Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yarefusha muda wa sheria ya hali ya hatari kwa miezi 4

    Ethiopia yarefusha muda wa sheria ya hali ya hatari kwa miezi 4

    Mar 30, 2017 11:15

    Bunge la Ethiopia limetangaza habari ya kurefushwa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa muda wa miezi minne zaidi, wiki mbili baada ya serikali kufuta sheria hiyo.

  • Idadi ya waliofariki dunia katika maporomoko ya taka Ethiopia yafikia 113

    Idadi ya waliofariki dunia katika maporomoko ya taka Ethiopia yafikia 113

    Mar 16, 2017 04:22

    Nchini Ethiopia, idadi ya vifo vilivyosababiswa na maporomoko ya taka katika eneo la kutupa taka viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo Addis Ababa imefikia 113

  • Amnesty yailaumu serikali kwa maporomoko ya taka Ethiopia, waliokufa wakifikia 65

    Amnesty yailaumu serikali kwa maporomoko ya taka Ethiopia, waliokufa wakifikia 65

    Mar 14, 2017 11:25

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema serikali ya Ethiopia inabeba dhima ya vifo vya makumi ya watu katika mkasa wa maporomoko ya udongo katika eneo la kutupa taka viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo Addis Ababa.

  •  48 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo jalalani Ethiopia

    48 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo jalalani Ethiopia

    Mar 13, 2017 11:00

    Watu wasiopungua 48 wakiwemo watoto 15 wamefariki dunia katika maporomoko ya udongo yaliyotokea kwenye dampo kubwa la takataka nje kidogo ya mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa. Hayo yameelezwa na msemaji wa Halmashauri ya mji wa Addis Ababa.

  • UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia

    UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia

    Jan 29, 2017 10:18

    Umoja wa Mataifa umesema mamilioni ya watu wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na athari za kiangazi na ukame nchini Ethiopia.

  • Umoja wa Afrika wasisitizia kuimarishwa demokrasia na utawala bora barani humo

    Umoja wa Afrika wasisitizia kuimarishwa demokrasia na utawala bora barani humo

    Jan 26, 2017 04:09

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Bi, Nkosozana Dlamini Zuma ametaka kuimarishwa demokrasia na kuchungwa haki za binaadamu barani Afrika.

  • Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran

    Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran

    Jan 13, 2017 04:02

    Rais Mulatu Teshome wa Ethiopia amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa pande mbili kati ya Tehran na Addis Ababa.

  • Ethiopia yawafunga jela wanaharakati wanaoshinikiza sheria za Kiislamu

    Ethiopia yawafunga jela wanaharakati wanaoshinikiza sheria za Kiislamu

    Jan 04, 2017 03:44

    Mahakama moja nchini Ethiopia imewahukumu vifungo jela wanaharakati 20 wa nchi hiyo ambao wamekuwa wakishinikiza kutumika sheria za Kiislamu nchini humo.

  • Ethiopia yawaachia huru watu karibu elfu 10 'waliokiuka hali ya hatari'

    Ethiopia yawaachia huru watu karibu elfu 10 'waliokiuka hali ya hatari'

    Dec 21, 2016 11:03

    Serikali ya Ethiopia imewaachia huru takriban watu elfu 10 waliokamatwa chini ya anga ya hali ya hatari lakini inapania kuwapandisha kizimbani maelfu ya wengine wanaotuhumiwa kuhujumu usalama wa taifa.

  • Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia

    Dec 05, 2016 03:28

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS