• Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran

    Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran

    Feb 12, 2019 10:06

    Assalam Alaykum warhmatullahi wabarakatuh hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi hiki maaluimu kinachokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.

  • Taathira za Kimataifa za Mapinduzi ya Kislamu ya Iran

    Taathira za Kimataifa za Mapinduzi ya Kislamu ya Iran

    Feb 10, 2019 08:10

    Ni wasaa na wakati mwingine mpenzi msikilizaji unapokutana nami Salum Bendera katika mfululizo huu wa vipindi hivi maalumu vya Alfajiri Kumi vinavyokujieni kwa manasaba wa maadhimisho ya miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyotokea mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini.

  • Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Feb 02, 2019 04:35

    Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.

  • Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu yaliyashinda madola ya kibeberu kwa kusimama kidete wananchi

    Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu yaliyashinda madola ya kibeberu kwa kusimama kidete wananchi

    Jan 30, 2019 14:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hayati Imam Ruhullah Khomeini ni mhuishaji mkubwa zaidi wa dini katika zama za sasa na ndiye mhandisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo yalipata ushindi dhidi ya madola ya kibeberu kutokana na kusimama kidete kwa wananchi.

  • Jumapili, Januari 27, 2019

    Jumapili, Januari 27, 2019

    Jan 27, 2019 04:50

    Leo ni Jumapili tarehe 20 Jamadul Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 27 Januari 2019 Miladia.

  • Jumatatu tarehe 21 Januari 2019

    Jumatatu tarehe 21 Januari 2019

    Jan 21, 2019 01:37

    Leo ni Jumatatu tarehe 14 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 21 Januari 2019.

  • Jumapili, Januari 20, 2019

    Jumapili, Januari 20, 2019

    Jan 20, 2019 01:10

    Leo ni Jumapili tarehe 13 Jamadil-Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 20 Januari 2019 Miladia.

  • Jumapili, Septemba 23, 2018

    Jumapili, Septemba 23, 2018

    Sep 23, 2018 13:24

    Leo ni Jumapili tarehe 13 Muharram 1440 Hijria, sawa na 23 Septemba 2018, Miladia.

  • Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-6

    Maktaba ya Imam Khomeini (MA) na sauti-6

    Sep 09, 2018 14:30

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya sita ya kipindi hiki cha Katika Maktaba ya Imam Khomein (MA) ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.

  • Jumatatu tarehe 25 Juni, 2018

    Jumatatu tarehe 25 Juni, 2018

    Jun 25, 2018 07:53

    Leo ni Jumatatu tarehe 11 Shawwal 1439 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2018.