Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Ripoti mpya ya IAEA inaonyesha wakala huo unaendelea na ukaguzi nchini

    Iran: Ripoti mpya ya IAEA inaonyesha wakala huo unaendelea na ukaguzi nchini

    Nov 12, 2020 04:32

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna Austria amesema ripoti mpya iliyotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) inaonyesha kuwa taasisi hiyo ya kimataifa inaendelea kukagua na kufanyia uhakiki miradi ya nyuklia ya Iran bila vizingiti vyovyote.

  • Iran: Hatuogopi Trump akibaki wala hatutasisimuka Biden akiingia madarakani

    Iran: Hatuogopi Trump akibaki wala hatutasisimuka Biden akiingia madarakani

    Nov 11, 2020 04:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria matukio ya sasa ya uchaguzi wa rais nchini Marekani na kusema: "Hatuogopi iwapo Trump atabakia na wala hatutasisimuka iwapo Biden ataingia madarakani. Tunachukua maamuzi kwa mujibu wa maslahi yetu."

  • Kamanda: Iran haitaruhusu anga yake iwe sehemu ya kufanyia majaribio

    Kamanda: Iran haitaruhusu anga yake iwe sehemu ya kufanyia majaribio

    Nov 10, 2020 03:58

    Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Khatamul Anbia cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezionya pande hasimu katika mgogoro wa Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan dhidi ya kufanya kosa la kuhujumu anga ya nchi hii.

  • Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Nov 10, 2020 01:11

    Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani ametaka kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni

    Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni

    Nov 08, 2020 04:41

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema zama za Rais Donald Trump wa Marekani na vituko vyake pamoja na timu yake inayopenda vita zimefika ukingoni.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Nov 07, 2020 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambaye yuko nchini Cuba kwa ziara rasmi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Cuba Bruno Rodriguez.

  • Iran yatuma zana za kivita  katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Iran yatuma zana za kivita katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Nov 06, 2020 07:09

    Jeshi la nchi kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetuma zana za kivita na wanajeshi katika ukanda wa mpaka wa Iran na Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan.

  • Meja Jenerali Salami: Tutatoa majibu makali kwa vitisho vyovyote katika mipaka ya Iran

    Meja Jenerali Salami: Tutatoa majibu makali kwa vitisho vyovyote katika mipaka ya Iran

    Nov 05, 2020 23:19

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, Iran iko imara kukabiliana vilivyo na vitisho vyovyote katika mipaka yake.

  • "Serikali ijayo ya Marekani haina budi kusalimu amri mbele ya Iran"

    Nov 05, 2020 08:53

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema serikali ijayo ya Marekani haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kusalimu amri mkabala wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Nov 05, 2020 00:28

    Russia daima imekuwa ikitahadharisha kuhusu hatari ya uwepo wa makundi ya kigaidi yenye misimamo ya kupindukia mpaka katika nchi hiyo na nchi nyingine za Caucasia na Asia ya Kati na kusisitiza udharura wa kupambana na makundi hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS