• Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (8) + Sauti

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (8) + Sauti

    Oct 15, 2018 11:30

    Katika siku za mwanzoni mwa mwezi Muharram Waislamu hususan wafuasi na wapenzi wa Watu wa Nyumba tukufu ya Mtume wetu Muhammad (saw) katika maeneo mbalimbali ya dunia huwa katika siku za majonzi na huzuni ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa mtukufu huyo, Imam Hussein bin Ali (as) ndugu, watoto na masahaba zake huko Karbala.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (7) + Sauti

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (7) + Sauti

    Oct 15, 2018 10:28

    Miongoni mwa maswala yanayoulizwa kuhusu harakati ya Imam Hussein bin Ali (as) na tukio la Ashura ni kwamba, je, yote tunayoyasikia hii leo kuhusu tukio hilo la mauaji ya Imam Hussein na masabaha zake katika medani ya Karbala nchini Iraq mwaka 61 Hijria ni sahihi, au kuna uwezekano baadhi yamepotoshwa?

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (5) + Sauti

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (5) + Sauti

    Oct 09, 2018 11:20

    Miongoni mwa maswali yanayoulizwa kuhusu siku ya Ashuraa ni kwamba, je, Imam Hussein alikuwa na habari juu ya masaibu yatakayompata huko Karbala na kwamba atauawa shahidi katika mapambano hayo?

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (6) + Sauti

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (6) + Sauti

    Oct 07, 2018 11:51

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran, na karibuni kusikiliza sehemu ya sita ya kipindi hiki cha Maswai Kuhusu Tukio la Ashura.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (4)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (4)

    Sep 30, 2018 13:04

    Kusikia kisa cha machungu na mateso ambayo yaliwapata wanawake na watoto wa Nyumba ya Mtume Mtukufu (saw) baada ya kuuawa shahidi Bwana wa Mashahidi, al-Imam Hussein (as) huumiza moyo wa kila mcha-Mungu na mpigania uhuru na utu wa mwanadamu na huenda kikamfanya ajiulize maswali haya muhimu kwamba je, ni kwa nini Imam Hussein (as) aliamua kuchukua na kuandamana na familia yake katika safari ya Karbala?

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Tukio la Ashuraa ni somo la kivitendo la jinsi ya kuishi

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Tukio la Ashuraa ni somo la kivitendo la jinsi ya kuishi

    Sep 21, 2018 13:57

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa tukio la Ashuraa mwaka 61 Hijria katika ardhi ya Karbala ni somo la kivitendo la jinsi ya kuishi na kuongeza kuwa, Imam Hussein bin Ali (as) ni kigezo cha kuigwa na mataifa yote hususan mataifa ya Iran, Iraq, Syria, Yemen na Bahrain na amewafundisha wanadamu wote huru duniani jinsi ya kusimama kidete na kuwa na ari na ghera ya kulinda matukufu na thamani za kibinadamu.

  • Waombolezaji Iran, duniani wajitokeza kwa wingi kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS

    Waombolezaji Iran, duniani wajitokeza kwa wingi kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS

    Sep 20, 2018 07:35

    Mamilioni ya Waislamu katika nchi mbali mbali duniani wamejotokeza kwa mamilioni katika Siku ya Ashura kukumbuka siku alipouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.

  • Leo ni siku ya Ashura ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume, Imam Husain AS

    Leo ni siku ya Ashura ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume, Imam Husain AS

    Sep 20, 2018 03:53

    Alkhamisi ya leo ya tarehe 20 Septemba 2018 Milaadia inasadifiana na mwezi kumi Muharram 1440 Hijria, siku ya Ashura ya kukumbuka alipouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, mmoja wa mabwana wawili wa vijana wa peponi, Imam Husain AS.

  • Jumanne, 18 Septemba, 2018

    Jumanne, 18 Septemba, 2018

    Sep 18, 2018 03:55

    Leo ni Jumanne tarehe 8 Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 18, 2018.

  • Jumatatu,  17 Septemba, 2018

    Jumatatu, 17 Septemba, 2018

    Sep 17, 2018 02:24

    Leo ni Jumatatu tarehhe 7 Muharram 1440 Hijria sawa na 17 Septemba 2018.