Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

afya

  • Mlipuko wa ugonjwa wa surua waua watu 70 Samoa

    Mlipuko wa ugonjwa wa surua waua watu 70 Samoa

    Dec 10, 2019 07:37

    Umoja wa Mataifa umesema mlipuko wa ugonjwa wa surua (measles) umeua makumi ya watu katika kisiwa cha Samoa kilichoko katika Bahari ya Pacific.

  • WHO: Malaria ingali tishio, yaua mtoto mmoja katika kila dakika 2

    WHO: Malaria ingali tishio, yaua mtoto mmoja katika kila dakika 2

    Dec 04, 2019 07:12

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema ugonjwa wa malaria ungali tishio kubwa linalowaathiri mamilioni ya watu kila mwaka kote duniani hususan katika nchi za Afrika.

  • Homa ya mapafu (pneumonia) inaua mtoto mmoja katika kila sekunde 39

    Homa ya mapafu (pneumonia) inaua mtoto mmoja katika kila sekunde 39

    Nov 12, 2019 08:00

    Taasisi za afya duniani zimeripoti kuwa, homa ya mapafu (pneumonia) inaua mtoto mmoja katika kila sekunde 39, na kwamba ugonjwa huo uliua watoto laki nane mwaka jana pekee.

  • Uganda yawapa chanjo ya surua na polio watoto milioni 18

    Uganda yawapa chanjo ya surua na polio watoto milioni 18

    Oct 16, 2019 07:32

    Wizara ya Afya ya Uganda kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani WHO zinatazamiwa kuanza kuwapa chanjo za surua (measles) na ugonjwa wa kupooza (polio) watoto milioni 18 wenye chini ya umri wa miaka 15 nchini humo.

  • Homa ya Dengue yaua watu wanne nchini Tanzania

    Homa ya Dengue yaua watu wanne nchini Tanzania

    Jun 21, 2019 14:25

    Serikali ya Tanzania leo Ijumaa imetoa kauli Bungeni kuhusu homa ya Dengue na kubainisha kwamba, tangu mwezi Januari hadi Juni mwaka huu 2019, watu wanne wamefariki dunia huku maelfu ya wengine wakiwa wameugua ugonjwa huo.

  • WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 8 kila mwaka duniani

    WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 8 kila mwaka duniani

    May 31, 2019 02:29

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni nane wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani, kutoka milioni saba mwaka 2017.

  • WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    WHO kutangaza karibuni kuwa Afrika imetokomeza ugonjwa wa Polio

    May 29, 2019 08:05

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa huenda likatangaza karibuni hivi kuwa bara Afrika halina tena ugonjwa wa kupooza wa Polio.

  • Ugonjwa wa TB waua watu 4,500 kila siku, WHO yaazimia kuutokomoeza

    Ugonjwa wa TB waua watu 4,500 kila siku, WHO yaazimia kuutokomoeza

    Mar 21, 2019 08:00

    Ugonjwa wa kifua kikuu au TB huua watu 4,500 kila siku duniani na Shirika la Afya Duniani WHO, limeazimia kutokomeza ugonjwa huo sugu.

  • Homa ya Manjano yaua watu 10 nchini Ethiopia

    Homa ya Manjano yaua watu 10 nchini Ethiopia

    Nov 06, 2018 08:03

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa watu 10 wamepoteza maisha kutokana na Homa ya Manjano kusini magharibi Ethiopia.

  • Homa ya Lassa imeshaua zaidi ya watu 140 nchini Nigeria

    Homa ya Lassa imeshaua zaidi ya watu 140 nchini Nigeria

    Apr 05, 2018 14:41

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na homa ya Lassa nchini Nigeria imepindukia 140.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS