-
48 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo jalalani Ethiopia
Mar 13, 2017 11:00Watu wasiopungua 48 wakiwemo watoto 15 wamefariki dunia katika maporomoko ya udongo yaliyotokea kwenye dampo kubwa la takataka nje kidogo ya mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa. Hayo yameelezwa na msemaji wa Halmashauri ya mji wa Addis Ababa.
-
UN: Watu milioni 5.6 wanakabiliwa na njaa Ethiopia
Jan 29, 2017 10:18Umoja wa Mataifa umesema mamilioni ya watu wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na athari za kiangazi na ukame nchini Ethiopia.
-
Umoja wa Afrika wasisitizia kuimarishwa demokrasia na utawala bora barani humo
Jan 26, 2017 04:09Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Bi, Nkosozana Dlamini Zuma ametaka kuimarishwa demokrasia na kuchungwa haki za binaadamu barani Afrika.
-
Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran
Jan 13, 2017 04:02Rais Mulatu Teshome wa Ethiopia amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa pande mbili kati ya Tehran na Addis Ababa.
-
Ethiopia yawafunga jela wanaharakati wanaoshinikiza sheria za Kiislamu
Jan 04, 2017 03:44Mahakama moja nchini Ethiopia imewahukumu vifungo jela wanaharakati 20 wa nchi hiyo ambao wamekuwa wakishinikiza kutumika sheria za Kiislamu nchini humo.
-
Ethiopia yawaachia huru watu karibu elfu 10 'waliokiuka hali ya hatari'
Dec 21, 2016 11:03Serikali ya Ethiopia imewaachia huru takriban watu elfu 10 waliokamatwa chini ya anga ya hali ya hatari lakini inapania kuwapandisha kizimbani maelfu ya wengine wanaotuhumiwa kuhujumu usalama wa taifa.
-
Kenya kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika mipaka yake na Somalia na Ethiopia
Dec 05, 2016 03:28Serikali ya Kenya imetangaza kuwa, inakusudia kutekeleza mpango wa upokonyaji silaha katika maeneo ya nchi hiyo yanayopakana na nchi za Somalia na Ethiopia.
-
Kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Ethiopia
Nov 14, 2016 11:26Zaidi ya watu elfu 11 wametiwa nguvuni na kuwekwa korokoroni nchini Ethiopia kwa kukiuka sheria ya hali ya hatari iliyotangazwa nchini humo.
-
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri Ethiopia
Nov 02, 2016 06:54Waziri Mkuu wa Ethiopia amelifanyia marekebisho baraza lake la mawaziri katika jaribio la kutaka kuzima maandamano na malalamiko ya watu wa makabila ya Oromo na Amhara wanaoituhumu serikali, inayodhibitiwa na kabila la Tigray, kwamba inawabagua .
-
Waziri wa Ulinzi wa Ethiopia ataka kukomeshwa machafuko ya kisiasa kote nchini
Oct 31, 2016 23:06Waziri wa Ulinzi wa Ethiopia amesisitiza juu ya kukomeshwa haraka iwezekanvyo machafuko ya kisiasa katika maeneo yote ya nchi hiyo.