Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu Burkina Faso

    Iran yalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu Burkina Faso

    Sep 08, 2023 04:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi lililouwa makumi ya watu nchini Burkina Faso.

  • Iran: Taarifa ya Japan na Waarabu kuhusu visiwa vitatu haina maana

    Iran: Taarifa ya Japan na Waarabu kuhusu visiwa vitatu haina maana

    Sep 07, 2023 23:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa taarifa ya pamoja iliyotolewa na Japan na nchi za Kiarabu kuhusu visiwa vitatu vya Iran vya Bu Musa, Tomb Ndogo na Tomb Kubwa na kusisitiza kuwa taarifa hiyo haina umuhimu wowote.

  • Balozi wa Saudia awasili Tehran; wa Iran pia akaribishwa Riyadh

    Balozi wa Saudia awasili Tehran; wa Iran pia akaribishwa Riyadh

    Sep 06, 2023 07:06

    Baada ya kupita miaka kadhaa tangu kuvunjika uhusiano wa kidiplomasia baina ya Iran na Saudi Arabia, Balozi mpya wa Saudia amewasili hapa Tehran; hatua inayoashiria kufunguliwa kwa ukurasa mpya wa uhusiano baina ya mataifa haya mawili.

  • Rais wa Iraq: Uhusiano wa Iran na Saudia unaimarisha usalama wa eneo

    Rais wa Iraq: Uhusiano wa Iran na Saudia unaimarisha usalama wa eneo

    Sep 05, 2023 23:44

    Rais wa Iraq amesema kuwepo uhusiano wa karibu kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia kutapelekea kuimarikaa usalama na uthabiti wa eneo.

  • Waziri wa Ulinzi: Muda wa vikwazo vyote vya silaha dhidi ya Iran utamalizika mwezi ujao wa Oktoba

    Waziri wa Ulinzi: Muda wa vikwazo vyote vya silaha dhidi ya Iran utamalizika mwezi ujao wa Oktoba

    Sep 05, 2023 09:38

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Mohammad Reza Ashtiani ametangaza kuwa muda wa vikwazo vyote vya kidhalimu vya silaha ilivyowekewa Jamhuri ya Kiislamu utamalizika mwezi ujao wa Oktoba na kueleza pia utayari wa Iran wa kupanua uhusiano wa kiulinzi na nchi zote zenye misimamo huru.

  • Ndege isiyo na rubani ya Karrar yazifukuza ndege za Marekani katika anga ya Iran

    Ndege isiyo na rubani ya Karrar yazifukuza ndege za Marekani katika anga ya Iran

    Sep 04, 2023 00:43

    Naibu Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Iran amesema ndege isiyo na rubani ya Karrar imezionya mara kadhaa ndege za ujasusi za Marekani na ndege nyingine za kigeni na kuzitaka kuwa mbali na anga ya Iran.

  • Iran yakosoa uwepo wa Marekani katika Baraza la Haki za Kibinadamu la UN

    Iran yakosoa uwepo wa Marekani katika Baraza la Haki za Kibinadamu la UN

    Sep 02, 2023 08:00

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amekosoa uwepo wa Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la umoja huo.

  • Velayati: Uanachama wa BRICS umevunja sera ya US ya kuitenga Iran

    Velayati: Uanachama wa BRICS umevunja sera ya US ya kuitenga Iran

    Aug 29, 2023 23:02

    Mshauri mwandamizi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kupewa uanachama Iran katika kundi la BRICS kumesambaratisha sera ya Marekani ya kujaribu kuitenga Jamhuri ya Kiislamu.

  • Raisi: Maadui wameshindwa kuwakatisha tamaa wananchi wa Iran

    Raisi: Maadui wameshindwa kuwakatisha tamaa wananchi wa Iran

    Aug 29, 2023 08:31

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema adui amefeli katika njama zake za kuitenga Jamhuri ya Kiislamu na dunia, na pia kuwakatisha tamaa wananchi wa nchi hii.

  • Uanachama rasmi wa Iran katika kundi la BRICS; risala na matokeo

    Uanachama rasmi wa Iran katika kundi la BRICS; risala na matokeo

    Aug 26, 2023 10:10

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekubaliwa rasmi na kuwa mwanachama wa BRICS miezi kadhaa tu baada ya kukubaliwa uanachama pia katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS