• 'Siku ya Hussein (as)' yaadhimishwa mjini New York, bendera ya Hussein (as) yapepea

    'Siku ya Hussein (as)' yaadhimishwa mjini New York, bendera ya Hussein (as) yapepea

    Sep 09, 2019 08:18

    Waislamu wa mji wa New York nchini Marekani kutoka mataifa mbalimbali yakiwemo ya Iran, India, Pakistan na ya Kiafrika wamefanya maombolezo ya kukumbuka kifo cha Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume Mtukufu (saw), katika mtaa wa Manhattan.

  • Marasimu ya Kimataifa ya

    Marasimu ya Kimataifa ya "Watoto Wanaonyonya wa Hussein" yafanyika katika nchi zaidi ya 40

    Sep 06, 2019 08:13

    Marasimu ya Kimataifa kwa jina la "Watoto Wachanga Wanaonyonya wa Hussein a.s" yamefanyika leo Ijumaa katika zaidi ya maeneo elfu sita katika Iran ya Kiislamu na katika nchi 45 duniani sambamba na Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa Muharram.

  • Mguso wa nyoyo katika maombolezo ya Husain AS

    Mguso wa nyoyo katika maombolezo ya Husain AS

    Sep 02, 2019 09:51

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Muharram. Makala yetu imebeba kichwa cha maneno kisemacho, Mguso wa Nyoyo katika Maombolezo ya Imam Husain AS. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.

  • Jumatatu tarehe Pili Septemba 2019

    Jumatatu tarehe Pili Septemba 2019

    Sep 02, 2019 04:05

    Leo ni Jumatatu tarehe Pili, Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria sawa na Septemba Pili mwaka 2019.

  • Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Husain AS) 

    Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Husain AS) 

    Apr 09, 2019 09:55

    Tarehe 3 Shaaban ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra SA binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW. Huyo alikuwa ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia hiyo ambayo Mtume Muhammad SAW alikuwa siku zote akiwaita watu wa familia hiyo kuwa ni Ahlul Bayt wake na daima akiwaombea dua za kheri na amani. Katika Qur'ani Tukufu pia kuna aya inayotaja ubora, utukufu na usafi wa watu wa nyumba hiyo. 

  • Jumanne, 9 Aprili, 2019

    Jumanne, 9 Aprili, 2019

    Apr 09, 2019 04:26

    Leo ni Jumanne tarehe Tatu Sha'aban 1440 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 9 Aprili 2019 Miladia.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (11)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (11)

    Oct 27, 2018 10:28

    Imam Hussein bin Ali (as) na wafuasi wake 72 waliuawa shahidi katika tukio la Ashuraa mwaka 61 Hijria na watu wa familia ya Mtume wakachukuliwa mateka na jeshi katili la Yazid bin Muawiya alasiri ya siku hiyo.

  • Arubaini ya Imam Husain AS, nembo ya umoja baina ya Iran na Iraq

    Arubaini ya Imam Husain AS, nembo ya umoja baina ya Iran na Iraq

    Oct 26, 2018 13:38

    Maandamano ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Husain AS na wajibu wa kuimarishwa kadiri inavyowezekana uhusiano wa Tehran na Baghdad ndiyo ajenda kuu ya mazungumzo ya simu yaliyofanywa baina ya mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Iraq.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (10)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (10)

    Oct 23, 2018 12:06

    makala hii ya Maswali Kuhusu Tukio la Ashura leo itajibu swali kwamba, ni kwa nini hadithi zilizopokewa kutoka kwa Mtume Muhammad (saw) na Maimamu watoharifu katika kizazi chake zimesisitiza sana suala la kuzuru kaburi la Imam Hussein bin Ali (as)?

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (9) + Sauti

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (9) + Sauti

    Oct 15, 2018 11:37

    Maombolezo ya Muharram katika kila jamii huambatana na tamaduni, mila na taratibu za jamii hiyo. Lakini jambo la msingi na muhimu hapa ni kwamba utamaduni na mila hizo za maombolezo hazipasi kwenda kinyume na mafundisho ya Kiislamu na wala hazipasi kuruhusiwa kuvunjia heshima dini wala kupotosha ujumbe wa Ashura.