vya walinda amani 14 wa Afrika Kusini.

  • Familia za wahanga zaishtaki serikali ya Afrika Kusini kwa jinai za ubaguzi wa rangi

    Familia za wahanga zaishtaki serikali ya Afrika Kusini kwa jinai za ubaguzi wa rangi

    Jan 24, 2025 03:36

    Familia 25 za wahanga na manusura wa jinai za kisiasa zilizofanyika zama za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini zimemfungulia mashtaka Rais wa Cyril Ramaphosa wa nchi iyo na serikali yake kwa kile zinachosema ni kushindwa kuchunguza ipasavyo makosa hayo na kutoa haki mkabala wa jinai hizo za kisiasa.

  • Naibu Rais wa Afrika Kusini: Afrika ijistawishe bila kutegemea Magharibi

    Naibu Rais wa Afrika Kusini: Afrika ijistawishe bila kutegemea Magharibi

    Jan 21, 2025 12:52

    Naibu wa Rais wa Afrika Kusini, Paul Mashatile amesema kuwa, bara la Afrika linapaswa kuhitimisha utegemezi wake kwa madola ya Magharibi.

  • Afrika Kusini yaimarisha ulinzi kwenye mpaka wake na Msumbiji ili kuzuia jinai

    Afrika Kusini yaimarisha ulinzi kwenye mpaka wake na Msumbiji ili kuzuia jinai

    Dec 30, 2024 12:22

    Afrika Kusini imeimarisha ulinzi na doria kwenye mpaka wake na Msumbiji ili kuzuia na kupambana na uhalifu nyemelezi unaoweza kujitokeza kutokana na maandamano yanayoendelea katika nchi hiyo jirani.

  • Ireland yajiunga na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Ireland yajiunga na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Dec 13, 2024 03:40

    Serikali ya Ireland imetangaza kujiunga na kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya utawala haramu wa Israel unaotenda jinai dhidi ya Wapalestina.

  • Reuters: Trump amemwambia Zelensky anataka vita

    Reuters: Trump amemwambia Zelensky anataka vita "visimamishwe mara moja"

    Dec 12, 2024 10:32

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemwambia Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwamba anataka kukomeshwa uhasama wa vita kati ya Russia na Ukraine haraka iwezekanavyo. Hayo ni kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters likizinukuu duru kadhaa.

  • Ramaphosa: G-20 ijihadhari na sera za Trump za

    Ramaphosa: G-20 ijihadhari na sera za Trump za "Marekani Kwanza"

    Dec 04, 2024 12:46

    Wakati dunia ikisubiri kuapishwa rais mteule wa Marekani, Donald Trump, Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametahadharisha kuhusu sera za kiongozi huyo mpya za "Marekani Kwanza".

  • Polisi Afrika Kusini wavamia maghala ya chakula kusaka bidhaa zilizokwisha muda wake

    Polisi Afrika Kusini wavamia maghala ya chakula kusaka bidhaa zilizokwisha muda wake

    Nov 22, 2024 02:32

    Polisi wa Afrika Kusini wamegundua vyakula vinavyoshukiwa kuisha muda wake wakati walipovamia maghala kadhaa ya chakula mjini Durban.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS