-
Kwa nini Iran inataka kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya Cuba bila masharti yoyote?
Oct 31, 2025 09:15Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo vyote dhidi ya Cuba bila masharti yoyote.
-
Iran na Niger zasisitiza kupanua ushirikiano wa utalii
Oct 30, 2025 10:21Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Jamhuri ya Niger leo Alkhamisi amebadilishana mawazo na Waziri wa Utalii na Kazi za Mikono wa nchi hiyo kuhusu ushirikiano wa pamoja katika uga wa utalii.
-
Iran: Mkuu wa IAEA anapasa kuepuka ‘matamshi yasiyo na msingi’ kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya kiraia
Oct 30, 2025 08:51Iran imesema kuwa Rafael Grossi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) anajia “kikamilifu” namana miradi ya nishati ya nyuklia ya nchi hii ilivyo ya malengo ya amani na ya kiraia; kwa hiyo anapasa kujiepusha kutoa “matamshi yasiyo na msingi” kuhudu miradi hiyo.
-
Baqaei: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ajadili usalama wa mipaka na haki ya maji ziarani Afghanistan
Oct 29, 2025 04:02Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baqaei ameeleza kuwa Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje amefanya ziara nchini Afghanistan ili kujadili masuala kadhaa ambayo yamesalia kwenye ajenda ya uhusiano kati ya nchi mbili, ikiwa ni pamoja na suala la usalama wa mipaka.
-
Makamu wa Rais: Maadui wanapasa kujifikiria mara mbili kabla ya kuichokoza Iran
Oct 29, 2025 03:49"Tuna uhakika kwamba ikiwa maadui wana chembe ya sababu hawatathubutu kupanga shambulio jipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran," amesema Jumanne hii Muhammad -Reza Aref Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Upeo mpya katika mahusiano ya kibiashara wa Iran na Pakistan; biashara ya kubadilishana, hatua mpya ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi
Oct 28, 2025 22:56Matukio chanya yametokea katika wiki za hivi karibuni katika suala la kuongeza uhusiano wa kibiashara na mawasiliano kati ya Iran na Pakistan.
-
Iran: Hatua za mabavu zinazuia ushirikiano wa kimataifa katika kupambana na uhalifu
Oct 27, 2025 03:15Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Vahid Jalalzadeh ambaye alielekea Vietnam kwa lengo la kuhudhuria hafla ya utiaji saini Mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya Uhalifu wa Mtandaoni, amehutubia katika hafla hiyo na kusema: Mkataba wa Uhalifu wa Mtandaoni ni hatua muhimu kuelekea upande wa kuanzisha mfumo wa kimataifa wa kupambana na uhalifu wa mtandao na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa.
-
Kanali mstaafu wa jeshi la Marekani: Israel itaangamizwa ikiwa itaishambulia tena Iran
Oct 26, 2025 23:56Lawrence Wilkerson, kanali mstaafu wa jeshi la Marekani ametahadharisha kuhusu hatua yoyote ya Israel ya kuivuta Marekani katika vita na Iran na kusema kuwa Israel inaelewa vyema kwamba itaangamizwa ikiwa itaishambulia Iran bila ya kusaidiwa na upande wowote.
-
Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?
Oct 23, 2025 04:23Tommy Piggott, Naibu Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema siku ya Jumanne kwamba Marco Rubio Waziri wa Mambo ya Nje, katika mazungumzo yake na Mohammad Shia Al-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq, ametoa wito wa kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya nchi hiyo akidai kuwa ni tishio kwa maslahi ya Washington na Baghdad.
-
Iran yaidhinisha rasmi kujiunga na mkataba wa kupambana na ufadhili wa ugaidi
Oct 22, 2025 09:23Rais Masoud Pezeshkian amewasilisha rasmi sheria ya kujiunga Iran na Mkataba wa Kimataifa wa Kupambanana Ufadhili wa Ugaidi (CFT).