Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumanne, Desemba 08, 2020

    Jumanne, Desemba 08, 2020

    Dec 07, 2020 23:33

    Leo ni Jumanne tarehe 22 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Desemba mwaka 2020 Miladia

  • Balozi wa Iran UN: Ukatili wa Marekani katika zama za COVID-19 utakumbukwa katika historia

    Balozi wa Iran UN: Ukatili wa Marekani katika zama za COVID-19 utakumbukwa katika historia

    Dec 07, 2020 03:36

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Iran inafahamu vyema namna ambavyo vikwazo vya Marekani vinaathiri uwezo wa nchi katika kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.

  • Indhari ya Zarif; kivuli kizito cha sheria ya bunge la Iran kwa pande shiriki katika mapatano ya JCPOA

    Indhari ya Zarif; kivuli kizito cha sheria ya bunge la Iran kwa pande shiriki katika mapatano ya JCPOA

    Dec 05, 2020 06:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sheria ya hatua za kistratejia kwa ajili ya kuondoa vikwazo itatekelezwa iwapo pande shiriki katika mapatano ya JCPOA hazitatekeleza majukumu yao.

  • Zarif: Nchi za Ulaya ziache kukiuka JCPOA na zisitishe sera haribifu katika eneo

    Zarif: Nchi za Ulaya ziache kukiuka JCPOA na zisitishe sera haribifu katika eneo

    Dec 05, 2020 01:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Jawad Zarif amemjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Heiko Maas ambaye ametaka mapatano ya nyuklia ya JCPOA yajadiliwe upya.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo visivyo vya kibinadamu vya Marekani dhidi ya Iran

    Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo visivyo vya kibinadamu vya Marekani dhidi ya Iran

    Dec 05, 2020 00:50

    Baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran mashuhuri kama JCPOA mnamo Mei 2018, Marekani ilianza kutekeleza vikwazo vikali zaidi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kupitia siasa zake za kutoa mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Tehran, na kuendelea kuzidisha taratibu vikwazo hivyo vilivyotajwa kuwa vya kulemaza, hata katika kipindi kigumu zaidi cha kuenea virusi vya corona duniani.

  • Madai ya kukaririwa ya Ulaya kuunga mkono JCPOA; nara tupu zisizofungamana na vitendo

    Madai ya kukaririwa ya Ulaya kuunga mkono JCPOA; nara tupu zisizofungamana na vitendo

    Dec 03, 2020 20:45

    Licha ya kuwa baada ya kujitoa marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama JCPOA, nchi za Ulaya zimekuwa na utendaji hasi na dhaifu katika kulinda na kutekeleza ahadi zao kuhusu mapatano hayo, lakini zingali zinadai kwamba zinaendelea kuyalinda.

  •  Rouhani atuma ujumbe UN; aitolea wito jamii ya kimataifa kukabiliana na utawala wa Kizayuni

    Rouhani atuma ujumbe UN; aitolea wito jamii ya kimataifa kukabiliana na utawala wa Kizayuni

    Dec 01, 2020 23:09

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikamana na Wananchi wa Palestina na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kukabiliana na hatua za utawala wa Kizayuni unaouwa watoto.

  • Iran ni nchi pekee iliyo na benki ya macho katika eneo la Asia Magharibi

    Iran ni nchi pekee iliyo na benki ya macho katika eneo la Asia Magharibi

    Dec 01, 2020 04:43

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba cha Shahidi Beheshti cha hapa nchini amesema kuwa benki pekee inayoshughulikia matatizo ya macho katika eneo la Asia magharibi ni ya Iran.

  • Iran yataka Baraza la Usalama la UN lichunguze mauaji ya Fakhrizadeh

    Iran yataka Baraza la Usalama la UN lichunguze mauaji ya Fakhrizadeh

    Nov 29, 2020 08:50

    Naibu Waziri wa Sheria wa Iran ametoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchunguza mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh.

  • Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Nov 28, 2020 22:00

    Baada ya kubainika kushindwa Donald Trump katika uchaguzi wa rais nchini Marekani, kumejiri harakati na kutolewa matamshi mbalimbali; na baadhi ya vyombo vya habari vimetangaza juu ya uwezekano wa Marekani na Israel kuishambulia kijeshi Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS