• Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha

    Afrika Kusini: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni ya kustaajabisha

    Sep 17, 2020 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ameeleza juu ya kustaajabishwa na kushangazwa kwake na madai ya Marekani kuwa Iran inapanga kumuua Lana Marks, Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini.

  • Gharib Abadi: Shughuli za nyuklia za Iran zina uwazi zaidi kuliko za nchi nyingine zote wanachama wa IAEA

    Gharib Abadi: Shughuli za nyuklia za Iran zina uwazi zaidi kuliko za nchi nyingine zote wanachama wa IAEA

    Sep 17, 2020 08:46

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna amesema asilimia 22 ya ukaguzi wote uliofanywa duniani na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA imefanyiwa Iran na akaeleza kwamba Tehran ndiyo inayoendesha kwa uwazi zaidi shughuli zake za nyuklia zenye malengo ya amani kuliko nchi zote wanachama wa wakala huo.

  • Ombi la Guterres kwa nchi mbalimbali kufanya juhudi za pamoja ili kuyalinda mapatano ya JCPOA

    Ombi la Guterres kwa nchi mbalimbali kufanya juhudi za pamoja ili kuyalinda mapatano ya JCPOA

    Sep 17, 2020 04:20

    Baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka 2018 hivi sasa nchi wanachama zilizosalia katika kundi la 4+1 zinasisitiza kuendelea kuwepo mapatano hayo kinyume na mtazamo wa Washington ambayo ilitaka kuchukuliwa hatua sawa na hiyo kutoka kwa wanachama wengine wa kundi la 5+1. Hvi sasa Marekani inafanya njama zake zote kujaribu kuyasambaratisha mapatano hayo ya JCPOA.

  • Kukiri Biden kufeli siasa za Trump mbele ya Iran

    Kukiri Biden kufeli siasa za Trump mbele ya Iran

    Sep 15, 2020 02:51

    Huku wakati wa kufanyika uchaguzi wa Rais wa mwezi Novemba 2020 ukizidi kukabiria nchini Marekani, wagombea wawili wa uchaguzi huo, yaani rais wa hivi sasa Donald Trump na mpinzani wake Joe Biden wa chama cha Democrats kila mmoja amekuwa akitangaza misimamo yake kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo misimamo yao kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Afrika Kusini yakosoa madai ya viongozi wa Marekani dhidi ya Iran

    Afrika Kusini yakosoa madai ya viongozi wa Marekani dhidi ya Iran

    Sep 14, 2020 22:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini ameyataja madai yaliyotolewa na viongozi wa Marekani dhidi ya Iran kuwa hayana msingi wowote.

  • Grossi apongeza ushirikiano wa Iran na wakala wa IAEA

    Grossi apongeza ushirikiano wa Iran na wakala wa IAEA

    Sep 14, 2020 22:06

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amepongeza ushirikiano mzuri wa Iran na taasisi hiyo ya kimataifa baada ya kufanyika kikao cha Bodi ya Magavana ya wakala huo.

  • Iran: Mgogoro wa Afghanistan hauwezi kutatuliwa kijeshi

    Iran: Mgogoro wa Afghanistan hauwezi kutatuliwa kijeshi

    Sep 14, 2020 03:28

    Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna ufumbuzi wa kijeshi katika mgogoro wa Afghanistan.

  • Biden: Trump 'ameifedhehesha' Marekani mbele ya Iran

    Biden: Trump 'ameifedhehesha' Marekani mbele ya Iran

    Sep 13, 2020 22:39

    Joe Biden, mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats amesema, siasa za Donald Trump kuhusu Iran zimefeli na zimeifedhehesha Marekani kwa kuifanya itengwe kimataifa.

  • Lavrov apinga tuhuma kwamba Russia inaingilia uchaguzi wa Marekani

    Lavrov apinga tuhuma kwamba Russia inaingilia uchaguzi wa Marekani

    Sep 13, 2020 03:04

    Uhusiano wa Russia na Marekani umekuwa na mivutano mikubwa baada ya kutokea mgogoro huko Ukraine mwaka 2014. Moja ya kadhia ambazo zimebadilika huko Marekani katika miaka ya karibuni na kuwa dhidi ya Moscow ni mjadala wa madai ya Russia kuingilia uchaguzi wa Marekani. Kwa kuzingatia kukaribia kufanyika uchaguzi wa Rais wa Marekani hivi sasa soko la tuhuma hizo limezidi kupamba moto.

  • Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel ni fedheha na kujidhalilisha

    Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel ni fedheha na kujidhalilisha

    Sep 12, 2020 07:01

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekosoa hatua ya kuanzishwa uhusiano rasmi wa kidiplomasia kati ya Bahrain na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, kitendo hicho ni cha fedheha na kudhalilisha.