Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yakamata watu 107 waliohusika na ghasia

    Ethiopia yakamata watu 107 waliohusika na ghasia

    Jan 05, 2018 11:09

    Serikali ya Ethiopia imewatia mbaroni watu 107 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizotokea hivi karibuni kwenye eneo la mpaka wa mikoa ya Somali na Oromia.

  • Ethiopia kuwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Ethiopia kuwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Jan 03, 2018 11:42

    Katika hatua ya kushtukiza, Waziri Mkuu wa Ethiopia ametangaza mpango wa serikali wa kufuta mashitaka dhidi ya wafungwa wote wa kisiasa sambamba na kufunga jela ya kuogofya ambako wafungwa hao walikuwa wanazuiliwa.

  • Ethiopia yailaumu Saudia kwa kuwanyanyasa na kuwaadhibu Waethiopia waliofukuzwa nchini humo

    Ethiopia yailaumu Saudia kwa kuwanyanyasa na kuwaadhibu Waethiopia waliofukuzwa nchini humo

    Dec 28, 2017 12:54

    Serikali ya Ethiopia imeulaumu utawala wa Saudi Arabia kwa sababu ya vitendo vya unyanyasaji na vya kuwaadhibu maelfu ya raia wa Ethiopia waliofukuzwa nchini Saudia.

  • Zaidi ya 60 wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia

    Zaidi ya 60 wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia

    Dec 18, 2017 04:08

    Kwa akali watu 61 wameuawa katika wimbi jipya la mapigano ya kikabila katika eneo la Oromiya nchini Ethiopia.

  • Ethiopia yatuma maelfu ya askari Somali kukabiliana na magaidi wa Al Shabab

    Ethiopia yatuma maelfu ya askari Somali kukabiliana na magaidi wa Al Shabab

    Nov 03, 2017 10:57

    Ethiopia imetuma maelfu ya askari katika nchi jirani ya Somalia kusaidia katika jitihada za kieneo za kupambana na kundi la magaidi wakufurishaji wa Al Shabab ambao wamekuwa wakitekeleza hujuma nchini humo na katika nchi jirani.

  • Mamia ya watu watiwa mbaroni kwa kuhusika na machafuko nchini Ethiopia

    Mamia ya watu watiwa mbaroni kwa kuhusika na machafuko nchini Ethiopia

    Oct 29, 2017 12:22

    Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kutiwa mbaroni mamia ya watu kwa kuhusika na machafuko yaliyotokea kwenye eneo la Oromia la kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Polisi ya Ethiopia yaua watu 5 katika eneo la Oromiya

    Polisi ya Ethiopia yaua watu 5 katika eneo la Oromiya

    Oct 27, 2017 00:40

    Watu wasiopungua 5 wameuawa baada ya polisi ya Ethiopia kuwafyatulia risasi waandamanaji katika mji mmoja wa eneo lenye ghasia na machafuko ya mara kwa mara la Oromiya.

  • Ethiopia kuendelea kushirikiana na Somalia katika vita dhidi ya al-Shabaab

    Ethiopia kuendelea kushirikiana na Somalia katika vita dhidi ya al-Shabaab

    Oct 25, 2017 00:33

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn amesema nchi yake itaendelea kushirikiana na Somalia katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.

  • Spika wa Bunge Ethiopia ajiuzulu, apinga sera za serikali dhidi ya Oromo

    Spika wa Bunge Ethiopia ajiuzulu, apinga sera za serikali dhidi ya Oromo

    Oct 09, 2017 00:17

    Spika wa Bunge la Ethiopia amejiuzulu kwa kile kinachotajwa kuwa ni kuonesha malalamiko yake dhidi ya hatua zilizochukuliwa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya watu wa kabila la Oromo.

  • Maelfu waandamana Ethiopia katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu

    Maelfu waandamana Ethiopia katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu

    Oct 02, 2017 10:58

    Maelfu ya raia wa Ethiopia wameandamana katika kumbukumbu ya mauaji ya Bishoftu na kupiga nara kuilaani serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu Hailemariam Desalegn.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS