-
Iran yaongoza katika utoaji makala za kielimu na kisayansi kati ya nchi za Kiislamu
Jan 05, 2018 08:02Mkuu wa utafiti na teknolojia wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inashika nafasi ya kwanza kati ya nchi za Kiislamu katika utoaji makala za kielimu na kisayansi baada ya kutoa jumla ya makala 52,160 za kielimu.
-
Indhari ya WHO kutokana na mripuko wa tauni iliyoua watu 24 Madagascar
Oct 01, 2017 15:28Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasi wasi wake kutokana na mripuko wa ugonjwa wa tauni ambao umeua makumi ya watu kufikia sasa nchini Madagascar.
-
Mlipuko wa kipindupindu waua zaidi ya watu 50 nchini Chad
Sep 22, 2017 07:46Watu zaidi ya 50 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Chad.
-
Watoto 34 waaga dunia hospitalini India kwa kukosa hewa
Aug 12, 2017 07:56Watoto zaidi ya 30 wameripotiwa kupoteza maisha wakiwa katika hospitali moja ya serikali kaskazini mwa India, kwa kukosa hewa ya oksijeni ndani ya masaa 48.
-
UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan
Jun 13, 2017 13:28Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.
-
DRC yadhibiti ugonjwa hatari wa Ebola
Jun 03, 2017 07:12Wizara ya Afya huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kufanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola.
-
UN: Kipindupindu kimeua watu 600 nchini Yemen Aprili
Jun 03, 2017 03:23Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu umeua karibu watu 600 nchini Yemen ndani ya mwezi wa Aprili pekee mwaka huu.
-
Mripuko wa homa ya ndege waripotiwa Kongo DR
May 31, 2017 14:55Mripuko wa homa hatari ya ndege imeripotiwa katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 7 kila mwaka duniani
May 31, 2017 04:00Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni saba wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani.
-
Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania
Mar 31, 2017 15:03Mahakama ya Leba nchini Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuwaajiri mamia ya madaktari kutoka nchi jirani ya Tanzania.