Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Magaidi 76 wa Daesh waangamizwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Magaidi 76 wa Daesh waangamizwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Jan 03, 2017 10:21

    Vyombo vya usalama nchini Iraq vimetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul ulioko kaskazini mwa nchi.

  • Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa

    Mamia ya matakfiri wanaorejea Tunisia wakamatwa

    Dec 31, 2016 03:57

    Msemaji wa serikali ya Tunisia ametangaza habari ya kukamatwa mamia ya matakfiri wanaorejea nchini humo kutoka eneo la Mashariki ya Kati.

  • Kundi la Daesh limetishia tena kuishambulia Russia

    Kundi la Daesh limetishia tena kuishambulia Russia

    Dec 21, 2016 10:59

    Kundi la kigaidi la Daesh limetuma ujumbe na kutishia kuzishambulia balozi za Russia kote ulimwenguni.

  • Assad: Wamagharibi wanawapa himaya magaidi na sio raia

    Assad: Wamagharibi wanawapa himaya magaidi na sio raia

    Dec 15, 2016 00:52

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema serikali za nchi za Magharibi zinawapa himaya na kuwakingia kifua magaidi wanaofanya jinai nchini humo na wala hazijali hali ya raia wa kawaida wa nchi hiyo.

  • Daesh wazidi kupata pigo Iraq, watega mabomu ndani ya Qur'ani karibu na Mosul

    Daesh wazidi kupata pigo Iraq, watega mabomu ndani ya Qur'ani karibu na Mosul

    Dec 07, 2016 00:26

    Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wameanza tena kutega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu na kuziacha mabarabarani na nje ya majumba katika kijiji cha Kanous, karibu na mji wa Mosul nchini Iraq.

  • Jumatano 07 Disemba, 2016

    Jumatano 07 Disemba, 2016

    Dec 07, 2016 00:24

    Leo ni Jumatano tarehe 7 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 7, 2016.

  • Viongozi wa kundi la Daesh watoroka mji wa Mosul

    Viongozi wa kundi la Daesh watoroka mji wa Mosul

    Dec 06, 2016 04:14

    Vyombo vya kuaminika katika mkoa wa Nineveh huko kaskazini mwa Iraq vimeripoti kuwa, makamanda wa kundi la Daesh akiwemo kiongozi wa kundi hilo, Abu Bakar al Baghdadi, wameukimbia mji wa Mosul na kuelekea katika maeneo ya mpaka wa Iraq na Syria.

  • Jeshi la serikali Libya ladhibiti kikamilifu mji wa Sirte

    Jeshi la serikali Libya ladhibiti kikamilifu mji wa Sirte

    Dec 06, 2016 00:07

    Vikosi vya jeshi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya vinaudhibiti kikamilifu mji wa Sirte kaskazini mwa Libya.

  • Makumi ya raia waokolewa kutoka mikononi mwa magaidi nchini Libya

    Makumi ya raia waokolewa kutoka mikononi mwa magaidi nchini Libya

    Dec 04, 2016 03:57

    Habari kutoka nchini Libya zinasema kuwa, jeshi la serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo limefanikiwa kuwaokoa makumi ya raia waliokuwa wametekwa nyara na genge la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh mjini Sirte.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Ushindi dhidi ya DAESH unakaribia

    Waziri Mkuu wa Iraq: Ushindi dhidi ya DAESH unakaribia

    Dec 03, 2016 04:21

    Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amesema, kutokana na kusonga mbele vikosi vya pamoja vya nchi hiyo katika pande zote za medani ya vita kwa ajili ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwenye makucha ya kundi la kigaidi la kitakfiri na Daesh, ushindi wa jeshi la nchi hiyo uko karibu mno kupatikana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS