• Kufa shahidi Hadhrat Ruqayyah binti Hussein (as)

    Kufa shahidi Hadhrat Ruqayyah binti Hussein (as)

    Oct 15, 2019 07:34

    Tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria ilitokea hamasa na mapambano makubwa yatakayobakia hai katika historia ya mwanadamu. 

  • Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Oct 14, 2019 10:50

    Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.

  • Jumanne, tarehe 10 Septemba, 2019

    Jumanne, tarehe 10 Septemba, 2019

    Sep 09, 2019 22:05

    Leo ni Jumanne tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 10 Septemba mwaka 2019.

  • 'Siku ya Hussein (as)' yaadhimishwa mjini New York, bendera ya Hussein (as) yapepea

    'Siku ya Hussein (as)' yaadhimishwa mjini New York, bendera ya Hussein (as) yapepea

    Sep 09, 2019 03:48

    Waislamu wa mji wa New York nchini Marekani kutoka mataifa mbalimbali yakiwemo ya Iran, India, Pakistan na ya Kiafrika wamefanya maombolezo ya kukumbuka kifo cha Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume Mtukufu (saw), katika mtaa wa Manhattan.

  • Marasimu ya Kimataifa ya

    Marasimu ya Kimataifa ya "Watoto Wanaonyonya wa Hussein" yafanyika katika nchi zaidi ya 40

    Sep 06, 2019 03:43

    Marasimu ya Kimataifa kwa jina la "Watoto Wachanga Wanaonyonya wa Hussein a.s" yamefanyika leo Ijumaa katika zaidi ya maeneo elfu sita katika Iran ya Kiislamu na katika nchi 45 duniani sambamba na Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa Muharram.

  • Mguso wa nyoyo katika maombolezo ya Husain AS

    Mguso wa nyoyo katika maombolezo ya Husain AS

    Sep 02, 2019 05:21

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Muharram. Makala yetu imebeba kichwa cha maneno kisemacho, Mguso wa Nyoyo katika Maombolezo ya Imam Husain AS. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.

  • Jumatatu tarehe Pili Septemba 2019

    Jumatatu tarehe Pili Septemba 2019

    Sep 01, 2019 23:35

    Leo ni Jumatatu tarehe Pili, Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria sawa na Septemba Pili mwaka 2019.

  • Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Husain AS) 

    Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Husain AS) 

    Apr 09, 2019 05:25

    Tarehe 3 Shaaban ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra SA binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW. Huyo alikuwa ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia hiyo ambayo Mtume Muhammad SAW alikuwa siku zote akiwaita watu wa familia hiyo kuwa ni Ahlul Bayt wake na daima akiwaombea dua za kheri na amani. Katika Qur'ani Tukufu pia kuna aya inayotaja ubora, utukufu na usafi wa watu wa nyumba hiyo. 

  • Jumanne, 9 Aprili, 2019

    Jumanne, 9 Aprili, 2019

    Apr 08, 2019 23:56

    Leo ni Jumanne tarehe Tatu Sha'aban 1440 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 9 Aprili 2019 Miladia.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (11)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (11)

    Oct 27, 2018 06:58

    Imam Hussein bin Ali (as) na wafuasi wake 72 waliuawa shahidi katika tukio la Ashuraa mwaka 61 Hijria na watu wa familia ya Mtume wakachukuliwa mateka na jeshi katili la Yazid bin Muawiya alasiri ya siku hiyo.