Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Al-Shanqati: Njama za Saudia kuilenga Iran ndani ya eneo la Mashariki ya Kati zimefeli sana

    Al-Shanqati: Njama za Saudia kuilenga Iran ndani ya eneo la Mashariki ya Kati zimefeli sana

    Aug 31, 2017 04:25

    Mhadhiri wa masuala ya kisiasa nchini Bahrain, ameitaja Saudia kuwa iliyofeli sana katika njama zake tofauti eneo la Mashariki ya Kati kuilenga Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais wa Zambia apongeza kustawi kukubwa uchumi wa Iran

    Rais wa Zambia apongeza kustawi kukubwa uchumi wa Iran

    Aug 30, 2017 10:52

    Rais Edgar Lungu wa Zambia amepongeza ukuaji wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sanjari na kuwepo uhusiano mzuri wa pande mbili kati ya Tehran na Lusaka.

  • Rais Rouhani: Iran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Iran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia

    Aug 30, 2017 02:56

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la Mpango Kamili wa Utekelezaji wa Pamoja (JCPOA).

  • Iran: Ukiukaji wa makusudi wa anga yetu, utapata jibu kali na la haraka

    Iran: Ukiukaji wa makusudi wa anga yetu, utapata jibu kali na la haraka

    Aug 29, 2017 10:24

    Kamanda wa kikosi cha anga magharibi mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bijan Saidi ameelezea uwezekano wa kuenezwa na kutumiwa mfumo wa makombora wa S300 na Bavar 373 katika maeneo ya nchi ikiwemo magharibi kukabiliana na vitisho vya adui.

  • EU yasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya JCPOA

    EU yasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya JCPOA

    Aug 29, 2017 02:58

    Kwa mara nyingine tena Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na ahadi zake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina yake na kundi la 5+1 yanayofahamika kama JCPOA na kusisitizia udharura wa kuheshimiwa hati hiyo.

  • Iraq yaishukuru Iran kwa misaada yake muhimu kwa serikali ya Baghdad

    Iraq yaishukuru Iran kwa misaada yake muhimu kwa serikali ya Baghdad

    Aug 28, 2017 10:19

    Balozi wa Iraq nchini Algeria ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuwa nchi ya kwanza kuwasaidia wananchi wa Iraq katika wakati mgumu hasa wakati wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh walipokaribia kuutwaa mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.

  • Iran haitavuka mstari mwekundu katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran haitavuka mstari mwekundu katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Aug 28, 2017 08:34

    Bahram Qassemi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema nchi hii itafungamana na kuheshimu ahadi zake kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na kusisitiza kuwa, kamwe Tehran haitavuka mistari myekundu.

  • Iran na Russia zajadili usalama wa Bahari ya Caspian

    Iran na Russia zajadili usalama wa Bahari ya Caspian

    Aug 27, 2017 03:17

    Maafisa wa ngazi za juu wa vikosi vya baharini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu njia za kuimarisha zaidi usalama katika Bahari ya Caspian.

  • Jumapili, Agosti 27, 2017

    Jumapili, Agosti 27, 2017

    Aug 26, 2017 22:07

    Leo ni Jumapili tarehe 5 Dhul-Qaadah mwaka 1438 Hijiria, sawa na tarehe 27 Agosti 2017 Miladia.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mjini Kabul, Afghanistan

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mjini Kabul, Afghanistan

    Aug 26, 2017 02:35

    Iran imelaani vikali hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Afghanistan Ijumaa ambapo watu 20 waliuawa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS