Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Canada

  • Burundi yalaani kitendo cha serikali ya Canada kuwazuia Warundi kushiriki kura ya maoni

    Burundi yalaani kitendo cha serikali ya Canada kuwazuia Warundi kushiriki kura ya maoni

    May 18, 2018 04:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Burundi imekosoa vikali hatua ya viongozi wa Canada ya kuwazuia Warundi wanaoishi katika nchi hiyo kushiriki katika kura ya maoni ya jana na kusema kuwa, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Kikao cha G7 na hitilafu za ndani

    Kikao cha G7 na hitilafu za ndani

    Apr 24, 2018 06:22

    Kikao cha siku mbili cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa G7 kimemaliza kazi zake huko Toronto nchini Canada.

  • Msichana mdogo Muislamu ashambuliwa kutokana na Hijabu yake nchini Canada

    Msichana mdogo Muislamu ashambuliwa kutokana na Hijabu yake nchini Canada

    Jan 13, 2018 07:48

    Polisi wa mjini Toronto Canada wametangaza habari ya kushambuliwa binti mmoja mdogo Muislamu kutokana na kuvaa Hijabu.

  • Maadui wa Uislamu wapinga kutangazwa siku ya kupambana na chuki dhidi ya Waislamu nchini Canada

    Maadui wa Uislamu wapinga kutangazwa siku ya kupambana na chuki dhidi ya Waislamu nchini Canada

    Jan 10, 2018 04:37

    Kundi la mrengo wa kulia la maadu wa Uislamu katika mji wa Quebec nchini Canada wamepinga ombi la Waislamu la kutangazwa rasmi siku ya kupambana na chuki dhidi ya Waislamu kama njia ya kukumbuka tukio la kushambuliwa kwa risasi msikiti wa Quebec.

  • Wanawake Waislamu Quebec, Canada wapigwa marufuku kuvaa niqab

    Wanawake Waislamu Quebec, Canada wapigwa marufuku kuvaa niqab

    Oct 19, 2017 07:49

    Jimbo la Quebec nchini Canada limepaisha sheria za kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa Hijabu yenye kufunika uso mzima maarufu kama niqab wakiwa wanatumia huduma za umma.

  • Canada yatangaza kuwaunga mkono Waislamu wa Myanmar

    Canada yatangaza kuwaunga mkono Waislamu wa Myanmar

    Sep 18, 2017 03:43

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Canada ameeleza wasiwasi mkubwa alionao kuhusiana na hali mbaya wanayokabiliwa nayo Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar.

  • Ijumaa, Septemba 8, 2017

    Ijumaa, Septemba 8, 2017

    Sep 08, 2017 02:45

    Leo ni Ijumaa tarehe 17 Mfunguo Tatu Dhulhaji, 1438 Hijria, sawa na tarehe 8 Septemba, 2017 Milaadia.

  • Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Canada yasusia Israel

    Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Canada yasusia Israel

    Sep 06, 2017 03:41

    Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi katika sekta binafsi nchini Canada imetangaza rasmi kujiunga na 'Harakati ya Ulimwengu ya Ususiaji wa Israel' maarufu kwa jina la BDS.

  • Waislamu wa Canada wafanya sherehe ya kutangaza Uislamu halisi

    Waislamu wa Canada wafanya sherehe ya kutangaza Uislamu halisi

    Aug 29, 2017 04:26

    Waislamu wa mkoa wa Alberta nchini Canada wamefanya sherehe iliyopewa jina la 'Siku ya Turathi za Kiislamu' kwa lengo la kuitangaza dini ya Uislamu kwa watu wasiokuwa Waislamu.

  • Mamia ya watu wasio na hatia wafariki dunia katika jela za Canada

    Mamia ya watu wasio na hatia wafariki dunia katika jela za Canada

    Aug 04, 2017 03:30

    Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa, karibu watu 270 ambao yapata thuluthi mbili yao hawakuwa na kosa lolote la kisheria, wamefariki dunia katika jela za Canada katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS