Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

afya

  • Iran yaongoza katika utoaji makala za kielimu na kisayansi kati ya nchi za Kiislamu

    Iran yaongoza katika utoaji makala za kielimu na kisayansi kati ya nchi za Kiislamu

    Jan 05, 2018 08:02

    Mkuu wa utafiti na teknolojia wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inashika nafasi ya kwanza kati ya nchi za Kiislamu katika utoaji makala za kielimu na kisayansi baada ya kutoa jumla ya makala 52,160 za kielimu.

  • Indhari ya WHO kutokana na mripuko wa tauni iliyoua watu 24 Madagascar

    Indhari ya WHO kutokana na mripuko wa tauni iliyoua watu 24 Madagascar

    Oct 01, 2017 15:28

    Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasi wasi wake kutokana na mripuko wa ugonjwa wa tauni ambao umeua makumi ya watu kufikia sasa nchini Madagascar.

  • Mlipuko wa kipindupindu waua zaidi ya watu 50 nchini Chad

    Mlipuko wa kipindupindu waua zaidi ya watu 50 nchini Chad

    Sep 22, 2017 07:46

    Watu zaidi ya 50 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Chad.

  • Watoto 34 waaga dunia hospitalini India kwa kukosa hewa

    Watoto 34 waaga dunia hospitalini India kwa kukosa hewa

    Aug 12, 2017 07:56

    Watoto zaidi ya 30 wameripotiwa kupoteza maisha wakiwa katika hospitali moja ya serikali kaskazini mwa India, kwa kukosa hewa ya oksijeni ndani ya masaa 48.

  • UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    Jun 13, 2017 13:28

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.

  • DRC yadhibiti ugonjwa hatari wa Ebola

    DRC yadhibiti ugonjwa hatari wa Ebola

    Jun 03, 2017 07:12

    Wizara ya Afya huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kufanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

  • UN: Kipindupindu kimeua watu 600 nchini Yemen Aprili

    UN: Kipindupindu kimeua watu 600 nchini Yemen Aprili

    Jun 03, 2017 03:23

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu umeua karibu watu 600 nchini Yemen ndani ya mwezi wa Aprili pekee mwaka huu.

  • Mripuko wa homa ya ndege waripotiwa Kongo DR

    Mripuko wa homa ya ndege waripotiwa Kongo DR

    May 31, 2017 14:55

    Mripuko wa homa hatari ya ndege imeripotiwa katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 7 kila mwaka duniani

    WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 7 kila mwaka duniani

    May 31, 2017 04:00

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni saba wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani.

  • Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania

    Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania

    Mar 31, 2017 15:03

    Mahakama ya Leba nchini Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuwaajiri mamia ya madaktari kutoka nchi jirani ya Tanzania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS