Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Mshauri wa Trump alipewa rushwa ya mabilioni ya dola na Saudia na Imarati

    Mshauri wa Trump alipewa rushwa ya mabilioni ya dola na Saudia na Imarati

    Jul 29, 2019 08:01

    Wapelelezi wa serikali kuu ya Marekani wanachunguza madai ya mshauri wa uchaguzi wa Rais Dolad Trump wa nchi hiyo kupewa rushwa ya mabilioni ya dola na saudia na Imarati.

  • Washington Post: Trump ni jinamizi baya zaidi kwa demokrasia

    Washington Post: Trump ni jinamizi baya zaidi kwa demokrasia

    Jul 29, 2019 03:37

    Gazeti la Washington Post limemtaja rais wa Marekani Donald Trump kuwa ni jinamizi baya zaidi linaloitambalia demokrasia ya nchi hiyo.

  • Afisa wa zamani wa CIA: Trump amebomoa muungano wa nchi za Magharibi

    Afisa wa zamani wa CIA: Trump amebomoa muungano wa nchi za Magharibi

    Jul 28, 2019 23:50

    Afisa wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amesema kuwa rais wa nchi hiyo amebomoa muungano wa nchi za Magharibi.

  • Wasiwasi wa Russia wa kuwekwa silaha za Marekani katika anga za mbali

    Wasiwasi wa Russia wa kuwekwa silaha za Marekani katika anga za mbali

    Jul 28, 2019 06:35

    Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ambaye siku zote amekuwa akisisitiza udharura wa kuimarishwa nguvu ya jeshi la nchi hiyo, sasa inafuatilia mipango ya kuweka silaha zake tofauti katika anga za mbali, ikiwemo mifumo ya kukabiliana na makombora.

  • Idadi ya wabunge wa Marekani wanaotaka Trump auzuliwe inazidi kuongezeka

    Idadi ya wabunge wa Marekani wanaotaka Trump auzuliwe inazidi kuongezeka

    Jul 27, 2019 09:21

    Idadi ya wajumbe wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wanaotaka rais wa nchi hiyo Donald Trump asailiwe kwa lengo la kumuuzulu imeongezeka baada ya wajumbe wengine wanne kuunga mkono hoja hiyo.

  • Sisitizo la Pompeo kuhusu nafasi ya Saudia katika kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Sisitizo la Pompeo kuhusu nafasi ya Saudia katika kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Jul 27, 2019 06:22

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imezingatia sana eneo la Ghuba ya Uajemi na nchi za kusini mwa eneo hili hususan Saudi Arabia, ambapo imetiliana nayo saini mikataba ya mauzo ya silaha ambayo ilikuwa haijawahi kushuhudiwa huko nyuma.

  • Trump aupiga veto muswada wa Congress wa kupiga marufuku uuzaji silaha kwa Saudia na Imarati

    Trump aupiga veto muswada wa Congress wa kupiga marufuku uuzaji silaha kwa Saudia na Imarati

    Jul 25, 2019 21:06

    Katika juhudi za kuzifanya siasa zake za nje kuwa za kibiashara zaidi, Rais Donald Trump wa Marekani amelipa kipaumbele suala la mauzo ya silaha za nchi hiyo.

  • Trump avunja rekodi ya kusema uongo

    Trump avunja rekodi ya kusema uongo

    Jul 24, 2019 07:49

    Kanali ya televisheni ya CNN imeanzisha kampeni maalumu ya kutathmini ukweli na uongo wa matamshi anayotoa rais wa Marekani Donald Trump na kuripoti kuwa katika muda wa wiki moja iliyopita kiongozi huyo amesema uongo mara 61.

  • Trump: Ni vigumu sana kufikia makubaliano na Iran

    Trump: Ni vigumu sana kufikia makubaliano na Iran

    Jul 23, 2019 00:08

    Rais Donald Trump wa Marekani ambaye baada ya nchi yake kujiondoa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA alitaka kufanyika mazungumzo mapya na Iran, ingawa hakupata jibu chanya kutoka kwa Tehran, sasa amesema kuwa kufikiwa makubaliano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni suala gumu sana.

  • Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki

    Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki

    Jul 19, 2019 22:01

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, kwa sasa serikkali ya Washington haina mpango wa kuiwekea vikwazo Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS