-
Sababu za uwezekano wa kutokea vita kati ya utawala wa Kizayuni na Hizbullah ya Lebanon
Jun 08, 2024 01:52Katika hali ambayo utawala wa Kizayuni umeshindwa kufikia malengo yake ya kijeshi uliyoyatangaza katika vita dhidi ya Gaza, vyanzo vya habari vya Kizayuni vimeonya kuhusu harakati za baraza la mawaziri la utawala huo za kutaka kuingia katika vita vya pande zote na Hizbullah ya Lebanon.
-
Hizbullah: Kama Israel inataka kuingia kwenye vita kamili, sisi tuko tayari kwa hilo
Jun 05, 2024 03:40Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: "sisi tuko tayari kwa vita kamili na vya pande zote na utawala wa Kizayuni".
-
Sayyid Hassan Nasrullah asema utawala wa Israel wa 'Kinazi' hautadumu katika eneo
May 29, 2024 03:13Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuhusu mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza kwamba, jinai hiyo ya kutisha uliyofanya utawala huo ghasibu inapasa iwaamshe na kuwatoa kwenye usingizi wa mghafala watu waliojisahau duniani na walioshindwa kuwa na msimamo.
-
Nasrullah: Rais Raisi alikuwa na imani kubwa na piganio tukufu la Palestina na Muqawama
May 26, 2024 01:10Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema, Hayati Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi alikuwa mwanasiasa mwenye "imani kubwa" na kadhia ya Palestina na Muqawama wa eneo.
-
Ijumaa, Mei 24, 2024
May 23, 2024 23:00Leo ni Ijumaa tarehe 15 Dhilqaada 1445 Hijria sawa na 24 Mei 2024.
-
Hizbullah: Tumeua na kujeruhi askari 2,000 wa Israel katika operesheni 1,650 tangu vilipoanza vita vya Ghaza
Apr 25, 2024 08:46Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema imeua na kujeruhi zaidi ya wanajeshi 2,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika operesheni zake 1,650 ilizotekeleza katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.
-
Hassan Nasrullah: Kimbunga cha al-Aqsa kimemsukuma adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti
Apr 04, 2024 03:22Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu ni tofauti na miaka iliyopita, na kwamba operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imemweka adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti.
-
Sababu za utawala wa Kizayuni kulazimisha vita katika upande wa kaskazini
Apr 01, 2024 22:49Yoav Gallant, Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni, amesema kwamba utawala huo haramu utapanua operesheni zake za kijeshi katika eneo la kaskazini la ardhi zinazokaliwa kwa mabvu na kushambulia kila sehemu ya Beirut na Damascus ambapo Hizbullah ya Lebanon inaendeshea shughuli zake.
-
Kwa mara nyingine, Hizbullah yazitwanga kwa mizinga kambi za kijeshi za Israel
Apr 01, 2024 03:23Wanamapambano wa Kiislamu wa nchini Lebanon kwa mara nyingine wamezitwanga kwa mizinga kambi za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel kujibu jinai na mauaji ya umati yanayofanywa na Wazayuni huko Ghaza, Palestina.
-
Hizbullah yajibu mapigo, yapiga ngome za Israel kwa droni na mizinga
Mar 23, 2024 04:06Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza kwa kupiga ngome na kambi za kijeshi za Wazayuni kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa makombora ya mizinga na ndege zisizo na rubani (droni).