-
Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jun 26, 2026 11:23Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema katika ujumbe wake kwamba: "Kuuliwa shahidi Sayyid na kinara wa mashahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu hakutasahaulika wala hakutasamehewa."
-
Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura
Jun 24, 2026 11:04Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo mchana wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ta'asua na jioni hii wanashiriki katika hafla za mkesha wa Ashura ambayo ni kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
-
Jumanne, 15 Julai, 2025
Jul 14, 2025 22:57Leo ni Tarehe 19 Mfunguo Nne Muharram 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 15 Julai mwaka 2025.
-
Jumatano, tarehe 04 Juni, 2025
Jun 03, 2025 22:54Leo ni Jumatano tarehe 08 Dhulhija 1446 Hijria sawa na tarehe 04 Juni 2025.
-
Ijumaa tarehe 31 Januari 2025
Jan 30, 2025 22:51Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Shaaban 1446 Hijria sawa na 31 Januari 2025 Milaadia.
-
Maadili ya Hussein bin Ali (as)
Jul 16, 2024 13:24Tumo katika siku za mwezi wa Muharram ambao unakumbusha msiba adhimu na mkubwa kwa Umma wa Kiislamu.
-
Hamasa ya Imam Hussein (as)
Jul 16, 2024 13:20Nukuu za historia zinasema, Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib, mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW) aliingia Karbala siku ya Alhamisi tarehe Pili Muharram, 61 Hijiria.
-
Mamilioni ya wafuasi wa Ahlul-Bayt (as) washiriki maombolezo ya Ashura
Jul 16, 2024 08:07Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (a.s).
-
Ijumaa, Julai 12, 2024
Jul 11, 2024 23:30Leo ni Ijumaa tarehe 06 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria sawa na Julai 12 mwaka 2024.
-
Jumatatu, 08 Julai, 2024
Jul 08, 2024 01:04Leo ni Jumatatu tarehe Pili Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria, mwafaka na tarehe 8 Julai 2024.