Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Homa ya Manjano yaua watu 10 nchini Ethiopia

    Homa ya Manjano yaua watu 10 nchini Ethiopia

    Nov 06, 2018 04:33

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa watu 10 wamepoteza maisha kutokana na Homa ya Manjano kusini magharibi Ethiopia.

  • Baraza la Usalama la UN kuiondolea vikwazo Eritrea

    Baraza la Usalama la UN kuiondolea vikwazo Eritrea

    Nov 04, 2018 04:34

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kuiondolea vikwazo Eritrea ndani ya siku chache zijazo, ilivyowekewa mwaka 2009 kwa tuhuma za kuliunga mkono kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la nchi jirani ya Somalia.

  • Ethiopia yaondoa rasmi viza kwa Waafrika

    Ethiopia yaondoa rasmi viza kwa Waafrika

    Oct 27, 2018 04:04

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed jana alitangaza kuwa, kuanzia tarehe 9 mwezi ujao wa Novemba, nchi yake itawaondolea viza raia wote wa nchi za Afrika.

  • Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Ethiopia yapata rais wa kwanza mwanamke

    Oct 25, 2018 10:25

    Bunge la Ethiopia limemuidhinisha mwandiplomasia wa kimataifa, Sahle-Work Zewde kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Ethiopia yasaini makubaliano ya amani na kundi la waasi wa Ogaden

    Ethiopia yasaini makubaliano ya amani na kundi la waasi wa Ogaden

    Oct 22, 2018 23:32

    Ethiopia imesema kuwa imesaini makubaliano ya amani na kundi lililokuwa likipigania kujitenga la Waasi wa Harakati ya Taifa ya Ukombozi wa Ogaden (ONLF) na hivyo kuhitimisha rasmi uasi uliodumu kwa zaidi ya miongo mitatu katika mkoa wa Somalia mashariki mwa nchi hiyo.

  • Ethiopia yawaachia huru watu 1,174 waliohusishwa na machafuko ya Addis Ababa

    Ethiopia yawaachia huru watu 1,174 waliohusishwa na machafuko ya Addis Ababa

    Oct 18, 2018 12:54

    Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kuachiwa huru mamia ya watu waliokamatwa wakati wa ghasia zilizoshuhudiwa mwezi uliopita wa Septemba katika mji mkuu, Addis Ababa.

  • Kwa mara ya kwanza, Mwislamu mwanamke ateuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi Ethiopia

    Kwa mara ya kwanza, Mwislamu mwanamke ateuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi Ethiopia

    Oct 17, 2018 05:25

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed Ali amemteua mwanamke Mwislamu kuwa Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, hii ikiwa ni mara ya kwanza kabisa katika historia ya nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia afikia makubaliano na wanajeshi waliotaka nyongeza ya mishahara

    Waziri Mkuu wa Ethiopia afikia makubaliano na wanajeshi waliotaka nyongeza ya mishahara

    Oct 11, 2018 04:42

    Abiy Ahmed Waziri Mkuu wa Ethiopia jana alifikia makubaliano na mamia kadhaa ya wanajeshi wa nchi hiyo waliofika ofisini kwake wakidai nyongeza ya mishahara; ambapo wanajeshi hao walikubaliwa kumuona Waziri Mkuu huyo.

  • Ethiopia kuanza kuwapa Waafrika viza wakishawasili nchini humo

    Ethiopia kuanza kuwapa Waafrika viza wakishawasili nchini humo

    Oct 09, 2018 03:55

    Rais wa Ethiopia, Mulatu Teshome amesema nchi hiyo karibuni hivi itaanza kuwapa raia wote wa bara Afrika viza mara tu watakapowasili katika nchi hiyo.

  • Zaidi ya watu elfu 70 wakimbia machafuko ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Zaidi ya watu elfu 70 wakimbia machafuko ya kikabila magharibi mwa Ethiopia

    Oct 02, 2018 12:35

    Zaidi ya watu elfu 70 wamekimbia machafuko na ghasia za kikabila huko magharibi mwa Ethiopia. Machafuko hayo yanatajwa kuwa ni sehemu ya ghasia zilizoikumba Ethiopia katika siku za hivi karibuni na kuzidisha mashinikizo kwa serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS