Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  •  Kiwewe cha Wazayuni wakisubiri jibu la kijeshi la Iran kutokana na jinai zao

    Kiwewe cha Wazayuni wakisubiri jibu la kijeshi la Iran kutokana na jinai zao

    Apr 06, 2024 22:56

    Utawala wa Kizayuni umesema una wasiwasi na jibu liltakalotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia jinai za karibuni iliyofanywa na utawala huo ya kuishambulia sehemu ya jengo la ubalozi dogo wa Iran huko Syria. Kwa kuhofia jibu la kijeshi la Iran, utawala wa Kizayuni umetoa amri ya kufungwa balozi zake katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Aliyeongoza mashambulizi ya kigaidi kusini mashariki mwa Iran, atiwa mbaroni

    Aliyeongoza mashambulizi ya kigaidi kusini mashariki mwa Iran, atiwa mbaroni

    Apr 06, 2024 07:05

    Msemaji wa Komandi Kuu ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza habari ya kutiwa mbaroni gaidi aliyeongoza mashambulizi ya kigaidi huko kusini mashariki mwa Iran. Gaidi huyo ametiwa mbaroni kwenye mji wa Karaj wa mkoa wa Alborz wa magharibi mwa Tehran.

  • Rais wa Iran: Walimwengu watajionea kuangamia kwa utawala wa Kizayuni

    Rais wa Iran: Walimwengu watajionea kuangamia kwa utawala wa Kizayuni

    Apr 06, 2024 03:27

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu maalumu za kuwashukuru wananchi walio macho na wenye kujali thamani ya mambo wa Iran kwa ushiriki wao mkubwa katika matembezi ya Siku ya Quds Duniani na kusema: Walimwengu watajionea kuangamia kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Washiriki wa matembezi ya Siku ya Quds Iran: Jibu kali na la kujutisha umeandaliwa utawala wa Kizayuni

    Washiriki wa matembezi ya Siku ya Quds Iran: Jibu kali na la kujutisha umeandaliwa utawala wa Kizayuni

    Apr 05, 2024 10:24

    Washiriki wa matembezi ya Siku ya Quds Duniani yaliyofanyika mjini Tehran wamesisitiza katika azimio walilotoa mwishoni mwa matembezi hayo juu ya kuwaunga mkono watu wanaodhulumiwa wa Ghaza na wakalaani jinai ya utawala bandia wa Kizayuni ya kushambulia balozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria.

  • Wananchi wa Iran waandamana katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Wananchi wa Iran waandamana katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Apr 05, 2024 04:22

    Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds yamefanyika leo katika miji na maeneo mbalimbali nchini Iran.

  • Raisi: Tehran yaweka katika ajenda yake ya kazi ushirikiano na nchi zote za Kiislamu

    Raisi: Tehran yaweka katika ajenda yake ya kazi ushirikiano na nchi zote za Kiislamu

    Apr 05, 2024 04:22

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika dhifa ya (futari) Iftar na mabalozi wa nchi za Kiislamu wanaoishi Tehran kwamba suala la kushirikiana na nchi zote za Kiislamu lipo katika ajenda ya utendaji ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Wanajeshi wa Israel wazuiliwa kwenda livu ya nyumbani kwa tahadhari na hofu ya shambulio la Iran

    Wanajeshi wa Israel wazuiliwa kwenda livu ya nyumbani kwa tahadhari na hofu ya shambulio la Iran

    Apr 04, 2024 22:53

    Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limesitisha livu ya nyumbani kwa wanajeshi wake kutokana na kuwepo hofu inayoongezeka ya utawala huo kuandamwa na shambulio la kulipiza kisasi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iran kufuatia shambulio la kigaidi ulilofanya wiki hii kwenye ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria.

  • SEPAH: Magaidi 15 wameshaangamizwa hadi hivi sasa kusini mashariki mwa Iran

    SEPAH: Magaidi 15 wameshaangamizwa hadi hivi sasa kusini mashariki mwa Iran

    Apr 04, 2024 08:08

    Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, hadi hivi sasa magaidi 15 wameshaangamizwa katika operesheni za kuzima mashambulizi matatu ya kigaidi yaliyofanywa na magaidi hao kusini mashariki mwa Iran.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa upuuzaji wa Umoja wa Ulaya kuhusu ugaidi wa Israel

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa upuuzaji wa Umoja wa Ulaya kuhusu ugaidi wa Israel

    Apr 04, 2024 04:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa misimamo ya undumakuwili ya Umoja wa Ulaya na upuuzaji wake kuhusiana na jinai na vitendo vya kigaidi vya utawala ghasibu wa Israel.

  • Shambulio la kigaidi kusini mashariki mwa Iran

    Shambulio la kigaidi kusini mashariki mwa Iran

    Apr 04, 2024 04:03

    Alireza Marhamati, Naibu Gavana anayesimamia masuala ya usalama na utekelezaji sheria katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, kusini mashariki mwa Iran, ametangaza kutokea shambulio la kigaidi kwenye makao makuu mawili ya kijeshi katika miji ya Rask na Chabahar mkoni humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS