Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jenerali Baqeri: Iran inafuatilia nyendo zote za maadui mipakani

    Jenerali Baqeri: Iran inafuatilia nyendo zote za maadui mipakani

    Jul 03, 2022 03:29

    Kamanda Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza usalama imara na thabiti katika mipaka ya magharibi ya nchi hii na kusisitiza kuwa, Iran inafuatilia kwa jicho la karibu nyendo na harakati za kutilia shaka za maadui muda wote.

  • Abdollahian: Palestina ndio kadhia muhimu zaidi kwa umma wa Kiislamu

    Abdollahian: Palestina ndio kadhia muhimu zaidi kwa umma wa Kiislamu

    Jul 03, 2022 00:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema ukombozi wa taifa la Palestina ndio kadhia muhimu zaidi kwa umma wa Kiislamu hivi sasa.

  • Iran: Tunapinga hatua yoyote ya kijeshi inayochukuliwa kwa kisingizio chochote kile

    Iran: Tunapinga hatua yoyote ya kijeshi inayochukuliwa kwa kisingizio chochote kile

    Jul 02, 2022 07:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "sisi tunauelewa wasiwasi ilionao nchi jirani yetu Uturuki na tunapinga vikali hatua yoyote ya kijeshi inayochukuliwa kwa kisingizio chochote kile".

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Asia Magharibi haidhibitiwi tena na Marekani

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Asia Magharibi haidhibitiwi tena na Marekani

    Jul 01, 2022 08:48

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema eneo la Asia Magharibi halidhibitiwi tena Marekani, na kwamba hivi sasa lipo katika mikono ya mataifa ya Waislamu.

  • China yaitaka Marekani kurekebisha makosa yake mkabala wa Iran

    China yaitaka Marekani kurekebisha makosa yake mkabala wa Iran

    Jun 30, 2022 09:05

    China imeitaka Marekani irekebishe makosa yake katika mienendo yake dhidi ya Iran.

  • Raisi: Uwepo wa utawala wa Kizayuni unadhoofisha usalama wa eneo

    Raisi: Uwepo wa utawala wa Kizayuni unadhoofisha usalama wa eneo

    Jun 29, 2022 22:24

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uwepo wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaibua taharuki na kudhoofisha usalama wa eneo hili la Asia Magharibi.

  • Russia: Iran na Argentina zameomba rasmi uwanachama katika BRICS

    Russia: Iran na Argentina zameomba rasmi uwanachama katika BRICS

    Jun 28, 2022 06:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Russia amethibitisha kuwa Iran na Argentina zimetuma maombi ya kuwa wanachama katika jumuiya ya BRICS.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

    Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

    Jun 27, 2022 22:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni ndio adui nambari moja wa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama

    Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama

    Jun 27, 2022 22:15

    Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema magaidi wenye makao yao Albania hawatabakia salama kutokana na moto wa ulipizaji kisasi wa jinai walizotenda.

  • Mazungumzo ya kufufua JCPOA kufanyika katika Ghuba ya Uajemi

    Mazungumzo ya kufufua JCPOA kufanyika katika Ghuba ya Uajemi

    Jun 27, 2022 06:59

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran amesema duru ijayo ya mazungumzo ya kujaribu kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA itafanyika katika moja ya nchi za eneo hili la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS