Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Trump atoa radiamali kufuatia kuatunguliwa droni ya kijasusi ya Marekani

    Trump atoa radiamali kufuatia kuatunguliwa droni ya kijasusi ya Marekani

    Jun 21, 2019 00:19

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali ya kwanza kufuatia kutunguliwa na mfumo wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Marekani ambapo amedai kwamba, eti Iran imefanya kosa kubwa.

  • Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki

    Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki

    Jun 20, 2019 03:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mevlüt Çavuşoğlu leo Alkhamisi amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake wa Iran, muhammad javad Zarif katika mji wa Isfahan ambako pande hizo mbili zimejadili masuala ya pande mbili na kikanda.

  • Federica Mogherini asisitiza kulindwa makubaliano ya JCPOA

    Federica Mogherini asisitiza kulindwa makubaliano ya JCPOA

    Jun 20, 2019 03:03

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    Jun 19, 2019 21:52

    China imeionya vikali Marekani kuhusu taathira hasi ya kutangaza kuwa itatuma wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati); huku ikiitaka Washington ikomeshe mashinikizo yake ya kuchupa mipaka dhidi ya Tehran.

  • Iran: Hatutarefusha muhula wa siku 60 wa EU kufungamana na JCPOA

    Iran: Hatutarefusha muhula wa siku 60 wa EU kufungamana na JCPOA

    Jun 19, 2019 08:15

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema muda wa siku 60 ambao Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliupa Umoja wa Ulaya uwe umetekeleza ahadi zake za kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hautarefushwa.

  • Muqawama mbele ya Marekani; taifa la Iran litapata ushindi katika vita vya irada

    Muqawama mbele ya Marekani; taifa la Iran litapata ushindi katika vita vya irada

    Jun 19, 2019 02:58

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema mapambano au muqawama ndio njia pekee ya kukabiliana na adui na kuongeza kuwa: "Mapambano ni njia pekee ya kupata ushindi mbele ya sera za Marekani, na ushindi wa taifa la Iran uko karibu."

  • Iran yafungua kituo kikubwa zaidi cha kutengeneza dawa Asia Magharibi

    Iran yafungua kituo kikubwa zaidi cha kutengeneza dawa Asia Magharibi

    Jun 18, 2019 22:12

    Kituo kikubwa zaidi cha kutengeneza dawa Asia Magharibi kimefunguliwa Jumanne katika mkoa wa Alborz magharibi mwa Tehran sambamba na kuzinduliwa dawa mpya katika kituo hicho.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Misri kufuatia kifo cha Mohammad Morsi

    Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Misri kufuatia kifo cha Mohammad Morsi

    Jun 18, 2019 07:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mkono wa pole kwa familia ya Mohammed Morsi, kufuatia kifo tata cha rais huyo wa zamani wa Misri.

  • Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuiokoa JCPOA

    Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuiokoa JCPOA

    Jun 17, 2019 08:34

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuyaokoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran kuongeza mara 4 urutubishaji wa urani, kupitisha kiwango cha kilo 300

    Iran kuongeza mara 4 urutubishaji wa urani, kupitisha kiwango cha kilo 300

    Jun 17, 2019 08:12

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuanzia Juni 27 itapitisha kiwango cha urutubishaji wa urani mara nne zaidi, na kwamba akiba yake ya urani itapita kiwango cha kilo 300 kilichoanishwa kwenye makubaliano ya nyuklia kufikia tarehe hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS