Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Morocco yaelekea Afrika Mashariki kutafuta uungaji mkono AU

    Morocco yaelekea Afrika Mashariki kutafuta uungaji mkono AU

    Oct 20, 2016 10:04

    Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco ameanza ziara ya nchi tatu za Afrika Mashariki katika juhudi za kutafuta uungaji mkono wa kurejea nchi hiyo kuwa mwananchama wa Umoja wa Afrika, baada ya kujiondoa kwenye umoja huo zaidi ya miongo mitatu iliyopita.

  • UN: Hali ya hatari Ethiopia inalenga wanadiplomasia na wanahabari

    UN: Hali ya hatari Ethiopia inalenga wanadiplomasia na wanahabari

    Oct 18, 2016 03:34

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema anafuatilia kwa karibu matukio ya hivi sasa nchini Ethiopia na kueleza wasi wasi wake kuwa hali ya hatari iliyotangazwa hivi karibuni na serikali ya Addis Ababa, inawaathiri zaidi wanadiplomasia na waandishi wa habari.

  • Ethiopia yapitisha sheria kali zaidi za hali ya hatari

    Ethiopia yapitisha sheria kali zaidi za hali ya hatari

    Oct 17, 2016 10:49

    Wizara ya Ulinzi ya Ethiopia imetangaza habari ya kuanzisha sheria kali zaidi za hali ya hatari nchini humo.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia ataka kusitishwa haraka machafuko

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ataka kusitishwa haraka machafuko

    Oct 10, 2016 10:14

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ametaka kusiitishwa haraka iwezekanavyo ghasia za kisiasa nchini humo.

  • Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia

    Kuendelea malalamiko na maandamano ya wananchi nchini Ethiopia

    Oct 08, 2016 09:16

    Malalamiko ya wananchi na maandamano ya wapinzani wa kisiasa wa serikali ya sasa ya Ethiopia yangali yanaendelea.

  • Waandamanaji wenye hasira washambulia viwanda vya makampuni ya kigeni nchini Ethiopia

    Waandamanaji wenye hasira washambulia viwanda vya makampuni ya kigeni nchini Ethiopia

    Oct 08, 2016 00:34

    Wananchi wenye hasira wamebomoa na kuharibu makumi ya viwanda vinavyomilikiwa na makampuni ya kigeni, mashamba ya maua pamoja na kuchoma moto magari kadhaa kulalamikia kile wanachoeleza uporaji ardhi zao unaofanywa na serikali nchini Ethiopia.

  • Viongozi wawili wa upinzani nchini Ethiopia watiwa nguvuni

    Viongozi wawili wa upinzani nchini Ethiopia watiwa nguvuni

    Sep 12, 2016 23:45

    Duru za kuaminika zimeripoti kuwa viongozi wawili wa upinzani nchini Ethiopia wametiwa nguvuni.

  • Ethiopia yaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu

    Ethiopia yaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu

    Sep 12, 2016 03:34

    Ethiopia imetangaza kuwaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu ambao walikuwa wanashikiliwa kwa kupinga uingiliaji wa serikali katika mambo yao ya kidini.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS